Gharibabadi: Iran haina haja ya kupoteza muda kwenye mazungumzo

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje anayehusika na Sheria na Masuala ya Kimataifa amesema kuwa duru ijayo ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Iran na Marekani itafanyika kama ilivyopangwa na kwamba Tehran haina haja ya kupoteza muda.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *