Familia za mateka Wazayuni: Njia pekee ya kuwarejesha mateka ni kuipindua serikali ya Netanyahu

Familia za mateka Wazayuni wanaoshikiliwa Ghaza zimesema, anachopigania waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni Benjamin Netanyahu ni kurefusha vita kwa malengo yake ya kisiasa, kwa hiyo njia pekee ya kuwarejesha mateka wao ni kuipindua serikali ya Netanyahu, na kwamba lengo hilo litafikiwa kwa wazayuni wote kumiminika mabarabarani.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *