China imetangaza kuwa itazitoza ushuru wa ziada wa 34% bidhaa zote zinazoagizwa kutoka Marekani, hatua inayoonekana kuwa ni ya kujibu mapigo kwa ushuru wa 34% ambao Rais Donald Trump ameziwekea bidhaa zinazozalishwa na nchi hiyo yenye uchumi wa pili mkubwa zaidi duniani.
Related Posts
Vikosi vya Yemen vimeidungua ndege isiyo na rubani ya Marekani MQ-9
Jeshi la Yemen limeitungua ndege isiyo na rubani ya MQ-9 ya Marekani wakati ilipokuwa inafanya mashambulizi ya kiuadui katika anga…
Jeshi la Yemen limeitungua ndege isiyo na rubani ya MQ-9 ya Marekani wakati ilipokuwa inafanya mashambulizi ya kiuadui katika anga…

Wanajeshi wa Ukraine washambulia raia katika Mkoa wa Kursk wa Urusi (VIDEO)
Wanajeshi wa Ukraine washambulia raia katika Mkoa wa Kursk wa Urusi (VIDEO)Wawili wakiendesha gari karibu na mji wa Sudzha wanaonekana…
Wanajeshi wa Ukraine washambulia raia katika Mkoa wa Kursk wa Urusi (VIDEO)Wawili wakiendesha gari karibu na mji wa Sudzha wanaonekana…
Nigeria yalaaniwa kwa kukandamiza waandamanaji wa Siku ya Quds
Baraza la Uratibu wa Tablighi ya Kiislamu la Iran limetoa taarifa ya kulaani ukandamizaji waliofanyiwa Waislamu wa Nigeria wakati wa…
Baraza la Uratibu wa Tablighi ya Kiislamu la Iran limetoa taarifa ya kulaani ukandamizaji waliofanyiwa Waislamu wa Nigeria wakati wa…