Gachagua amuomba Raila kuungana na wapinzani wa Rais Ruto, amuahidi urais wa Kenya mwaka 2027

Aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua, amesema kwamba anaweza kumfanya kiongozi wa ODM, Raila Odinga kuwa rais wa Kenya iwapo atakubali kuungana naye na vigogo wengine wa upinzani.