Waziri wa Mambo ya Nje wa China amesema kuwa sera ya Rais Donald Trume ya ‘Marekani Kwanza’ haiwezi kufanikishwa kwa kutumia mbinu za ubabe wa Kimarekani, hasa iwapo jambo hilo ni kwa hasara ya maslahi ya nchi nyingine.
Related Posts
Mark Carney: Canada haitasahau usaliti wa Marekani/ Mahusiano ya zamani yamekwisha
Waziri Mkuu mteule wa Canada, Mark Carney ametoa ujumbe mzito kwa Marekani, akisema kwamba Ottawa haipaswi “kusahau usaliti wa Washington…
Waziri Mkuu mteule wa Canada, Mark Carney ametoa ujumbe mzito kwa Marekani, akisema kwamba Ottawa haipaswi “kusahau usaliti wa Washington…
Wasudan 31 wauawa katika shambulio la RSF mjini Omdurman
Raia wasiopungua 31 wa Sudan wakiwemo watoto wameuawa na wapiganaji wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) katika mji wa…
Raia wasiopungua 31 wa Sudan wakiwemo watoto wameuawa na wapiganaji wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) katika mji wa…
UNICEF: Watoto wa Gaza wanazidi kujongewa na njaa, maradhi na mauti
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limeonya kwamba watoto katika Ukanda wa Gaza wanakabiliwa na hatari kubwa…
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limeonya kwamba watoto katika Ukanda wa Gaza wanakabiliwa na hatari kubwa…