Gabon wafanya uchaguzi leo; ni wa kwanza baada ya mapinduzi ya kijeshi

Wananchi wa Gabon leo Jumamosi wanashiriki kwenye uchaguzi wake wa kwanza wa rais tangu yalipotokea mapinduzi ya kijeshi yaliyomaliza utawala wa miaka 56 ya familia ya Bongo, na kuweka mazingira ya kurejea kwenye utawala wa kiraia katika nchi hiyo ya Afrika ya Kati.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *