China yapuuza vikwazo vya Marekani, yanunua mafuta ya Iran kwa wingi

Licha ya vitisho vya vikwazo kutoka kwa Marekani, uagizaji wa mafuta ya Iran na China umeongezeka kwa kasi kubwa mwezi Machi. Kwa mujibu wa mashirika ya kufuatilia meli za mafuta, China imeongeza ununuzi wake wa mafuta kutoka Iran, wakati mvutano wa kibiashara kati yake na Marekani.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *