Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amefuturu na wakimbizi wa Rohingya walioko kwenye kambi kubwa zaidi ya wakimbizi duniani, Cox Baazar nchini Bangladesh kuonyesha mshikamano na wakimbizi hao na wenyeji wanaowapa hifadhi.
Related Posts

Miili yote yapatikana baada ya watu 62 kufariki katika ajali ya ndege ya Brazil
China inapaswa kuadhibiwa – mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amedai kuwa Beijing lazima ilipe gharama kwa ajili ya kuisaidia Urusi…
Afrika Kusini iliwafukuza karibu wahamiaji haramu 47,000 mwaka wa fedha wa 2024/25.
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Afrika Kusini imetoa ripoti mpya na kusema kuwa, Pretoria iliwafukuza wahamiaji haramu 46,898 mwaka…
Mwisho wa domino ya kuwafukuza wanajeshi wa Ufaransa kutoka Afrika ya Kati
Msemaji wa jeshi la Chad ametangaza kwamba nchi hiyo ilipokea kambi ya mwisho ya jeshi la Ufaransa Alhamisi, Januari 30.…