#HABARI: Wananchi laki moja na elfu kumi na sita katika Kata za Nkende, Nyamisangura na Binagi, zilizopo Wilaya ya Tarime, mkoani Mara, wameondokana na vifo vinavyotokana na kusombwa na maji na wanafunzi kushindwa kwenda shule ,kutokana na mto kufurika maji nyakati za mvua, baada ya serikali kuwajengea madaraja mawili ya Kinyambi na Kibweye, yenye thamani ya zaidi shilingi bilioni 1.6.
Related Posts
Kesi za Mpox Nigeria zafika 48, zimeenea katika mji mkuu, majimbo 20
Kesi za ugonjwa wa Mpox nchini Nigeria zimeongezeka hadi 48, huku virusi hivyo sasa vikiripotiwa katika mji mkuu Abuja na…
Kesi za ugonjwa wa Mpox nchini Nigeria zimeongezeka hadi 48, huku virusi hivyo sasa vikiripotiwa katika mji mkuu Abuja na…
#HABARI: Tani moja ya Pamba ya wakulima wa zao hilo kutoka katika chama cha msingi cha Samagi Jinone kilichopo katika Kijiji cha…
#HABARI: Tani moja ya Pamba ya wakulima wa zao hilo kutoka katika chama cha msingi cha Samagi Jinone kilichopo katika…
#HABARI: Tani moja ya Pamba ya wakulima wa zao hilo kutoka katika chama cha msingi cha Samagi Jinone kilichopo katika…
🔴Habari za Saa, Saa Nne na Dakika 55…..Agosti 1, 2024
🔴Habari za Saa, Saa Nne na Dakika 55…..Agosti 1, 2024 Post Views: 40
🔴Habari za Saa, Saa Nne na Dakika 55…..Agosti 1, 2024 Post Views: 40