EU: Hatuwezi kuficha wasiwasi tulionao kuhusu matukio yanayojiri Ufukwe wa Magharibi, Palestina

Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema, umoja huo hauwezi kuficha wasiwasi ulionao kuhusu matukio yanayojiri katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kwamba mzozo wa Palestina na Israel hauna ufumbuzi mwingine isipokuwa suluhu ya kuundwa mataifa mawili.