Chuo Kikuu cha Harvard chafungua mashtaka dhidi ya utawala wa Trump

Chuo Kikuu cha Harvard kimefungua mashtaka dhidi ya serikali ya Marekani kikitaka kumzuia Rais Donald Trump asisimamishe mabilioni ya dola ya bajeti ya Serikali ya Federali kwa chuo hicho na kulinda uhuru wake.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *