Licha ya vitisho vya vikwazo kutoka kwa Marekani, uagizaji wa mafuta ya Iran na China umeongezeka kwa kasi kubwa mwezi Machi. Kwa mujibu wa mashirika ya kufuatilia meli za mafuta, China imeongeza ununuzi wake wa mafuta kutoka Iran, wakati mvutano wa kibiashara kati yake na Marekani.
Related Posts
Askari wengine 144 wa Kenya wapelekwa Haiti kusaidia kurejesha usalama na utulivu nchini humo
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Kenya Kipchumba Murkomen, amesema jukumu la kudhamini usalama linalotekelezwa na kikosi cha usaidizi cha…
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Kenya Kipchumba Murkomen, amesema jukumu la kudhamini usalama linalotekelezwa na kikosi cha usaidizi cha…
Sudan Kusini yawatia mbaroni ‘wapambe’ wa Riek Machar
Vikosi vya Sudan Kusini vimemkamata Waziri wa Mafuta na maafisa kadhaa wakuu wa kijeshi waitifaki wa Makamu wa Kwanza wa…
Vikosi vya Sudan Kusini vimemkamata Waziri wa Mafuta na maafisa kadhaa wakuu wa kijeshi waitifaki wa Makamu wa Kwanza wa…
Zaidi ya watu milioni 67 wana uhaba wa chakula Pembe ya Afrika
Takriban watu milioni 67.4 wa eneo la Pembe ya Afrika hawana uhakika wa chakula. Hayo yametangazwa na Shirika la Chakula…
Takriban watu milioni 67.4 wa eneo la Pembe ya Afrika hawana uhakika wa chakula. Hayo yametangazwa na Shirika la Chakula…