Skip to content

MALUMBANO DUNIANI

Mizozo ya kijeshi duniani

  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us

Category: SWAHILI NEWS

Jumanne, 26 Novemba, 2024
SWAHILI NEWS

Jumanne, 26 Novemba, 2024

MUKSININovember 26, 2024

Leo ni Jumanne 24 Mfunguo Nane Jamadul-Awwal 1446 Hijria mwafaka na tarehe 26 Novemba 2024. Katika siku kama ya leo miaka…

Siku ya Kimataifa ya Marufuku ya Ukatili Dhidi ya Wanawake sambamba na hali ya kusikitisha ya wanawake wa Gaza
SWAHILI NEWS

Siku ya Kimataifa ya Marufuku ya Ukatili Dhidi ya Wanawake sambamba na hali ya kusikitisha ya wanawake wa Gaza

MUKSININovember 25, 2024

Leo tarehe Novemba 25 ni Siku ya Kimataifa ya Kupiga Marufuku Ukatili dhidi ya Wanawake. Hii ni katika hali ambayo…

Imam Khamenei: Netanyahu ahukumiwe kifo, hukumu ya ICC ya kukamatwa mhalifu huyo wa vita haitoshi
SWAHILI NEWS

Imam Khamenei: Netanyahu ahukumiwe kifo, hukumu ya ICC ya kukamatwa mhalifu huyo wa vita haitoshi

MUKSININovember 25, 2024

Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei ametoa wito wa kuhukumiwa kifo Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ambaye…

Wanajeshi wa Kizayuni washambulia maeneo mbalimbali katika Ukingo wa Magharibi
SWAHILI NEWS

Wanajeshi wa Kizayuni washambulia maeneo mbalimbali katika Ukingo wa Magharibi

MUKSININovember 25, 2024

Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa mara nyingine tena wameshambulia maeneo mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi wa Mto…

Wananchi wa Malawi waandamana kulalamikia uhaba mkubwa wa petroli na dizeli
SWAHILI NEWS

Wananchi wa Malawi waandamana kulalamikia uhaba mkubwa wa petroli na dizeli

MUKSININovember 25, 2024

Polisi katika mji wa Lilongwe nchini Malawi leo Jumatatu wametumia gesi ya kutoa machozi kutawanya umati wa waandamanaji waliotaka kujiuzulu…

Waziri wa Mafuta: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haina changamoto yoyote katika kuuza mafuta nje ya nchi
SWAHILI NEWS

Waziri wa Mafuta: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haina changamoto yoyote katika kuuza mafuta nje ya nchi

MUKSININovember 25, 2024

Waziri wa Mafuta wa Iran amesema kuwa Iran haina tatizo lolote katika uga wa kuuza na kusafirisha mafuta nje ya…

Mkuu wa hospitali ya Gaza aliyejeruhiwa aomba msaada huku Israel ikitekeleza maangamizi
SWAHILI NEWS

Mkuu wa hospitali ya Gaza aliyejeruhiwa aomba msaada huku Israel ikitekeleza maangamizi

MUKSININovember 25, 2024

Mkurugenzi wa hospitali ya Gaza ambayo imezingirwa na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel ametoa wito kwa jamii ya…

Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran aahidi uungaji mkono endelevu kwa Muqawama
SWAHILI NEWS

Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran aahidi uungaji mkono endelevu kwa Muqawama

MUKSININovember 25, 2024

Israel imefikia katika hali ya mkwamo, na Jamhuri ya Kiislamu itaendelea daima kuunga mkono mapambano halali na ya haki dhidi ya…

Iran yakanusha madai ya kuhusika katika mauaji ya kuhani wa Israel huko Abu Dhabi
SWAHILI NEWS

Iran yakanusha madai ya kuhusika katika mauaji ya kuhani wa Israel huko Abu Dhabi

MUKSININovember 25, 2024

Ubalozi wa Iran mjini Abu Dhabi katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) umepinga madai ya kuhusika kwa namna yoyote…

Iran: Dunia isimame kutetea wanawake wa Kipalestina
SWAHILI NEWS

Iran: Dunia isimame kutetea wanawake wa Kipalestina

MUKSININovember 25, 2024

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametuma ujumbe katika mtandao wa kijamii wa X kwa mnasaba wa…

Hizbullah yashambulia vituo vya Israel kwa kutumia ndege zisizo na rubani, makombora
SWAHILI NEWS

Hizbullah yashambulia vituo vya Israel kwa kutumia ndege zisizo na rubani, makombora

MUKSININovember 25, 2024

Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imefanya mashambulizi makubwa ya makombora na ndege zisizo na rubani dhidi ya Israel, ikilenga maeneo…

Naibu rais aliyetimuliwa Kenya aishambulia serikali ya Rais Ruto, asema haisikilizi vilio vya watu
SWAHILI NEWS

Naibu rais aliyetimuliwa Kenya aishambulia serikali ya Rais Ruto, asema haisikilizi vilio vya watu

MUKSININovember 25, 2024

Naibu Rais wa Kenya aliyeng’olewa madarakani, Rigathi Gachagua, ameishambulia serikari ya bosi wake wa zamani, Rais William Ruto, akisema imeziba…

Medvedev aonya: Kombora la Oreshnik linaweza kusababisha uharibifu Magharibi kwa dakika chache
SWAHILI NEWS

Medvedev aonya: Kombora la Oreshnik linaweza kusababisha uharibifu Magharibi kwa dakika chache

MUKSININovember 25, 2024

Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la Russia, amesema kwamba kombora la nchi hiyo la “Oreshnik” linaweza kusababisha uharibifu mkubwa…

Sami Abu Zuhri: Gaza itasalia kuwa ardhi ya Palestina
SWAHILI NEWS

Sami Abu Zuhri: Gaza itasalia kuwa ardhi ya Palestina

MUKSININovember 25, 2024

Kiongozi wa ngazi za juu wa harakati ya Hamas amesema: “Utawala ghasiibu wa Israel una dhana kwamba unaweza kufikia malengo…

Kukata tamaa kwa utawala wa Kizayuni dhidi ya makundi ya muqawama
SWAHILI NEWS

Kukata tamaa kwa utawala wa Kizayuni dhidi ya makundi ya muqawama

MUKSININovember 25, 2024

Licha ya uungaji mkono wa pande zote wa Ikulu ya White House kwa Tel Aviv, utawala wa Kizayuni hauna uwezo…

Araghchi kushiriki mkutano wa UNAOC nchini Ureno
SWAHILI NEWS

Araghchi kushiriki mkutano wa UNAOC nchini Ureno

MUKSININovember 25, 2024

Abbas Araghchi Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anatazamia kuelekea nchini Ureno kushiriki katika mkutano wa 10 wa kimataifa…

Venezuela yapongeza misimamo ya Iran kuhusu uingiliaji wa Washington katika masuala ya ndani ya Caracas
SWAHILI NEWS

Venezuela yapongeza misimamo ya Iran kuhusu uingiliaji wa Washington katika masuala ya ndani ya Caracas

MUKSININovember 25, 2024

Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Venezuela amepongeza misimamo ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kukabiliana na uingiliaji kati…

Russia yakosoa hatua ya Magharibi dhidi ya Iran katika Bodi ya Magavana ya IAEA
SWAHILI NEWS

Russia yakosoa hatua ya Magharibi dhidi ya Iran katika Bodi ya Magavana ya IAEA

MUKSININovember 25, 2024

Ubalozi wa Russia mjini Tehran umekosoa hatua ya nchi za Magharibi dhidi ya Iran katika Bodi ya Magavana ya Wakala…

Wakili Lukwago: Kenya ilihusika kukamatwa Kizza Besigye
SWAHILI NEWS

Wakili Lukwago: Kenya ilihusika kukamatwa Kizza Besigye

MUKSININovember 25, 2024

Wakili wa kiongozi wa upinzani nchini Uganda amesema kuwa, inaonekana mamlaka za Kenya zilihusika pakubwa katika kukamatwa huko Nairobi Kizza…

Uchunguzi wa maoni: Theluthi moja ya vijana Wayahudi wa Marekani wanaiunga mkono Hamas
SWAHILI NEWS

Uchunguzi wa maoni: Theluthi moja ya vijana Wayahudi wa Marekani wanaiunga mkono Hamas

MUKSININovember 25, 2024

Uchunguzi wa maoni wa karibuni uliofanywa na utawala wa Israel umeonyesha kuwa zaidi ya theluthi moja ya vijana Wayahudi wa…

UN yasisitiza kuhitimishwa vita Ukanda wa Gaza na Lebanon
SWAHILI NEWS

UN yasisitiza kuhitimishwa vita Ukanda wa Gaza na Lebanon

MUKSININovember 25, 2024

Mjumbe Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na masuala ya Syria ametaka kuhitimishwa vita katika Ukanda wa…

Utekelezaji wa hukumu ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), mtihani kwa Wamagharibi
SWAHILI NEWS

Utekelezaji wa hukumu ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), mtihani kwa Wamagharibi

MUKSININovember 24, 2024

Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya haki za binadamu huko Palestina amesema kuwa utekelezaji na kushikamana nchi…

Jeshi la Israel linaendelea kuteketeza roho za watu wasio na hatia Ghaza na Lebanon
SWAHILI NEWS

Jeshi la Israel linaendelea kuteketeza roho za watu wasio na hatia Ghaza na Lebanon

MUKSININovember 24, 2024

Katika siku ya 416 ya vita dhidi ya Ukanda wa Ghaza, utawala wa Kizayuni unaendeleza mashambulizi ya kinyama na mauaji…

Brigedia Jenerali Reza Sadeghi: US imetumia dola trilioni tisa Asia Magharibi bila mafanikio yoyote
SWAHILI NEWS

Brigedia Jenerali Reza Sadeghi: US imetumia dola trilioni tisa Asia Magharibi bila mafanikio yoyote

MUKSININovember 24, 2024

Mshauri mwandamizii wa Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema: Wamarekani hawajapata mafanikio licha ya…

Spika Qalibaf: Uwekaji wa mashinepewa za kisasa ni jibu kwa ufanyaji mambo kisiasa wa IAEA
SWAHILI NEWS

Spika Qalibaf: Uwekaji wa mashinepewa za kisasa ni jibu kwa ufanyaji mambo kisiasa wa IAEA

MUKSININovember 24, 2024

Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema, kuanza kutumiwa mashinepewa (centrifuges) mpya na za kisasa ni jibu…

Russia: Mkataba wa ushirikiano mpana wa kistratejia na Iran utajumuisha ulinzi na usalama
SWAHILI NEWS

Russia: Mkataba wa ushirikiano mpana wa kistratejia na Iran utajumuisha ulinzi na usalama

MUKSININovember 24, 2024

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema mkataba wa ushirikiano wa kimkakati na mpana kati ya nchi yake…

Jumuiya 11 za Ufaransa zaihimiza serikali itekeleze agizo la ICC la kumkamata Netanyahu na Gallant
SWAHILI NEWS

Jumuiya 11 za Ufaransa zaihimiza serikali itekeleze agizo la ICC la kumkamata Netanyahu na Gallant

MUKSININovember 24, 2024

Jumuiya 11 zisizo za kiserikali (NGO’s) nchini Ufaransa zimeitaka serikali ya nchi hiyo itekeleze agizo la Mahakama ya Kimataifa ya…

Trump amuunga mkono kuwania ubunge wa US mwanasiasa anayewachukia Waislamu
SWAHILI NEWS

Trump amuunga mkono kuwania ubunge wa US mwanasiasa anayewachukia Waislamu

MUKSININovember 24, 2024

Rais mteule wa Marekani Donald Trump amemhimiza mbunge wa Florida ambaye alisherehekea mauaji ya raia wa Marekani yaliyofanywa na jeshi…

SEPAH: Magaidi 88 wameangamizwa na kutiwa mbaroni kusini mashariki mwa Iran + Video
SWAHILI NEWS

SEPAH: Magaidi 88 wameangamizwa na kutiwa mbaroni kusini mashariki mwa Iran + Video

MUKSININovember 24, 2024

Msemaji wa luteka ya kijeshi ya kambi ya Quds ya Jeshi la Nchi Kavu la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu…

Iran: Tunakaribisha hatua zozote za kuondolewa kinga utawala wa Kizayuni
SWAHILI NEWS

Iran: Tunakaribisha hatua zozote za kuondolewa kinga utawala wa Kizayuni

MUKSININovember 24, 2024

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu inakaribisha hatua yoyote ya kuuondolea kinga…

Kiongozi maarufu wa upinzani Tanzania na wenzake waachiliwa huru kwa dhamana
SWAHILI NEWS

Kiongozi maarufu wa upinzani Tanzania na wenzake waachiliwa huru kwa dhamana

MUKSININovember 24, 2024

Freeman Mbowe, kiongozi wa chama cha upinzani cha Chadema nchini Tanzania jana aliachiliwa huru kwa dhamana baada ya kukamatwa siku…

Uhusiano wa Niger na nchi za Ulaya wazidi kuharibika, EU yamwita balozi wake
SWAHILI NEWS

Uhusiano wa Niger na nchi za Ulaya wazidi kuharibika, EU yamwita balozi wake

MUKSININovember 24, 2024

Umoja wa Ulaya (EU) umemuondoa balozi wake aliyekuweko Niamey, mji mkuu wa Niger kutokana na kushadidi mvutano na uongozi mpya…

Jeshi la Sudan layateka tena makao makuu ya jimbo la Sinnar la katikati mwa nchi
SWAHILI NEWS

Jeshi la Sudan layateka tena makao makuu ya jimbo la Sinnar la katikati mwa nchi

MUKSININovember 24, 2024

Serikali ya Sudan ilitangaza jana Jumamosi kuwa jeshi la nchi hiyo SAF limeuteka tena mji wa Singa ambao ni makao…

Kiongozi: Wahusika wote wa genge la magaidi wa Kizayuni lazima washtakiwe
SWAHILI NEWS

Kiongozi: Wahusika wote wa genge la magaidi wa Kizayuni lazima washtakiwe

MUKSININovember 24, 2024

Ayatullah Seyyed Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amehimiza kufunguliwa mashtaka maafisa wote wa kisiasa na kijeshi wa…

Ayatullah Sistani alaani mauaji dhidi ya Mashia nchini Pakistan
SWAHILI NEWS

Ayatullah Sistani alaani mauaji dhidi ya Mashia nchini Pakistan

MUKSININovember 24, 2024

Ayatullah Sayyid Ali Sistani, Kiongozi wa juu wa kidini na Marjaa-Taqlidi wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq amelaani…

Kim Jong Un: Marekani inachangia kuongezeka mivutano duniani
SWAHILI NEWS

Kim Jong Un: Marekani inachangia kuongezeka mivutano duniani

MUKSININovember 24, 2024

Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un ameishutumu Marekani kwa kuongeza mivutano na uchokozi na kueleza kwamba, amesema rasi ya…

Waziri Mkuu wa Ireland: Tutawakamata Netanyahu na Gallant
SWAHILI NEWS

Waziri Mkuu wa Ireland: Tutawakamata Netanyahu na Gallant

MUKSININovember 24, 2024

Waziri Mkuu wa Ireland amesisitiza kuwa, nchi yake itatekeleza amri ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kuhusu kukamatwa Waziri…

Maandamano ya watetezi wa Palestina yaendelea ulimwenguni
SWAHILI NEWS

Maandamano ya watetezi wa Palestina yaendelea ulimwenguni

MUKSININovember 24, 2024

Wafuasi wa wananchi na wanachuo wa Palestina katika baadhi ya nchi wametoa wito wa kukomeshwa jinai za utawala wa Kizayuni…

Kiongozi wa upinzani Msumbiji atangaza masharti ya kufanya mazungumzo
SWAHILI NEWS

Kiongozi wa upinzani Msumbiji atangaza masharti ya kufanya mazungumzo

MUKSININovember 24, 2024

Kiongozi wa upinzani Msumbiji amesema atakubali mwito wa rais wa mazungumzo baada ya ghasia kali za baada ya uchaguzi kwa…

Jumapili, 24 Novemba, 2024
SWAHILI NEWS

Jumapili, 24 Novemba, 2024

MUKSININovember 24, 2024

Leo ni Jumapili 22 Mfunguo Nane Jamadul-Awwal 1446 Hijria ambayo inasadifiana na 24 Novemba 2024 Miladia. Siku kama ya leo…

Kuingia vita vya Ukraine katika hatua mpya na kuzidisha mzozo kati ya Russia na NATO
SWAHILI NEWS

Kuingia vita vya Ukraine katika hatua mpya na kuzidisha mzozo kati ya Russia na NATO

MUKSININovember 24, 2024

Matukio ya hivi karibuni katika vita vya Ukraine, yaani uamuzi wa nchi za Magharibi wa kutoa ruhusa kwa Ukraine kuishambulia…

Kijiji cha Esfahak nchini Iran ni mojawapo ya Vijiji Bora vya Utalii duniani mwaka huu wa 2024
SWAHILI NEWS

Kijiji cha Esfahak nchini Iran ni mojawapo ya Vijiji Bora vya Utalii duniani mwaka huu wa 2024

MUKSININovember 23, 2024

Kijiji cha kihistoria cha Esfahak, kilicho katika mkoa wa Khorasan Kusini mwa Iran, kimetambuliwa kimataifa kwa kutajwa na Shirika la…

Ripoti: Wanajeshi sita wa Israel wamejinyonga kutokana na vita Gaza
SWAHILI NEWS

Ripoti: Wanajeshi sita wa Israel wamejinyonga kutokana na vita Gaza

MUKSININovember 23, 2024

Takriban wanajeshi sita wa Israel wameripotiwa kujiua katika miezi ya hivi karibuni, kutokana na matatizo ya kisaikolojia yaliyosababishwa na vita…

UN: Vita vya Israel dhidi ya Lebanon vimeua maelfu wakiwemo Watoto
SWAHILI NEWS

UN: Vita vya Israel dhidi ya Lebanon vimeua maelfu wakiwemo Watoto

MUKSININovember 23, 2024

Wahudumu wa mashirika ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa wamelaani mauaji ya zaidi ya watu 3,600 nchini Lebanon katika mashambulizi…

Iran: Mashtaka ya ICC dhidi ya Netanyahu yalipaswa kujumuisha ‘mauaji ya kimbari’
SWAHILI NEWS

Iran: Mashtaka ya ICC dhidi ya Netanyahu yalipaswa kujumuisha ‘mauaji ya kimbari’

MUKSININovember 23, 2024

Iran imesema mashitaka ya Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) dhidi ya waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na waziri…

Watu wanne wameuawa katika jaribio la kumkamata mkuu wa zamani wa usalama Sudan Kusini
SWAHILI NEWS

Watu wanne wameuawa katika jaribio la kumkamata mkuu wa zamani wa usalama Sudan Kusini

MUKSININovember 23, 2024

Takriban watu wanne, wakiwemo raia wawili, wameuawa kwa kupigwa risasi katika makazi ya mkuu wa zamani wa Shirika la Ujasusi…

WHO inasema mpox bado ni dharura ya afya ya umma duniani
SWAHILI NEWS

WHO inasema mpox bado ni dharura ya afya ya umma duniani

MUKSININovember 23, 2024

Shirika la Afya Duniani (WHO) linasema kuwa litaendelea kuwa macho dhidi ya ugonjwa hatari wa mpox katika kiwango cha juu…

Kukiri nchi za Ulaya kuhusu mauaji ya kimbari Ukanda wa Gaza
SWAHILI NEWS

Kukiri nchi za Ulaya kuhusu mauaji ya kimbari Ukanda wa Gaza

MUKSININovember 23, 2024

Hatimaye Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) baada ya miezi kadhaa ya utafiti na uchunguzi imetoa hukumu ya kukamatwa Benjamin…

Lebanon: Inachofanya Israel ni “msururu wa jinai za kivita” kwa kushambulia sekta ya tiba
SWAHILI NEWS

Lebanon: Inachofanya Israel ni “msururu wa jinai za kivita” kwa kushambulia sekta ya tiba

MUKSININovember 23, 2024

Wizara ya Afya ya Lebanon imeushutumu utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kufanya ilichokiita “msururu wa jinai za kivita” katika…

Hospitali ya Kamal Adwan huko Gaza inakabiliwa na uhaba wa maji na oksijeni
SWAHILI NEWS

Hospitali ya Kamal Adwan huko Gaza inakabiliwa na uhaba wa maji na oksijeni

MUKSININovember 23, 2024

Wizara ya Afya ya Palestina imetangaza kuwa, Hospitali ya Kamal Adwan iliyoko kaskazini mwa Ukanda wa Gaza inakabiliwa na uhaba…

Posts navigation

Older posts
Newer posts
Copyright © 2025 MALUMBANO DUNIANI | Link News by Ascendoor | Powered by WordPress.
  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us