#HABARI: Serikali imeanza mchakato wa ujenzi wa bomba la mafufa laini na gesi, kwenda katika nchi 5 za Afrika katika kuifanya Ta…

#HABARI: Serikali imeanza mchakato wa ujenzi wa bomba la mafufa laini na gesi, kwenda katika nchi 5 za Afrika katika kuifanya Tanzania kufungua milango ya biashara za kimataifa na kuwa kitovu kikuu cha kusambaza gesi asilia katika nchi zote zinazopakana nayo.

#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania.

#Follow RadioOneStereo

(Feed generated with FetchRSS)