Skip to content

MALUMBANO DUNIANI

Mizozo ya kijeshi duniani

  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us

Category: SWAHILI NEWS

SWAHILI NEWS

Unajua ususi na mtindo wako wa nywele unaweza kukupa saratani?Utafiti mpya wabaini

MUKSINIMarch 31, 2025

Utafiti unapendekeza kuwa nywele za bandia zikiwemo wigi zinazotumiwa na wengi zinaweza kuwa mbaya kwako – lakini je, hiyo itawazuia…

SWAHILI NEWS

Trump adai ‘kukasirishwa sana’ na Putin kuhusu mazungumzo ya kusitisha mapigano

MUKSINIMarch 31, 2025

Rais Donald Trump amesema “ana hasira sana” mbali na “kuchukizwa” na Rais wa Urusi Vladimir Putin baada ya wiki kadhaa…

SWAHILI NEWS

Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu: Cunha atangaza kuondoka Wolves

MUKSINIMarch 31, 2025

Mshambuliaji wa Wolves, Matheus Cunha, anasema anaweza kuondoka klabuni hapo, huku Arsenal ikimfukuzia mshambuliaji wa Sporting, Viktor Gyokeres, na Man…

SWAHILI NEWS

Ni klabu gani bora ya muda wote ya soka nchini Uingereza?

MUKSINIMarch 30, 2025

Ni klabu yenye vikombe vingi zaidi? Au ile yenye mapato makubwa zaidi? Au yenye wafuasi wengi zaidi katika mitandao ya…

SWAHILI NEWS

Mwanajeshi aliyezikwa bila ubongo wake

MUKSINIMarch 30, 2025

Kwa jumla, takribani vipande vidogo 160 vya ubongo na uti wa mgongo wa Donnie vilihifadhiwa katika kituo cha utafiti cha…

SWAHILI NEWS

Fahamu nchi zinazosheherekea Eid Al-Fitr leo

MUKSINIMarch 30, 2025

Sherehe za Eid Al-Fitr hutegemea na kuandama kwa mwezi, na hilo huashiria kuona na kuanza kwa mwezi wa Shawwal.

SWAHILI NEWS

Umoja wa Mataifa waonya juu ya uhaba mkubwa wa matibabu huku watu 1,600 wakifariki katika tetemeko la ardhi Myanmar

MUKSINIMarch 30, 2025

Huku waokoaji wakitafuta manusura, Umoja wa Mataifa umesema ukosefu mkubwa wa vifaa vya matibabu unatatiza juhudi za kutoa misaada katika…

SWAHILI NEWS

Tetesi za soka Ulaya Jumapili: Real Madrid sasa yamlenga nahodha wa Man United Bruno Fernandes kwa £90m

MUKSINIMarch 30, 2025

Real Madrid wanapanga kumnunua kiungo wa kati wa Manchester United Bruno Fernandes kwa pauni milioni 90, Manchester City wanavutiwa na…

SWAHILI NEWS

Eid ul Fitr 2025: Mambo 6 waislamu wanatakiwa kufanya kabla na baada ya sala ya Eid

MUKSINIMarch 29, 2025

Saudi Arabia imetangaza Jumapili, Machi 30 kuwa Eid Al Fitr 2025.

SWAHILI NEWS

Wanawake wa Afrika na siri ya kubeba mizigo mizito karibu mara mbili zaidi ya uzito wao

MUKSINIMarch 29, 2025

Katika Afrika Mashariki, wanawake mara nyingi hubeba mizigo inayolingana na asilimia 70% ya uzito wa miili yao juu ya vichwa…

SWAHILI NEWS

Idadi ya waliokufa kwenye tetemeko la ardhi Myanmar yafikia 1,000

MUKSINIMarch 29, 2025

Tetemeko hilo la ardhi lenye ukubwa wa 7.7 lilipiga pia katika nchi jirani za China na Thailand na kusababisha mascara…

SWAHILI NEWS

‘Dini kwanza kabla ya soka’, maisha ya wanasoka kwenye mfungo wa Ramadhani

MUKSINIMarch 29, 2025

”Huwa rahisi zaidi iwapo unapata usaidizi kutoka kwa timu nzima, kuanzia wachezaji hadi wafanyikazi”, anasema Ouattara

SWAHILI NEWS

Tetesi za soka Ulaya Jumamosi: Newcastle yamtaka Nunez, Reds ina matumaini ya kumnasa Isak

MUKSINIMarch 29, 2025

Wakati Nottingham Forest na Newcastle zikimtaka Nunez, Isak wa Newcastele anasakwa na Liverpool

SWAHILI NEWS

Hivi ndivyo Kishikwambi (iPad) kilichotupwa mtoni miaka mitano iliyopita kilivyofichua njama kubwa za mauaji

MUKSINIMarch 26, 2025

Polisi waliweza kutumia Kishkwambia ama iPad kama ushahidi muhimu katika kesi ya watu watatu ambao walipanga kufanya mauaji

SWAHILI NEWS

Je, Shilingi ya Tanzania inaporomoka?Fahamu vigezo vya thamani na ufanisi wa sarafu

MUKSINIMarch 26, 2025

Katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita, Shilingi ya Tanzania ilishuka thamani kwa asilimia 3.6. Lakini kuanzia Julai hadi Desemba 2024,…

SWAHILI NEWS

Kipenga cha uchaguzi mkuu 2025 kimepulizwa Tanzania

MUKSINIJanuary 24, 2025

2025 ni mwaka unaotarajiwa kutawaliwa na matukio mengi ya kisiasa nchini Tanzania kutokana na uwepo wa uchaguzi mkuu wa urais…

SWAHILI NEWS

CCM yampitisha rasmi Rais Samia kuwania urais 2025

MUKSINIJanuary 19, 2025

Hii leo, baadhi ya wajumbe waliokuwa wakitoa michango yao juu ya utekelezwaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM walipendekeza mkutano…

Maandamano makubwa yafanyika Uhispania kulaani jinai za utawala wa Kizayuni
SWAHILI NEWS

Maandamano makubwa yafanyika Uhispania kulaani jinai za utawala wa Kizayuni

MUKSININovember 27, 2024

Maandamano yamefanyika katika miji tofauti ya Uhispania kuunga mkono Palestina na kulaani jinai za utawala wa Kizayuni. Maelfu ya watu…

Usitishaji vita waanza kutekelezwa huko Lebanon
SWAHILI NEWS

Usitishaji vita waanza kutekelezwa huko Lebanon

MUKSININovember 27, 2024

Makubaliano ya kusitisha vita nchini Lebanon yamenza kutelezwa mapema leo saa kumi alfajiri kwa saa za Beirut. Hatua hiyo inamaliza…

Iran yatilia mkazo umuhimu wa kushirikiana watu wote duniani kukomesha jinai za Israel
SWAHILI NEWS

Iran yatilia mkazo umuhimu wa kushirikiana watu wote duniani kukomesha jinai za Israel

MUKSININovember 27, 2024

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametilia mkazo wajibu wa kushirikiana jamii zote duniani katika kuhakikisha utawala wa Kizayuni…

Waziri wa mrengo wa kulia wa Israel atoa wito wa kukalia kwa mabavu Gaza, kupunguza idadi ya wakazi wake hadi nusu
SWAHILI NEWS

Waziri wa mrengo wa kulia wa Israel atoa wito wa kukalia kwa mabavu Gaza, kupunguza idadi ya wakazi wake hadi nusu

MUKSININovember 27, 2024

Waziri wa Fedha wa Israel anayejulikana kwa itikadi kali ametoa wito wa kukaliwa kwa mabavu eneo la Ukanda wa Gaza…

Borrell ataka kutekelezwa uamuzi wa mahakama ya ICC dhidi ya Netanyahu na Gallant
SWAHILI NEWS

Borrell ataka kutekelezwa uamuzi wa mahakama ya ICC dhidi ya Netanyahu na Gallant

MUKSININovember 27, 2024

Kamishna wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, Josep Borrell, ametoa wito wa kutekelezwa uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa…

HRW: Watoto 10 wauawa katika maandamano ya uchaguzi Msumbiji
SWAHILI NEWS

HRW: Watoto 10 wauawa katika maandamano ya uchaguzi Msumbiji

MUKSININovember 27, 2024

Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema kuwa askari usalama wa Msumbiji vimewauwa watoto wasiopungua 10…

Ripoti: Watu milioni 35 ni wakimbizi Afrika sababu ya mizozo
SWAHILI NEWS

Ripoti: Watu milioni 35 ni wakimbizi Afrika sababu ya mizozo

MUKSININovember 27, 2024

Ripoti ya waangalizi wa kimataifa iliyotolewa jana Jumanne imesema kwamba mizozo, machafuko na majanga kote barani Afrika yameongeza mara tatu…

Mapigano yashadidi huko El Fashe, Sennar yapokea raia wanaorejea makwao
SWAHILI NEWS

Mapigano yashadidi huko El Fashe, Sennar yapokea raia wanaorejea makwao

MUKSININovember 27, 2024

Mji wa El Fasher, magharibi mwa Sudan, umeshuhudia mapigano kati ya jeshi na Vikosi vya kundi la Msaada wa Haraka…

Kuendelea jinai za magaidi Parachinar, Pakistan
SWAHILI NEWS

Kuendelea jinai za magaidi Parachinar, Pakistan

MUKSININovember 27, 2024

Baada ya shambulio la hivi majuzi la kigaidi dhidi ya Mashia wa Parachinar katika Wilaya ya Kurram nchini Pakistani, mamlaka…

Jumatano, Novemba 27, 2024
SWAHILI NEWS

Jumatano, Novemba 27, 2024

MUKSININovember 27, 2024

Leo ni Jumatano tarehe 25 Mfunguo Nane Jamadil Awwal 1446 Hijria inayosadifiana na tarehe 27 Novemba 2024 Milaadia. Tarehe 27…

Iran mhanga mkubwa zaidi wa silaha za kemikali
SWAHILI NEWS

Iran mhanga mkubwa zaidi wa silaha za kemikali

MUKSININovember 26, 2024

Katika mkutano wa 29 wa mwaka wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Silaha za Kemikali (CWC) huko The Hague, nchi…

Mrusi aliyehukumiwa kwa kuchoma nakala ya Quran, afungwa miaka 4 jela kwa kosa la uhaini
SWAHILI NEWS

Mrusi aliyehukumiwa kwa kuchoma nakala ya Quran, afungwa miaka 4 jela kwa kosa la uhaini

MUKSININovember 26, 2024

Mwanaume mmoja raia wa Russia aliyepatikana na hatia mapema mwaka huu kwa kuchoma moto nakala ya kitabu kitakatifu cha Waislamu,…

Jenerali Baqeri: Majibu ya Iran kwa uvamizi wa Israel yatakuwa ‘zaidi ya inavyodhaniwa’
SWAHILI NEWS

Jenerali Baqeri: Majibu ya Iran kwa uvamizi wa Israel yatakuwa ‘zaidi ya inavyodhaniwa’

MUKSININovember 26, 2024

Kamanda wa ngazi ya juu zaidi wa kijeshi nchini Iran amesema kuwa Majeshi ya Iran yameandaa jibu kali kwa shambulio…

Hemmati: Iran imeimarika katika mfumo mpya wa dunia
SWAHILI NEWS

Hemmati: Iran imeimarika katika mfumo mpya wa dunia

MUKSININovember 26, 2024

Waziri wa Masuala ya Kiuchumi na Fedha wa Iran amesema kuongezeka kwa uwezo wa Jamhuri ya Kiislamu katika mfumo mpya…

Afrika Kusini yasisitiza kuhusu kuchukuliwa hatua za kimataifa kupigania uhuru wa Palestina
SWAHILI NEWS

Afrika Kusini yasisitiza kuhusu kuchukuliwa hatua za kimataifa kupigania uhuru wa Palestina

MUKSININovember 26, 2024

Afrika Kusini Jumatatu ilisisitiza wito wake wa kusitishwa mapigano mara moja huko Palestina na Lebanon na kuanzishwa kwa mchakato wa…

Uchaguzi mkuu kufanyika Namibia Jumatano, uwezekano wa rais mwanamke
SWAHILI NEWS

Uchaguzi mkuu kufanyika Namibia Jumatano, uwezekano wa rais mwanamke

MUKSININovember 26, 2024

Raia wa Namibia watapiga kura siku ya Jumatano kumchagua rais mpya na wabunge wa Bunge la Kitaifa katika kinyang’anyiro ambacho…

Bara la Afrika laongoza katika mauaji ya wanawake duniani
SWAHILI NEWS

Bara la Afrika laongoza katika mauaji ya wanawake duniani

MUKSININovember 26, 2024

Imebainika kuwa wanawake na wasichana 140 walifariki dunia kila siku duniani kote mwaka 2023 wakiwa mikononi mwa watu wa karibu,…

Iran yasisitiza kutekelezwa haraka na kikamilifu hati ya kuwakamata Netanyahu na Gallant
SWAHILI NEWS

Iran yasisitiza kutekelezwa haraka na kikamilifu hati ya kuwakamata Netanyahu na Gallant

MUKSININovember 26, 2024

Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Araghchi amesisitiza kutekelezwa haraka na kikamilifu hati…

Wazayuni wamekithiri kumwaga damu za watoto Ghaza, kila nusu saa mtoto mmoja anakufa shahidi
SWAHILI NEWS

Wazayuni wamekithiri kumwaga damu za watoto Ghaza, kila nusu saa mtoto mmoja anakufa shahidi

MUKSININovember 26, 2024

Kituo cha Habari cha Palestina kimetangaza kuwa, watoto 17,400 wa Kipalestina wameuawa shahidi tangu yalipoanza mashambulizi ya kinyama ya utawala…

Wafuasi wa Imran Khan watunishiana misuli na Polisi ya Pakistan wakiandamana kuelekea Islamabad
SWAHILI NEWS

Wafuasi wa Imran Khan watunishiana misuli na Polisi ya Pakistan wakiandamana kuelekea Islamabad

MUKSININovember 26, 2024

Maelfu ya waandamanaji wanaotaka kuachiliwa huru waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan anayetumikia kifungo jela wamekaidi vizuizi vya…

Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya atoa indhari: Mustakabali wa EU uko ‘hatarini’
SWAHILI NEWS

Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya atoa indhari: Mustakabali wa EU uko ‘hatarini’

MUKSININovember 26, 2024

Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya anayemaliza muda wake Josep Borrell ametoa indhari kuwa mustakabali wa umoja…

Licha ya kutolewa waranti wa kumkamata, Gallant apanga safari ya kutembelea Marekani
SWAHILI NEWS

Licha ya kutolewa waranti wa kumkamata, Gallant apanga safari ya kutembelea Marekani

MUKSININovember 26, 2024

Waziri wa zamani wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel Yoav Gallant anapanga kusafiri kuelekea Marekani licha ya Mahakama…

UNICEF: Kutumiwa watoto kama askari kwenye magenge yenye silaha Haiti kumeongezeka kwa 70%
SWAHILI NEWS

UNICEF: Kutumiwa watoto kama askari kwenye magenge yenye silaha Haiti kumeongezeka kwa 70%

MUKSININovember 26, 2024

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF limetangaza kuwa, idadi ya watoto wanaoandikishwa katika makundi yenye silaha nchini…

Magenge yenye silaha yauwa watu 30 katika muda wa siku 3 huko Benue, Nigeria
SWAHILI NEWS

Magenge yenye silaha yauwa watu 30 katika muda wa siku 3 huko Benue, Nigeria

MUKSININovember 26, 2024

Watu wasiopungua 30 wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika mashambulizi ya magenge yenye silaha yaliyojiri kwa muda wa siku tatu…

Sababu na malengo ya utawala wa Kizayuni ya kutishia kuishambulia Iraq
SWAHILI NEWS

Sababu na malengo ya utawala wa Kizayuni ya kutishia kuishambulia Iraq

MUKSININovember 26, 2024

Baada ya mauaji ya kimbari huko Gaza na jinai dhidi ya Lebanon na pia mashambulizi ya mara kwa mara dhidi…

Iran na Algeria zatilia mkazo udharura wa kushirikiana kupambana na Israel
SWAHILI NEWS

Iran na Algeria zatilia mkazo udharura wa kushirikiana kupambana na Israel

MUKSININovember 26, 2024

Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Nje ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran)…

Hizbullah na Israel zavunja rekodi ya saa 24
SWAHILI NEWS

Hizbullah na Israel zavunja rekodi ya saa 24

MUKSININovember 26, 2024

Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imevunja rekodi kwa kufanya zaidi ya operesheni 50 za kuutwanga utawala…

Umoja wa Mataifa unatafuta ufadhili zaidi kwa misaada ya kibinadamu nchini Sudan
SWAHILI NEWS

Umoja wa Mataifa unatafuta ufadhili zaidi kwa misaada ya kibinadamu nchini Sudan

MUKSININovember 26, 2024

Shirika rasmi la habari la Sudan SUNA limeripoti kuwa, Umoja wa Mataifa unashirikiana na serikali ya nchi hiyo kutafuta wafadhili…

UN yaitaka Somalia iongeze uwekezaji katika vita dhidi ya unyanyasaji wa kijinsia
SWAHILI NEWS

UN yaitaka Somalia iongeze uwekezaji katika vita dhidi ya unyanyasaji wa kijinsia

MUKSININovember 26, 2024

Umoja wa Mataifa jana Jumatatu ulitoa mwito kwa serikali ya Somalia kuongeza uwekezaji katika vita dhidi ya unyanyasaji wa kijinsia…

Watu 45 hawajulikani walipo baada ya boti kuzama nchini Misri
SWAHILI NEWS

Watu 45 hawajulikani walipo baada ya boti kuzama nchini Misri

MUKSININovember 26, 2024

Takriban watu 45, wakiwemo watalii 31 na wafanyakazi 14 wametoweka baada ya boti yao kuzama katika eneo la kaskazini mwa…

Jumanne, 26 Novemba, 2024
SWAHILI NEWS

Jumanne, 26 Novemba, 2024

MUKSININovember 26, 2024

Leo ni Jumanne 24 Mfunguo Nane Jamadul-Awwal 1446 Hijria mwafaka na tarehe 26 Novemba 2024. Katika siku kama ya leo miaka…

Siku ya Kimataifa ya Marufuku ya Ukatili Dhidi ya Wanawake sambamba na hali ya kusikitisha ya wanawake wa Gaza
SWAHILI NEWS

Siku ya Kimataifa ya Marufuku ya Ukatili Dhidi ya Wanawake sambamba na hali ya kusikitisha ya wanawake wa Gaza

MUKSININovember 25, 2024

Leo tarehe Novemba 25 ni Siku ya Kimataifa ya Kupiga Marufuku Ukatili dhidi ya Wanawake. Hii ni katika hali ambayo…

Imam Khamenei: Netanyahu ahukumiwe kifo, hukumu ya ICC ya kukamatwa mhalifu huyo wa vita haitoshi
SWAHILI NEWS

Imam Khamenei: Netanyahu ahukumiwe kifo, hukumu ya ICC ya kukamatwa mhalifu huyo wa vita haitoshi

MUKSININovember 25, 2024

Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei ametoa wito wa kuhukumiwa kifo Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ambaye…

Posts navigation

Older posts
Newer posts
Copyright © 2025 MALUMBANO DUNIANI | Link News by Ascendoor | Powered by WordPress.
  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us