#HABARI: Wanafunzi wa shule ya msingi Changarawe, Kata ya Mzumbe, wilayani Mvomero, mkoani Morogoro, wameiomba serikali na wadau wengine wa maendeleo kuwajengea madarasa matano ili kuondoa adha ya msongamano iliyopo kwa wanafunzi katika chumba kimoja ambapo kwa sasa yapo madarasa yenye wanafunzi zaidi ya 100.
Related Posts
#HABARI: Manusura 16 wa maporomoko ya tope ya Mlima Kawetere, Kata ya Itezi, mkoani Mbeya, wamegomea viwanja walivyopewa wakidai…
#HABARI: Manusura 16 wa maporomoko ya tope ya Mlima Kawetere, Kata ya Itezi, mkoani Mbeya, wamegomea viwanja walivyopewa wakidai maeneo…
Iran: Uingereza inaendeleza siasa za kindumilakuwili kuhusu ugaidi
Ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini London umeilaumu Uingereza kwa siasa zake za nyuso mbili kuhusu ugaidi na…
#HABARI: Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imefanikiwa kuokoa upotevu wa fedha za serikali kiasi cha TZS: 567,636,151,9…
#HABARI: Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imefanikiwa kuokoa upotevu wa fedha za serikali kiasi cha TZS: 567,636,151,996.00…