Kamati ya Kulinda Waandishi wa Habari (CPJ) imesema mwaka 2024 ulikuwa mwaka mbaya zaidi katika historia iliyorekodiwa kwa waandishi wa habari waliouawa, na kwamba utawala wa Israel unawajibika kwa kuua asilimia 70 ya waandishi 124 waliopoteza maisha mwaka jana.
Related Posts
Jumatatu, 17 Februari, 2025
Leo ni Jumatatu 18 Shaaban 1446 Hijria sawa na 17 Februari 2025. Post Views: 35
Waziri Mkuu mteule asema Greenland katu haitauzwa, aitaka Ulaya isimame nayo kukabiliana na Trump
Waziri Mkuu mteule wa Greenland Jens-Frederik Nielsen ameziomba nchi za Ulaya zisimame pamoja nayo na kusisitiza kuwa eneo hilo si…
Jumapili, Pili Februari, 2025
Leo ni Jumapili tarehe Tatu Shaaban 1446 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe Pili Februari 2025 Miladia. Post Views: 16