DRC: Chama cha Kabila chasema kimerejea kazini licha ya kupigwa marufuku

Chama cha Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Joseph Kabila kimesema kuwa, kitaendelea na shughuli zake kama kawaida licha ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi hiyo kupiga marufuku shughuli zake hizo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *