Wakati Donald Trump akianza muhula wake wa pili kama Rais wa Marekani, nchi za Ulaya zimeingiwa na wasiwasi na wahka mkubwa kuhusu sera zake. Sasa, maafisa wa nchi za Ulaya wanatafuta njia za kushughulikia changamoto zinazojitokeza baina pande hizo mbili, kuanzia kwenye vitisho vya kibiashara hadi masuala ya usalama.
Related Posts

EU inataka vita vya nyuklia – Mbunge mkuu wa Urusi
EU inataka vita vya nyuklia – Mbunge mkuu wa UrusiVyacheslav Volodin amekashifu wito wa Strasbourg wa “kuondoa vikwazo” kwa matumizi…
Watu wasiopungua 20 wameuawa katika hujuma ya wanajeshi wa Nigeria dhidi ya maandamano ya Siku ya Quds, Abuja
Makumi ya waandamanaji wanaoiunga mkono Palestina wameuawa na wengine kujeruhiwa wakati askari usalama walipofyatua risasi kwenye maandamano ya Siku ya…
Wasomali 4.4 wanaweza kukabiliwa na njaa kufikia Aprili 2025
Serikali ya Somalia na mashirika ya misaada ya Umoja wa Mataifa yalionya Jumatano kuwa watu milioni 4.4 wanaweza kukabiliwa na…