Duru ya Kizayuni: Netanyahu anajaribu kuvuruga makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza

Chombo kimoja cha bahari cha lugha ya Kiibrania kimetangaza kuwa Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel anafanya kila awezalo kuvuruga makubaliano ya kusimamisha mapigano katika Ukanda wa Gaza.