Familia za mateka Wazayuni wanaoshikiliwa Ghaza zimesema, anachopigania waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni Benjamin Netanyahu ni kurefusha vita kwa malengo yake ya kisiasa, kwa hiyo njia pekee ya kuwarejesha mateka wao ni kuipindua serikali ya Netanyahu, na kwamba lengo hilo litafikiwa kwa wazayuni wote kumiminika mabarabarani.
Related Posts
Israel: Hatusitishi mashambulizi mpaka Wapalestina wafukuzwe Gaza; Syria igawanyishwe
Waziri wa fedha mwenye misimamo ya kuchupa mipaka wa Israel, Bezalel Smotrich anasema utawala huo wa Kizayuni utasitisha tu uvamizi…
Waziri wa fedha mwenye misimamo ya kuchupa mipaka wa Israel, Bezalel Smotrich anasema utawala huo wa Kizayuni utasitisha tu uvamizi…
Pakistan: Tutalipiza kisasi cha mashambulio ya makombora ya India yalioua 31
Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif amesema nchi hiyo “italipiza kisasi cha damu ya mashahidi wetu wasio na hatia” baada…
Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif amesema nchi hiyo “italipiza kisasi cha damu ya mashahidi wetu wasio na hatia” baada…
Rais Pezeshkian: Tunaijenga Iran kwa kutegemea nguvu za ndani na kutoa majibu dhidi ya vikwazo
Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza umuhimu wa nguvu ya ndani na mshikamano wa kitaifa na…
Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza umuhimu wa nguvu ya ndani na mshikamano wa kitaifa na…