Skip to content

MALUMBANO DUNIANI

Mizozo ya kijeshi duniani

  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us

Category: SWAHILI NEWS

ÙŒWanajeshi 110 wa Israel wameangamizwa tangu Tel Aviv ianzishe mashambulizi ya nchi kavu dhidi ya Lebanon
SWAHILI NEWS

ÙŒWanajeshi 110 wa Israel wameangamizwa tangu Tel Aviv ianzishe mashambulizi ya nchi kavu dhidi ya Lebanon

MUKSININovember 21, 2024

Idara yha Oparesheni ya Muqawama wa Kiislamu wa Lebanon imetangaza kuwa, hadi sasa wanajeshi 110 wa utawala wa Kizayuni wa…

Utawala wa Kizayuni waendelea kukodolea macho ya tamaa ardhi ya Somalia
SWAHILI NEWS

Utawala wa Kizayuni waendelea kukodolea macho ya tamaa ardhi ya Somalia

MUKSININovember 21, 2024

Utawala wa Kizayuni wa Israel unaendeleza njama zake za kutaka kuwa na kituo cha kijeshi kaskazini mwa Somalia, kupitia eneo…

Karibu watoto wote huko Gaza wanasumbuliwa na athari za kisaikolojia za vita
SWAHILI NEWS

Karibu watoto wote huko Gaza wanasumbuliwa na athari za kisaikolojia za vita

MUKSININovember 21, 2024

Madhara ya afya ya akili ya vita vya mauaji ya kimbari vya Israel dhidi ya Wapalestina huko Gaza yanaweza kuonekana…

Msumbiji: Upinzani watoa wito kuomboleza vifo vya watu 50
SWAHILI NEWS

Msumbiji: Upinzani watoa wito kuomboleza vifo vya watu 50

MUKSININovember 21, 2024

Kiongozi wa upinzani nchini Msumbiji Venancio Mondlane ametoa wito wa kufanyika siku tatu za maombolezo kuanzia jana Jumatano kutokana na…

Kenya yakana kuhusika na kutekwa nyara Kizza Besigye
SWAHILI NEWS

Kenya yakana kuhusika na kutekwa nyara Kizza Besigye

MUKSININovember 20, 2024

Serikali ya Kenya imekana kuhusika na madai ya kutekwa nyara kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye. Katibu Mkuu wa…

Wanajeshi wasiopungua 12 wa Nigeria wauawa katika hujuma ya Boko Haram
SWAHILI NEWS

Wanajeshi wasiopungua 12 wa Nigeria wauawa katika hujuma ya Boko Haram

MUKSININovember 20, 2024

Wanajeshi zaidi ya 12 wa Nigeria waliuliwa jana Jumanne katika mashambulizi kadhaa ya kundi la kigaidi la Boko Haram dhidi…

Kamanda wa Marekani akiri kusalia matupu maghala ya silaha ya nchi hiyo
SWAHILI NEWS

Kamanda wa Marekani akiri kusalia matupu maghala ya silaha ya nchi hiyo

MUKSININovember 20, 2024

Kamanda wa jeshi la Marekani katika eneo la Indo- Pacific amekiri kuwa maghaala ya silaha ya nchi hiyo hivi sasa…

Kikao cha pili cha kamati ya pande tatu za Iran, Saudi Arabia na China chafanyika Riyadh
SWAHILI NEWS

Kikao cha pili cha kamati ya pande tatu za Iran, Saudi Arabia na China chafanyika Riyadh

MUKSININovember 20, 2024

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Saudi Arabia na China zimefanya kikao cha pili cha pande tatu huko Riyadh, Saudi Arabia…

Afrika Kusini imeanza kuwaondoa chini ya ardhi wanaochimba madini kinyume cha sheria
SWAHILI NEWS

Afrika Kusini imeanza kuwaondoa chini ya ardhi wanaochimba madini kinyume cha sheria

MUKSININovember 20, 2024

Wataalamu wa uokoaji wa Afrika Kusini wamefika katika mgodi wa Stilfontein nchini humo kuanza operesheni ya kuwatoa chini ya ardhi…

Iran: Ni muhimu kuwepo mshikamano wa kimataifa kwa ajili ya kuwahami wanawake na watoto wa Gaza na Lebanon
SWAHILI NEWS

Iran: Ni muhimu kuwepo mshikamano wa kimataifa kwa ajili ya kuwahami wanawake na watoto wa Gaza na Lebanon

MUKSININovember 20, 2024

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anayehusika na masuala ya wanawake na familia amesisitiza umuhimu wa mshikamano…

Kuanzia utekaji nyara hadi kuuawa watoto 17,000 na utawala wa Israel; ujumbe wa Twitter kuhusu Siku ya Kimataifa ya Watoto
SWAHILI NEWS

Kuanzia utekaji nyara hadi kuuawa watoto 17,000 na utawala wa Israel; ujumbe wa Twitter kuhusu Siku ya Kimataifa ya Watoto

MUKSININovember 20, 2024

Parstoday- Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa, Ukanda wa Gaza umegeuka kuwa kaburi la watoto…

Amri mpya ya Putin na kuongezeka uwezekano wa kutumiwa silaha za nyuklia
SWAHILI NEWS

Amri mpya ya Putin na kuongezeka uwezekano wa kutumiwa silaha za nyuklia

MUKSININovember 20, 2024

Rais Vladimir Putin wa Russia Jumanne, Novemba 19, alitia saini amri ambayo inaipa Moscow ruhusa ya kutumia silaha za nyuklia…

Iran yaonya kuhusu azimio lolote dhidi ya Tehran katika kikao cha Bodi ya Magavana wa IAEA
SWAHILI NEWS

Iran yaonya kuhusu azimio lolote dhidi ya Tehran katika kikao cha Bodi ya Magavana wa IAEA

MUKSININovember 20, 2024

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametangaza kuwa hatua yoyote dhidi ya Tehran katika kikao kijacho cha Bodi ya…

Araqchi: Wanaotoa silaha kwa Israel wanaishutumu Iran kutuma makombora huko Russia
SWAHILI NEWS

Araqchi: Wanaotoa silaha kwa Israel wanaishutumu Iran kutuma makombora huko Russia

MUKSININovember 20, 2024

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Umoja wa Ulaya na Uingereza zinatumia mienendo inayokinzana dhidi ya Iran ambayo…

UNICEF: Zaidi ya watoto 200 wameuawa Lebanon katika mashambulizi ya Israel
SWAHILI NEWS

UNICEF: Zaidi ya watoto 200 wameuawa Lebanon katika mashambulizi ya Israel

MUKSININovember 20, 2024

Huku dunia ikiadhimisha Siku ya Kimataifa ya Watoto, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limesema zaidi ya…

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Gaza imekuwa kaburi la watoto
SWAHILI NEWS

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Gaza imekuwa kaburi la watoto

MUKSININovember 20, 2024

Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa, Ukanda wa Gaza umegeuka kuwa kaburi la watoto kutokana…

Al-Burhan: Vita vinakaribia kuisha na hakuna mapatano na maadui wa taifa
SWAHILI NEWS

Al-Burhan: Vita vinakaribia kuisha na hakuna mapatano na maadui wa taifa

MUKSININovember 20, 2024

Mkuu wa Baraza la Utawala wa Mpito nchini Sudan, Abdel Fattah Al-Burhan, amesema wakati wa mkutano wa kiuchumi katika mji…

Spika wa Bunge Kenya asema: Wabunge mtasafiri kwa treni, si kwa ndege, tunabana matumizi
SWAHILI NEWS

Spika wa Bunge Kenya asema: Wabunge mtasafiri kwa treni, si kwa ndege, tunabana matumizi

MUKSININovember 20, 2024

Spika wa Bunge la Kenya amesema wabunge watakaoshiriki katika michezo baina ya wabunge wa mataifa wanachama wa Jumuiya ya Afrika…

UNICEF: Kimya cha Jamii ya Kimataifa kinayafanya mauaji ya watoto Ghaza na Lebanon yaonekane jambo la kawaida
SWAHILI NEWS

UNICEF: Kimya cha Jamii ya Kimataifa kinayafanya mauaji ya watoto Ghaza na Lebanon yaonekane jambo la kawaida

MUKSININovember 20, 2024

Msemaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) amekosoa kimya cha Jamii ya Kimataifa kinachoyafanya mauaji ya…

Araqchi: Ipo nia ya dhati ya kupanua ushirikiano na Syria katika nyanja zote
SWAHILI NEWS

Araqchi: Ipo nia ya dhati ya kupanua ushirikiano na Syria katika nyanja zote

MUKSININovember 20, 2024

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina nia ya dhati ya kupanua…

Kolivand: Iran kutuma tani 10 za misaada kwa watu wa Lebanon
SWAHILI NEWS

Kolivand: Iran kutuma tani 10 za misaada kwa watu wa Lebanon

MUKSININovember 20, 2024

Mkuu wa Shirika la Hilali Nyekundu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRCS) ameeleza kuwa shirika hilo hivi karibuni litatuma…

Femi Fani Kayode: Mataifa ya Afrika yanapaswaa kuvunja uhusiano na Israel
SWAHILI NEWS

Femi Fani Kayode: Mataifa ya Afrika yanapaswaa kuvunja uhusiano na Israel

MUKSININovember 20, 2024

Waziri wa zamani wa Usafiri wa Anga nchini Nigeria na kiongozi wa Kikristo nchini humo amezitaka nchi za Kiafrika kuvunja…

Putin atia saini amri ya kupanua mazingira ya kubonyeza kitufe cha nyuklia
SWAHILI NEWS

Putin atia saini amri ya kupanua mazingira ya kubonyeza kitufe cha nyuklia

MUKSININovember 20, 2024

Rais Vladimir Putin wa Russia jana Jumanne, alitia saini amri ya kupanua uwezekano wa nchi yake kutumia silaha za nyuklia,…

Polisi wa Afrika Kusini wanapanga kuwaondoa wachimba madini haramu chini ya ardhi
SWAHILI NEWS

Polisi wa Afrika Kusini wanapanga kuwaondoa wachimba madini haramu chini ya ardhi

MUKSININovember 20, 2024

Msemaji wa Polisi ya Afrika Kusini, Athlenda Mathe, amesema kuwa wataalamu wa uokoaji wamekutana ili kutekeleza operesheni ya kuwatafuta wachimbaji…

Siku 1000 za vita vya Ukraine na mustakabali wake usiojulikana
SWAHILI NEWS

Siku 1000 za vita vya Ukraine na mustakabali wake usiojulikana

MUKSININovember 20, 2024

Jumatatu ya juzi 18 Novemba, 2024, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilifanya mkutano mjini New York, kwa mnasaba…

Jumatano, tarehe 20 Novemba, 2024
SWAHILI NEWS

Jumatano, tarehe 20 Novemba, 2024

MUKSININovember 20, 2024

Leo ni Jumatano tarehe 18 Jamadil Awwal 1446 Hijria sawa na 20 Novemba 2024. Katika siku kama ya leo miaka…

Kuendelea vitendo vya uhasama vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Iran
SWAHILI NEWS

Kuendelea vitendo vya uhasama vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Iran

MUKSININovember 19, 2024

Katika kuendeleza hatua zake za kiuadui dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Jumatatu ya jana tarehe 18 Novemba Umoja…

Kiongozi Muadhamu: Tutaendelea kuwa pamoja na wananchi wa Lebanon na Muqawama
SWAHILI NEWS

Kiongozi Muadhamu: Tutaendelea kuwa pamoja na wananchi wa Lebanon na Muqawama

MUKSININovember 19, 2024

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe wa maneno kwa ajili ya wananchi na viongozi wa Lebanon walioko kwenye…

Siku ya Utamaduni wa Washirazi yaadhimishwa nchini Tanzania
SWAHILI NEWS

Siku ya Utamaduni wa Washirazi yaadhimishwa nchini Tanzania

MUKSININovember 19, 2024

Balozi wa Iran nchini Tanzania ameshiriki katika Siku ya Utamaduni wa Washirazi iliyofanyika jijini Dar es Salaam ili kuzidi kutia…

UNRWA: Hakuna taasisi yoyote inayoweza kujaza nafasi yetu Ghaza
SWAHILI NEWS

UNRWA: Hakuna taasisi yoyote inayoweza kujaza nafasi yetu Ghaza

MUKSININovember 19, 2024

Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) amesema kuwa, hakuna taasisi yoyote inayoweza kujaza…

Wahamiaji 604 walizuiwa kuendelea na safari kwenye pwani ya Libya wiki iliyopita
SWAHILI NEWS

Wahamiaji 604 walizuiwa kuendelea na safari kwenye pwani ya Libya wiki iliyopita

MUKSININovember 19, 2024

Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limetangaza kuwa, wahamiaji 604 walikamatwa na kurudishwa nje ya pwani ya Libya wiki moja…

Watu 3 wauawa katika shambulizi la wanaotaka kujitenga nchini Cameroon
SWAHILI NEWS

Watu 3 wauawa katika shambulizi la wanaotaka kujitenga nchini Cameroon

MUKSININovember 19, 2024

Takriban watu watatu yaani mwanajeshi mmoja na raia wawili wameuawa katika shambulio la watu wanaotaka kujitenga kwenye eneo linalotokea vita…

Kuuawa Mohammad Afif; kukiri Israel kwamba nguvu ya vyombo vya habari vya Hizbullah ni ‘chungu’
SWAHILI NEWS

Kuuawa Mohammad Afif; kukiri Israel kwamba nguvu ya vyombo vya habari vya Hizbullah ni ‘chungu’

MUKSININovember 19, 2024

Parstoday- Mtaalamu wa masuala ya kimataifa na mtumiaji wa mtandao wa kijamii wa X, ameitambua hatua ya utawala wa Kizayuni…

Onyo la duru za kiusalama za Israel kwa Netanyahu
SWAHILI NEWS

Onyo la duru za kiusalama za Israel kwa Netanyahu

MUKSININovember 19, 2024

Duru za usalama za utawala wa Kizayuni zimemtumia ripoti waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netnyahu, na kumuonya kuhusu nguvu za…

Mgogoro wa hali ya hewa wachukua nafasi kubwa katika mkutano wa G20 nchini Brazil
SWAHILI NEWS

Mgogoro wa hali ya hewa wachukua nafasi kubwa katika mkutano wa G20 nchini Brazil

MUKSININovember 19, 2024

Migogoro ya hali ya hewa na vita nchini Ukraine na Mashariki ya Kati ilichukua nafasi kubwa katika siku ya kwanza…

Ombi la Antonio Guterres la kuzuia kuongezeka mivutano katika vita vya Ukraine
SWAHILI NEWS

Ombi la Antonio Guterres la kuzuia kuongezeka mivutano katika vita vya Ukraine

MUKSININovember 19, 2024

Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kuzuia kuongezeka mapigano nchini Ukraine. Kwa mujibu wa ripoti…

Wakuu wa IRIB watoa salamu za rambirambi baada ya kuuawa shahidi msemaji wa Hizbullah
SWAHILI NEWS

Wakuu wa IRIB watoa salamu za rambirambi baada ya kuuawa shahidi msemaji wa Hizbullah

MUKSININovember 19, 2024

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB), Peyman Jebelli, na Mkuu wa Kitengo cha…

Balozi mpya wa Kenya akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran
SWAHILI NEWS

Balozi mpya wa Kenya akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran

MUKSININovember 19, 2024

Balozi mpya wa Kenya nchini Iran amekutana na Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na…

Radiamali ya Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Tehran kwa mashambulio ya Israel dhidi ya nyumba za Walebanon
SWAHILI NEWS

Radiamali ya Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Tehran kwa mashambulio ya Israel dhidi ya nyumba za Walebanon

MUKSININovember 19, 2024

Pars Today- Mhadhiri mmoja wa Kiirani ameashiria mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya raia wa Gaza na…

Mhandisi Muirani ajiuzulu Google kulamikia ushirikiano wa kampuni hiyo na Israel katika mauaji ya kimbari Gaza
SWAHILI NEWS

Mhandisi Muirani ajiuzulu Google kulamikia ushirikiano wa kampuni hiyo na Israel katika mauaji ya kimbari Gaza

MUKSININovember 19, 2024

Mhandisi wa program za kompyuta wa Iran, Alireza Zakeri ametangaza kujiuzulu kutoka shirika la Google kutokana na ushirikiano wa kampuni…

Hizbullah yashambulia Tel Aviv kwa makombora ya balestiki
SWAHILI NEWS

Hizbullah yashambulia Tel Aviv kwa makombora ya balestiki

MUKSININovember 19, 2024

Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon inaendelea kutumia mkakati wake wa kujihami wa “Moto Kwa Moto, Beirut kwa Tel…

Iran: Mkuu wa vyombo vya habari wa Hizbullah aliyeuawa shahidi alikuwa “sauti kubwa” ya Lebanon
SWAHILI NEWS

Iran: Mkuu wa vyombo vya habari wa Hizbullah aliyeuawa shahidi alikuwa “sauti kubwa” ya Lebanon

MUKSININovember 19, 2024

Iran imelaani vikali mauaji ya msemaji wa Hizbullahh Mohammad Afif katika shambulio la Israel lililolenga jengo moja katikati mwa Beirut,…

Mwenyekiti wa Kamati ya UN: Vita vya Israel Ghaza vinaturejesha ‘zama za ushenzi usio na udhibiti’
SWAHILI NEWS

Mwenyekiti wa Kamati ya UN: Vita vya Israel Ghaza vinaturejesha ‘zama za ushenzi usio na udhibiti’

MUKSININovember 19, 2024

Mwenyekiti wa Kamati Maalumu ya Umoja wa Mataifa ya Kuchunguza Mienendo ya Israel Palestina (SCIIP) amesema, vita vya utawala wa…

Iran: Uingereza inashiriki katika mauaji Gaza kwa kukana mauaji ya kimbari ya Israel
SWAHILI NEWS

Iran: Uingereza inashiriki katika mauaji Gaza kwa kukana mauaji ya kimbari ya Israel

MUKSININovember 19, 2024

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baghaei, ameikosoa Uingereza kwa kukanusha mauaji ya kimbari yanayoendelea huko…

Wanajeshi 30 wa Kizayuni waangamizwa kaskazini mwa Ukanda wa Gaza
SWAHILI NEWS

Wanajeshi 30 wa Kizayuni waangamizwa kaskazini mwa Ukanda wa Gaza

MUKSININovember 19, 2024

Kwa akali wanajeshi 30 wa utawala haramu wa Israel wameangamizwa na wanamuqawama kaskazini mwa Ukanda wa Gaza katika majuma ya…

Waziri Tuggar: Nigeria inaunga mkono juhudi za ukombozi wa Palestina
SWAHILI NEWS

Waziri Tuggar: Nigeria inaunga mkono juhudi za ukombozi wa Palestina

MUKSININovember 19, 2024

Yusuf Maitama Tuggar, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Nigeria amesema kuwa nchi yake ingali inaunga mkono juhudi za kisiasa…

Wananchi wa Gabon wapasisha katiba mpya kupitia kura ya maoni
SWAHILI NEWS

Wananchi wa Gabon wapasisha katiba mpya kupitia kura ya maoni

MUKSININovember 19, 2024

Wananchi wa Gabon wamepasisha katiba mpya ya nchi hiyo kwa wingi wa kura katika zoezi la kura ya maoni lililofanyika…

Jebeli: Ulimwengu unashuhudia kuporomoka kwa utawala bandia wa Kizayuni
SWAHILI NEWS

Jebeli: Ulimwengu unashuhudia kuporomoka kwa utawala bandia wa Kizayuni

MUKSININovember 19, 2024

Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) amesema kuwa, hata wananchi wa Ulaya pia wametambua…

Jumanne, 19 Novemba, 2024
SWAHILI NEWS

Jumanne, 19 Novemba, 2024

MUKSININovember 19, 2024

Leo ni Jumanne tarehe 17 Mfunguo Nane Jamadul-Awwal 1446 Hijria inayosadifiana na tarehe 19 Novemba 2024. Siku kama ya leo…

Iran: Mkuu wa vyombo vya habari wa Hizbullah aliyeuawa shahidi alikuwa “sauti nzito” ya Lebanon
SWAHILI NEWS

Iran: Mkuu wa vyombo vya habari wa Hizbullah aliyeuawa shahidi alikuwa “sauti nzito” ya Lebanon

MUKSININovember 18, 2024

Iran imelaani vikali mauaji ya msemaji wa Hizbullah  Mohammad Afif katika shambulio la Israel lililolenga jengo moja katikati mwa Beirut,…

Posts navigation

Older posts
Newer posts
Copyright © 2025 MALUMBANO DUNIANI | Link News by Ascendoor | Powered by WordPress.
  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us