#HABARI: Askari mmoja wa Jeshi la Akiba, wilayani Mbozi, mkoani Songwe, aliyejulikana kwa jina la Samweli Kaminyoge, aliyekuwa ameongozana na Maafisa wa Maliasili kumsaka simba aliyedaiwa kuvamia makazi ya watu na kuuwa mifugo mbalimbali ikiwemo ng’ombe na mbuzi katika Kata ya Magamba, iliyopo wilayani humo, amenusurika kuuwa na Simba huyo baada ya kumvamiwa na kumjeruhiwa maeneo mbalimbali ya mwili.
Related Posts
#HABARI: Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Askofu Dokta Alex Malasusa, amesema ipo haja ya viongozi wa kidini na…
#HABARI: Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Askofu Dokta Alex Malasusa, amesema ipo haja ya viongozi wa kidini…
#HABARI: Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Askofu Dokta Alex Malasusa, amesema ipo haja ya viongozi wa kidini…
🔴MEZAHURU – CHATI CHUNGU, …Julai 31, 2024
🔴MEZAHURU – CHATI CHUNGU, …Julai 31, 2024 Post Views: 53
🔴MEZAHURU – CHATI CHUNGU, …Julai 31, 2024 Post Views: 53
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran alisifu Bunge lilivyoamiliana vizuri na Serikali mpya
Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema, kupigiwa kura ya imani mawaziri wote na Bunge la 12,…
Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema, kupigiwa kura ya imani mawaziri wote na Bunge la 12,…