Waziri wa Mambo ya Nje wa Cuba amepinga viza ya kadi ya dhahabu ya kupewa makazi mkabawa wa dola milioni tano ya Marekani, na kuituhumu serikali ya Trump kwa kutumia suala la uhamiaji kama biashara, kwa kuuza nyumba na kuwafukuza wahamiaji haramu.
Related Posts
Biden atoa wito wa kufanyia marekebisho Katiba ya Marekani, aonya dhidi ya kulimbikizwa madaraka mikononi mwa matajiri
Rais anayeondoka wa Marekani, Joe Biden, ametoa wito wa kufanyiwa marekebisho Katiba ya nchi hiyo ili kuzuia rais yeyote kupata…
Rais anayeondoka wa Marekani, Joe Biden, ametoa wito wa kufanyiwa marekebisho Katiba ya nchi hiyo ili kuzuia rais yeyote kupata…
Mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Yemen, je, Marekani itaweza kufungua njia za Bahari Nyekundu?
Wiki hii, Jeshi la Yemen lilitangaza kuhusika na mfululizo wa mashambulizi yaliyofanyika kwa ustadi wa hali ya juu na kuzitwanga…
Wiki hii, Jeshi la Yemen lilitangaza kuhusika na mfululizo wa mashambulizi yaliyofanyika kwa ustadi wa hali ya juu na kuzitwanga…
Uganda yatuma askari 1,000 zaidi mashariki mwa DRC
Uganda imeripotiwa kutuma wanajeshi zaidi ya 1,000 wa ziada huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ndani ya wiki…
Uganda imeripotiwa kutuma wanajeshi zaidi ya 1,000 wa ziada huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ndani ya wiki…