#HABARI: Umati wa wananchi wanaosumbuliwa na magonjwa ya macho waliokosa huduma za kitabibu kwa kukosa fedha za matibabu ,katika Wilaya ya Nachingwea, mkoani Lindi, wemejitokeza kwa wingi kupatiwa matibabu bure,katika Hospitali ya Wilaya ya Nachingwea ambayo inashirikiana na kambi maalum ya Taasisi ya Mo Dewji Foundation. Huduma hiyo ya matibabu bure itahusisha pia wenye ulemavu wa ngozi.
Related Posts
#MCHEZOSUPA: Mshindi wa milioni 10 kutoka #Mchezosupa Bi
#MCHEZOSUPA: Mshindi wa milioni 10 kutoka #Mchezosupa Bi. Asia Rajabu, akizungumza mapema kwenye uzinduzi wa kampeni mpya ya #Jichaguliezaidi. –…
#MCHEZOSUPA: Mshindi wa milioni 10 kutoka #Mchezosupa Bi. Asia Rajabu, akizungumza mapema kwenye uzinduzi wa kampeni mpya ya #Jichaguliezaidi. –…
🔴Habari za Saa, Saa Saba na Dakika 55…..Agosti 1, 2024
🔴Habari za Saa, Saa Saba na Dakika 55…..Agosti 1, 2024 Post Views: 34
🔴Habari za Saa, Saa Saba na Dakika 55…..Agosti 1, 2024 Post Views: 34
🔴Habari za Saa, Saa Nne na Dakika 55, 09 Agosti 2024
🔴Habari za Saa, Saa Nne na Dakika 55, 09 Agosti 2024 Post Views: 37
🔴Habari za Saa, Saa Nne na Dakika 55, 09 Agosti 2024 Post Views: 37