Faida za makubaliano ya Iran na Umoja wa Kiuchumi wa Eurasia

Ali Ahmadnia, Mkuu wa Masuala ya Habari wa Serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kuwa takriban asilimia 87 ya bidhaa zinazouzwa kati ya Iran na nchi tano wanachama wa Umoja wa Kiuchumi wa Eurasia (EAEU) zitauzwa kati ya nchi hizo bila kutozwa ushuru.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *