Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi amesema kusalimu amri na kufikia makubaliano na Marekani katika vita vya kibiashara vya Washington hakutakuwa na matokeo mengine ghairi ya kuchochea zaidi uchu na uroho wa Marekani.
Related Posts
Rais wa Misri kwa mara nyingine apinga kuhamishwa Wapalestina Gaza
Rais wa Misri, Abdel Fattah al-Sisi jana Ijumaa alisisitiza kwa mara nyingine tena kwamba nchi hiyo ya Kiarabu “inapinga kikamilifu”…
Rais wa Misri, Abdel Fattah al-Sisi jana Ijumaa alisisitiza kwa mara nyingine tena kwamba nchi hiyo ya Kiarabu “inapinga kikamilifu”…
Mjukuu wa Imam Khomeini: Kama Mapinduzi ya Kiislamu yasingekuwepo, HAMAS nayo isingelikuwepo wala hamasa yake
Mjukuu wa Imam Khomeini MA mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa: “Si haki kusema kwamba kukua na…
Mjukuu wa Imam Khomeini MA mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa: “Si haki kusema kwamba kukua na…
Mripuko wa bomu lililotegwa ardhini waua watu 26 kaskazini mashariki mwa Nigeria
Watu wapatao 26 wameuawa na wengine watatu wamejeruhiwa wakati magari mawili yalipokanyaga bomu la kutegwa ardhini katika jimbo la Borno…
Watu wapatao 26 wameuawa na wengine watatu wamejeruhiwa wakati magari mawili yalipokanyaga bomu la kutegwa ardhini katika jimbo la Borno…