#HABARI: Umati wa wananchi wanaosumbuliwa na magonjwa ya macho waliokosa huduma za kitabibu kwa kukosa fedha za matibabu ,katika Wilaya ya Nachingwea, mkoani Lindi, wemejitokeza kwa wingi kupatiwa matibabu bure,katika Hospitali ya Wilaya ya Nachingwea ambayo inashirikiana na kambi maalum ya Taasisi ya Mo Dewji Foundation. Huduma hiyo ya matibabu bure itahusisha pia wenye ulemavu wa ngozi.
Related Posts
🔴Habari za Saa, Saa Tano na Dakika 55…..Julai 29, 2024
🔴Habari za Saa, Saa Tano na Dakika 55…..Julai 29, 2024 Post Views: 28
🔴Habari za Saa, Saa Tano na Dakika 55…..Julai 29, 2024 Post Views: 28
#KIPIMAJOTO: “Wanaokula viapo kutumikia Jamhuri katika nafasi mbalimbali.Je,wanaishi viapo vyao?”
#KIPIMAJOTO: “Wanaokula viapo kutumikia Jamhuri katika nafasi mbalimbali.Je,wanaishi viapo vyao?” Post Views: 23
#KIPIMAJOTO: “Wanaokula viapo kutumikia Jamhuri katika nafasi mbalimbali.Je,wanaishi viapo vyao?” Post Views: 23
Ethiopia yataka juhudi za pamoja za kudumisha amani katika Pembe ya Afrika
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ethiopia ametoa mwito wa kuwepo juhudi za pamoja kati ya nchi za Pembe ya…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ethiopia ametoa mwito wa kuwepo juhudi za pamoja kati ya nchi za Pembe ya…