Guterres ataka India na Pakistan zisitishe operesheni za kijeshi

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, ameelezea wasiwasi wake kuhusu operesheni za kijeshi zinazofanywa na jeshi la India kwenye mstari wa usimamizi na mpaka wake wa kimataifa na Pakistan.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *