China: Kusalimu amri kutachochea zaidi uchu wa Marekani

Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi amesema kusalimu amri na kufikia makubaliano na Marekani katika vita vya kibiashara vya Washington hakutakuwa na matokeo mengine ghairi ya kuchochea zaidi uchu na uroho wa Marekani.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *