China yajibu mapigo kwa Marekani, yazitoza ushuru wa 34% bidhaa za nchi hiyo

China imetangaza kuwa itazitoza ushuru wa ziada wa 34% bidhaa zote zinazoagizwa kutoka Marekani, hatua inayoonekana kuwa ni ya kujibu mapigo kwa ushuru wa 34% ambao Rais Donald Trump ameziwekea bidhaa zinazozalishwa na nchi hiyo yenye uchumi wa pili mkubwa zaidi duniani.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *