Skip to content

MALUMBANO DUNIANI

Mizozo ya kijeshi duniani

  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us

Category: SWAHILI NEWS

Maelfu ya Watunisia wakaribisha kutolewa hati ya kukamatwa Netanyahu
SWAHILI NEWS

Maelfu ya Watunisia wakaribisha kutolewa hati ya kukamatwa Netanyahu

MUKSININovember 23, 2024

Maelfu ya wananchi wa Tunisia wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo wakipongeza na kukaribisha kutolewa Mahakama ya Kimataifa…

Balozi wa Iran UN: Tuhuma za Marekani na Uingereza hazina msingi wowote
SWAHILI NEWS

Balozi wa Iran UN: Tuhuma za Marekani na Uingereza hazina msingi wowote

MUKSININovember 23, 2024

Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amekanusha tuhuma dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu zilizotolewa na…

Jeshi la Polisi Tanzania lamtia mbaroni kiongozi maarufu wa upinzani
SWAHILI NEWS

Jeshi la Polisi Tanzania lamtia mbaroni kiongozi maarufu wa upinzani

MUKSININovember 23, 2024

Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na mmoja wa viongozi mashuhuri wa upinzani nchini Tanzania amekamatwa…

Ripoti: Askari wasiopungua sita wa jeshi la Israel wamejiua katika miezi ya karibuni
SWAHILI NEWS

Ripoti: Askari wasiopungua sita wa jeshi la Israel wamejiua katika miezi ya karibuni

MUKSININovember 23, 2024

Askari wasiopungua sita wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel wameripotiwa kujiua katika miezi ya hivi karibuni, kutokana na…

Jumamosi, 23 Novemba, 2024
SWAHILI NEWS

Jumamosi, 23 Novemba, 2024

MUKSININovember 23, 2024

Leo ni Jumamosi 21 Mfunguo Nane Jamadul-Awwal 1446 Hijria sawa na 23 Novemba 2024 Miladia. Siku kama ya leo miaka…

Hasira isiyo na mfano wake dhidi ya Wazayuni barani Ulaya
SWAHILI NEWS

Hasira isiyo na mfano wake dhidi ya Wazayuni barani Ulaya

MUKSININovember 23, 2024

Jinai za kutisha zinazofanywa na Wazayuni katika Ukanda wa Gaza na Lebanon katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita zimekuwa na…

UN: Mauaji ya wafanyakazi wa misaada yamevunja rekodi mwaka 2024, wengi wao huko Gaza
SWAHILI NEWS

UN: Mauaji ya wafanyakazi wa misaada yamevunja rekodi mwaka 2024, wengi wao huko Gaza

MUKSININovember 23, 2024

Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu imesema kuwa mwaka huu umeshuhudia mauaji ya wafanyakazi wengi wa…

UN: Wanawake wa Afrika wanatumia masaa milioni 200 kila siku kuteka maji
SWAHILI NEWS

UN: Wanawake wa Afrika wanatumia masaa milioni 200 kila siku kuteka maji

MUKSININovember 23, 2024

Wanawake katika nchi za Afrika zilizo kusini mwa Jangwa la Sahara, wanatumia masaa milioni 200 kila siku kwa ajili ya…

Kamalvandi: Iran imeongeza uwezo wa kurutubisha urani ya nyuklia
SWAHILI NEWS

Kamalvandi: Iran imeongeza uwezo wa kurutubisha urani ya nyuklia

MUKSININovember 23, 2024

Behrouz Kamalvandi, msemaji na mkuu wa masuala ya kimataifa na kisheria katika Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amezungumzia…

Netanyahu ni mhalifu wa kivita, atakamatwa akikanyaga Dearborn Marekani
SWAHILI NEWS

Netanyahu ni mhalifu wa kivita, atakamatwa akikanyaga Dearborn Marekani

MUKSININovember 23, 2024

Mji mmoja nchini Marekani umeahidi kumkamata Waziri Mkuu wa utawala wa Israel, Benjamin Netanyahu, na waziri wake wa zamani wa…

Rais Pezeshkian atoa salamu za rambirambi kwa Pakistan kutokana na shambulio la kigaidi
SWAHILI NEWS

Rais Pezeshkian atoa salamu za rambirambi kwa Pakistan kutokana na shambulio la kigaidi

MUKSININovember 23, 2024

Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, ametoa salamu za rambirambi kufuatia shambulizi la kigaidi lililotokea kaskazini magharibi mwa Pakistan. Katika barua…

Ethiopia kuiuzia Tanzania umeme kupitia Kenya
SWAHILI NEWS

Ethiopia kuiuzia Tanzania umeme kupitia Kenya

MUKSININovember 23, 2024

Ethiopia inapanga kusafirisha takriban megawati 100 za umeme kwa Tanzania kupitia Kenya, ikiwa ni hatua muhimu ya ushirikiano wa nchi…

Radiamali ya Iran kwa azimio la nchi tatu za Ulaya kwa Bodi ya IAEA
SWAHILI NEWS

Radiamali ya Iran kwa azimio la nchi tatu za Ulaya kwa Bodi ya IAEA

MUKSININovember 22, 2024

Nchi tatu za Ulaya zimewasilisha mswada wa azimio kwa Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki…

Ayatullah Khatami: Uamuzi wa Bodi ya Magavana wa IAEA dhidi ya Iran umefuata matakwa ya Wazayuni
SWAHILI NEWS

Ayatullah Khatami: Uamuzi wa Bodi ya Magavana wa IAEA dhidi ya Iran umefuata matakwa ya Wazayuni

MUKSININovember 22, 2024

Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amelichukulia azimio la Bodi ya Magavana wa Wakala wa Kimataifa…

Salami: Tutalipa kisasi dhidi ya Israel na hilo halina shaka
SWAHILI NEWS

Salami: Tutalipa kisasi dhidi ya Israel na hilo halina shaka

MUKSININovember 22, 2024

Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran SEPAH amesema kuwa, wananchi wa Iran lazima wawe…

Afrika Kusini yaipongeza ICC kwa kutoa waranti wa kukamatwa Netanyahu na Gallant
SWAHILI NEWS

Afrika Kusini yaipongeza ICC kwa kutoa waranti wa kukamatwa Netanyahu na Gallant

MUKSININovember 22, 2024

Serikali ya Afrika Kusini imepongeza hatua ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ya kutoa hati ya kukamatwa Waziri Mkuu…

Chama tawala Senegal chaibuka mshindi katika uchaguzi wa Bunge
SWAHILI NEWS

Chama tawala Senegal chaibuka mshindi katika uchaguzi wa Bunge

MUKSININovember 22, 2024

Chama tawala nchini Senegal, PASTEF, kimeshinda karibu robo tatu ya viti vya Bunge katika uchaguzi uliofanyika wikendi iliyopita, matokeo yanayomaanisha…

Uamuzi wa ICC wa kutiwa mbaroni Netanyahu na mshirika waendelea kupongezwa
SWAHILI NEWS

Uamuzi wa ICC wa kutiwa mbaroni Netanyahu na mshirika waendelea kupongezwa

MUKSININovember 22, 2024

Mataifa na shakhsia mbalinmbali ulimwenguni wameendelea kupongeza uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) wa kutoa hati ya kukamatwa…

Mapigano mapya yazuka katika mji mkuu wa Sudan Kusini
SWAHILI NEWS

Mapigano mapya yazuka katika mji mkuu wa Sudan Kusini

MUKSININovember 22, 2024

Mapigano makali ya bunduki yamezuka, katika mji mkuu wa Sudan Kusini, Juba, baada ya vikosi vya usalama kwenda kumkamata mkuu…

Seneta wa Marekani aunga mkono hati ya ICC inayoamuru kukamatwa Netanyahu na Gallant
SWAHILI NEWS

Seneta wa Marekani aunga mkono hati ya ICC inayoamuru kukamatwa Netanyahu na Gallant

MUKSININovember 22, 2024

Seneta wa Marekani Bernie Sanders ameunga mkono uamuzi uliotoloewa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC jana Alkhamisi wa kuamuru…

Putin aonya kujibu mapigo kwa nchi zinazotoa silaha za kushambulia ardhi ya Russia
SWAHILI NEWS

Putin aonya kujibu mapigo kwa nchi zinazotoa silaha za kushambulia ardhi ya Russia

MUKSININovember 22, 2024

Rais Vladimir Russia ameonya kuwa, Moscow inabaki nayo haki yake ya kushambulia vituo vya kijeshi vya nchi zinazoruhusu silaha zao…

Iran kuweka sentrifuji za kisasa kujibu hatua ya Bodi ya Magavana ya IAEA kupitisha azimio dhidi yake
SWAHILI NEWS

Iran kuweka sentrifuji za kisasa kujibu hatua ya Bodi ya Magavana ya IAEA kupitisha azimio dhidi yake

MUKSININovember 22, 2024

Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran ametoa amri ya kuchukuliwa hatua madhubuti ikiwa ni pamoja na kuwekwa…

Magaidi wakufurishaji waua Waislamu 40 wa Kishia, wajeruhi 30 kaskazini magharibi mwa Pakistan
SWAHILI NEWS

Magaidi wakufurishaji waua Waislamu 40 wa Kishia, wajeruhi 30 kaskazini magharibi mwa Pakistan

MUKSININovember 22, 2024

Kundi la magaidi wakufurishaji wameyafyatulia risasi magari ya abiria yaliyokuwa yamebeba raia Waislamu wa madhehebu ya Shia kaskazini-magharibi mwa Pakistan…

Hata Uholanzi, Canada na Uswisi zasema zitamkamata Netanyahu akithubutu kwenda katika nchi zao
SWAHILI NEWS

Hata Uholanzi, Canada na Uswisi zasema zitamkamata Netanyahu akithubutu kwenda katika nchi zao

MUKSININovember 22, 2024

Waziri wa Mambo ya Nje wa Uholanzi amekaribisha uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC wa kutoa hati ya…

Borrell: Hati ya kukamatwa Netanyahu, Gallant si ya kisiasa, nchi zote za EU zina wajibu wa kuitekeleza
SWAHILI NEWS

Borrell: Hati ya kukamatwa Netanyahu, Gallant si ya kisiasa, nchi zote za EU zina wajibu wa kuitekeleza

MUKSININovember 22, 2024

Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya, Josep Borrell amesema, hati za zilizotolewa na Mahakama ya Kimataifa ya…

Baqaei: Vitisho, vikwazo na mashinikizo ya maadui dhidi ya Iran hayafui dafu
SWAHILI NEWS

Baqaei: Vitisho, vikwazo na mashinikizo ya maadui dhidi ya Iran hayafui dafu

MUKSININovember 22, 2024

Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesisitiza kuwa, vitisho, vikwazo na mashinikizo ya maadui dhidi ya Iran…

Polisi Afrika Kusini wavamia maghala ya chakula kusaka bidhaa zilizokwisha muda wake
SWAHILI NEWS

Polisi Afrika Kusini wavamia maghala ya chakula kusaka bidhaa zilizokwisha muda wake

MUKSININovember 22, 2024

Polisi wa Afrika Kusini wamegundua vyakula vinavyoshukiwa kuisha muda wake wakati walipovamia maghala kadhaa ya chakula mjini Durban. Haya yanajiri…

Utawala wa kijeshi Mali wamteua waziri mkuu mpya baada ya kumtimua Maiga
SWAHILI NEWS

Utawala wa kijeshi Mali wamteua waziri mkuu mpya baada ya kumtimua Maiga

MUKSININovember 22, 2024

Baraza la utawala wa kijeshi la Mali jana Alkhamisi lilimteua msemaji wake, Abdoulaye Maiga, kuwa waziri mkuu siku moja baada…

Ijumaa, Novemba 22, 2024
SWAHILI NEWS

Ijumaa, Novemba 22, 2024

MUKSININovember 22, 2024

Leo ni Ijumaa tarehe 20 Mfunguo Nane, Jamadil Awwal 1446 Hijria inayosadifiiana na 22 Novemba 2024. Siku kama ya leo…

Alkhamisi, Novemba 21, 2024
SWAHILI NEWS

Alkhamisi, Novemba 21, 2024

MUKSININovember 21, 2024

Leo ni Alkhamisi tarehe 19 Jamadil Awwal 1446 Hijria sawa na Novemba 21 mwaka 2024. Siku kama ya leo miaka…

Mahakama ya ICC yatoa waranti wa kukamatwa Netanyahu na Gallant
SWAHILI NEWS

Mahakama ya ICC yatoa waranti wa kukamatwa Netanyahu na Gallant

MUKSININovember 21, 2024

Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imetoa hati ya kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel Benjamin Netanyahu…

Rais Ruto: Maandamano ya mwezi Juni yalijaa uhuni
SWAHILI NEWS

Rais Ruto: Maandamano ya mwezi Juni yalijaa uhuni

MUKSININovember 21, 2024

Ris William Ruto wa Kenya ameonekana kutetea mienendo ya maafisa wa polisi waliodaiwa kuhangaisha waandamanaji mwezi Juni 2024, wakati wa…

Siku ya Kimataifa ya Watoto Duniani na siku za huzuni kwa watoto wa Gaza na Lebanon
SWAHILI NEWS

Siku ya Kimataifa ya Watoto Duniani na siku za huzuni kwa watoto wa Gaza na Lebanon

MUKSININovember 21, 2024

Siku ya Kimataifa ya Watoto imeadhimishwa duniani huku mauaji ya watoto wa Gaza na Lebanon yanayofanywa na utawala wa Kizayuni…

Marekani yapinga tena azimio la kusitisha mapigano Gaza
SWAHILI NEWS

Marekani yapinga tena azimio la kusitisha mapigano Gaza

MUKSININovember 21, 2024

Ikiwa ni katika muendelezo wa uungaji mkono wake mkubwa kwa utawala ghasibu wa Israel, mapema siku ya Jumatano Novemba, Marekani…

Rais wa Iran atoa wito kwa Papa Francis kusaidia kukomesha jinai za Wazayuni huko Gaza, Lebanon
SWAHILI NEWS

Rais wa Iran atoa wito kwa Papa Francis kusaidia kukomesha jinai za Wazayuni huko Gaza, Lebanon

MUKSININovember 21, 2024

Rais wa Iran Masoud Pezeshkian, katika ujumbe wake kwa Papa Francis, ametoa wito wa kumtaka atumie ofisi yake kusaidia kukomesha…

Pezeshkian: Upanuzi wa uhusiano na Qatar ni muhimu kwa Iran
SWAHILI NEWS

Pezeshkian: Upanuzi wa uhusiano na Qatar ni muhimu kwa Iran

MUKSININovember 21, 2024

Rais Masoud Pezeshkian amesema Iran inaupa umuhimu mkubwa upanuzi wa uhusiano na jirani na rafiki yake,  Qatar. Rais Pezeshkian aliyasema…

Hamas: Israel inalenga ‘kufuta uwepo wote wa Wapalestina’
SWAHILI NEWS

Hamas: Israel inalenga ‘kufuta uwepo wote wa Wapalestina’

MUKSININovember 21, 2024

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas,  inasema kuwa lengo pekee la utawala wa Kizayuni wa Israel ni “kufuta”…

Iran yaadhimisha Siku ya Kitaifa ya Mashujaa, kwa heshima ya Shahidi Qassem Soleimani
SWAHILI NEWS

Iran yaadhimisha Siku ya Kitaifa ya Mashujaa, kwa heshima ya Shahidi Qassem Soleimani

MUKSININovember 21, 2024

Iran leo inaadhimisha Siku ya Kitaifa ya Mashujaa , ikitoa heshima kwa mmoja wa watu wake wakuu, Shahidi Qassem Soleimani.…

Sheikh Qassem: Hizbullah kulenga Tel Aviv kujibu mashambulizi ya Israel dhidi ya Beirut
SWAHILI NEWS

Sheikh Qassem: Hizbullah kulenga Tel Aviv kujibu mashambulizi ya Israel dhidi ya Beirut

MUKSININovember 21, 2024

Kiongozi wa Hizbullah amesema harakati hiyo ya muqawama ya Lebanon iko tayari kupigana vita vya muda mrefu dhidi ya utawala…

Araghchi: Bodi ya Magavana ya IAEA inahitaji kupinga azimio la E3 dhidi ya Iran
SWAHILI NEWS

Araghchi: Bodi ya Magavana ya IAEA inahitaji kupinga azimio la E3 dhidi ya Iran

MUKSININovember 21, 2024

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi amesema wajumbe wa Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa…

Iran na Qatar zasisitiza ulazima wa kuhitimishwa mauaji ya kimbari Ukanda wa Gaza
SWAHILI NEWS

Iran na Qatar zasisitiza ulazima wa kuhitimishwa mauaji ya kimbari Ukanda wa Gaza

MUKSININovember 21, 2024

Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Qatar katika mazungumzo yao mjini Tehran wamesisitiza juu…

Marekani yapinga tena rasimu ya azimio la kusitisha vita, Gaza
SWAHILI NEWS

Marekani yapinga tena rasimu ya azimio la kusitisha vita, Gaza

MUKSININovember 21, 2024

Katika kuuhami na kuunga mkono utawala wa Israel, Marekani kwa mara nyingine tena imelipigia kura ya turufu azimio la nchi…

Wapiganaji wa RSF washambulia kijiji na kuua watu 42 katikati mwa Sudan
SWAHILI NEWS

Wapiganaji wa RSF washambulia kijiji na kuua watu 42 katikati mwa Sudan

MUKSININovember 21, 2024

Watu wasiopungua 42 wameuawa katika shambulizi lililofanywa na wapiganaji wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) katika kijiji cha Wad…

Watu wasiopungua 36 wauawa shahidi katika hujuma ya anga ya Israel katika mji wa Palmyra, Syria
SWAHILI NEWS

Watu wasiopungua 36 wauawa shahidi katika hujuma ya anga ya Israel katika mji wa Palmyra, Syria

MUKSININovember 21, 2024

Takriban watu 36 wameuawa shahidi katika mashambulizi ya anga ya utawala wa Kizayuni katika mji wa kihistoria na kitamaduni wa…

Upinzani Kongo wataka kuchukuliwa hatua kuzuia mabadiliko ya katiba
SWAHILI NEWS

Upinzani Kongo wataka kuchukuliwa hatua kuzuia mabadiliko ya katiba

MUKSININovember 21, 2024

Vyama vya upinzani nchini Jamhuri ya Kidmemokrasia ya Kongo vimewatolea wito wananchi kupinga mipango tarajiwa inayoandaliwa na Rais Felix Tshisekedi…

ICC yamhukumu miaka 10 jela mhalifu wa kivita kwa ukatili huko Mali
SWAHILI NEWS

ICC yamhukumu miaka 10 jela mhalifu wa kivita kwa ukatili huko Mali

MUKSININovember 21, 2024

Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imemhukumu kifungo cha miaka kumi jela mkuu wa polisi muasi kwa jinai za kivita…

Mpasuko na mgogoro mkubwa katika baraza la mawaziri la Netanyahu kutokana na baraza hilo kushindwa kukabiliana na makundi ya muqawama
SWAHILI NEWS

Mpasuko na mgogoro mkubwa katika baraza la mawaziri la Netanyahu kutokana na baraza hilo kushindwa kukabiliana na makundi ya muqawama

MUKSININovember 21, 2024

Baraza la Mawaziri la utawala wa Kizayuni wa Israel linakabiliwa na mgogoro mkubwa usio na mfano wake kufuatia kuendelea vita…

Nchi za Kiislamu zichukue hatua dhidi ya askari wa Israel aliyevunjia heshima Qur’ani
SWAHILI NEWS

Nchi za Kiislamu zichukue hatua dhidi ya askari wa Israel aliyevunjia heshima Qur’ani

MUKSININovember 21, 2024

Kitendo cha hivi punde zaidi cha kuvunjiwa heshima Qur’ani na askari wa utawala haramu wa Israel huko Gaza kimelaaniwa na…

Kamanda wa Zamani: Adui anataka kulenga Iran, Saudi Arabia, Uturuki ikiwa Palestina itaanguka
SWAHILI NEWS

Kamanda wa Zamani: Adui anataka kulenga Iran, Saudi Arabia, Uturuki ikiwa Palestina itaanguka

MUKSININovember 21, 2024

Kamanda Mkuu wa zamani wa Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ameonya kuwa utawala wa Israel…

ٌWanajeshi 110 wa Israel wameangamizwa tangu Tel Aviv ianzishe mashambulizi ya nchi kavu dhidi ya Lebanon
SWAHILI NEWS

ٌWanajeshi 110 wa Israel wameangamizwa tangu Tel Aviv ianzishe mashambulizi ya nchi kavu dhidi ya Lebanon

MUKSININovember 21, 2024

Idara yha Oparesheni ya Muqawama wa Kiislamu wa Lebanon imetangaza kuwa, hadi sasa wanajeshi 110 wa utawala wa Kizayuni wa…

Posts navigation

Older posts
Newer posts
Copyright © 2025 MALUMBANO DUNIANI | Link News by Ascendoor | Powered by WordPress.
  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us