Mauaji ya kudungwa kisu Muislamu nchini Ufaransa ndani ya Msikiti Khadija katika kijiji kilichoko kusini mwa nchini humo yameibua maswali mengi kuhusu kuongezeka kwa mivutano ya kijamii na ubaguzi dhidi ya Waislamu, hasa ikitiliwa maanani kwamba chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu (Islamophobia) ni jambo linaloisumbua nchi Ufaransa
Related Posts
Jumatano, 19 Machi, 2025
Leo ni Jumatano tarehe 18 mwezi wa Ramadhani 1446 Hijria mwafaka na tarehe 19 Machi 2025. Post Views: 12
Leo ni Jumatano tarehe 18 mwezi wa Ramadhani 1446 Hijria mwafaka na tarehe 19 Machi 2025. Post Views: 12
Ufaransa kuwafundisha Waukraine kupigana na Urusi (VIDEO)
Ufaransa kuwafundisha Waukraine kupigana na Urusi (VIDEO)Rais Emmanuel Macron ameonyesha mpango wa maagizo ya kijeshi kaskazini mashariki mwa nchi Rais…
Ufaransa kuwafundisha Waukraine kupigana na Urusi (VIDEO)Rais Emmanuel Macron ameonyesha mpango wa maagizo ya kijeshi kaskazini mashariki mwa nchi Rais…
Mazungumzo ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Yemen kuhusu matukio ya eneo
Sayyid Abbas Araqchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amefanya mazungumzo ya simu na Jamal…
Sayyid Abbas Araqchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amefanya mazungumzo ya simu na Jamal…