Duru ya nne ya mazungumzo ya Iran na Marekani kufanyika karibuni

Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran, Ismail Baqaei, amesema kuwa, duru ya nne ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Iran na Marekani itafanyika Jumamosi ijayo huko Muscat, Oman.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *