Skip to content

MALUMBANO DUNIANI

Mizozo ya kijeshi duniani

  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us

Category: SWAHILI NEWS

Iran yakanusha kuhusika na shambulio la droni lililolenga makazi ya Netanyahu
SWAHILI NEWS

Iran yakanusha kuhusika na shambulio la droni lililolenga makazi ya Netanyahu

MUKSINIOctober 20, 2024

Ofisi ya Uwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa imesema, shambulio la ndege isiyo na rubani…

Hizbullah yafanya mashambulio makubwa dhidi ya vituo vya kijeshi vya utawala wa Kizayuni
SWAHILI NEWS

Hizbullah yafanya mashambulio makubwa dhidi ya vituo vya kijeshi vya utawala wa Kizayuni

MUKSINIOctober 20, 2024

Katika kuendeleza operesheni zake za kuzuia hujuma, Hizbullah ya Lebanon imefanya mashambulio makali ya makombora na mizingia yaliyolenga ngome za…

Shambulio kubwa lililofanywa na Israel bila ya onyo lolote laua Wapalestina 81 Ghaza
SWAHILI NEWS

Shambulio kubwa lililofanywa na Israel bila ya onyo lolote laua Wapalestina 81 Ghaza

MUKSINIOctober 20, 2024

Wapalestina wasiopungua 81 wameuawa shahidi katika shambulizi la kinyama lililofanywa na jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel kwenye…

Kwa silaha na uwezeshaji wa US, Israel imedhamiria kuwahamisha Wapalestina wote wa Ghaza
SWAHILI NEWS

Kwa silaha na uwezeshaji wa US, Israel imedhamiria kuwahamisha Wapalestina wote wa Ghaza

MUKSINIOctober 20, 2024

Hassan Mneimneh, mchambuzi wa kisiasa wa Taasisi ya Mashariki ya Kati, ameiambia Al Jazeera kwamba ukatili unyama na unaofanywa na…

Reuters: BRICS kujadili mpango mpya wa kimataifa wa mabadilishano ya fedha
SWAHILI NEWS

Reuters: BRICS kujadili mpango mpya wa kimataifa wa mabadilishano ya fedha

MUKSINIOctober 20, 2024

Russia itawasilisha pendekezo lake la mfumo mpya wa fedha wa kimataifa kwa mataifa mengine wanachama wa jumuiya ya kiuchumi ya…

Maandamano Senegal kupinga jinai za Israel huko Lebanon na Gaza
SWAHILI NEWS

Maandamano Senegal kupinga jinai za Israel huko Lebanon na Gaza

MUKSINIOctober 20, 2024

Maandamano makubwa yamefanyika katika mji mkuu wa Senegal, Dakar, siku ya Jumamosi kupinga jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel…

Kamati ya Bunge la Iran: Kuuawa shahidi Sinwar kutaharakisha maangamizi ya Israel
SWAHILI NEWS

Kamati ya Bunge la Iran: Kuuawa shahidi Sinwar kutaharakisha maangamizi ya Israel

MUKSINIOctober 20, 2024

Kamati ya Usalama wa Taifa na Sera za Nje za Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuwa, damu…

Rais wa China ayataka majeshi yajizatiti zaidi katika kujiweka tayari kwa vita
SWAHILI NEWS

Rais wa China ayataka majeshi yajizatiti zaidi katika kujiweka tayari kwa vita

MUKSINIOctober 20, 2024

Rais Xi Jinping wa China ametoa wito kwa majeshi ya nchi hiyo kujizatiti zaidi katika kujiweka tayari kwa vita, siku…

Waziri Mkuu wa Malaysia alaani vikali mauaji ya Sinwar, asema nchi yake inaomboleza
SWAHILI NEWS

Waziri Mkuu wa Malaysia alaani vikali mauaji ya Sinwar, asema nchi yake inaomboleza

MUKSINIOctober 20, 2024

Waziri Mkuu wa Malaysia Anwar Ibrahim amelaani vikali mauaji ya kiongozi wa Hamas Yahya Sinwar yaliyofanywa na vikosi vya jeshi…

Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kufuatia kuuawa shahidi Yahya al Sinwar
SWAHILI NEWS

Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kufuatia kuuawa shahidi Yahya al Sinwar

MUKSINIOctober 20, 2024

Ayatullah Khamenei Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe kufuatia kuuawa shahidi Yahya al Sinwar, Kiongozi wa Harakati ya…

Jumapili, 20, Oktoba, 2024
SWAHILI NEWS

Jumapili, 20, Oktoba, 2024

MUKSINIOctober 20, 2024

Leo ni Jumapili 16 Mfunguo Saba Rabiuthani 1446 Hijria mwafaka na 20 Oktoba 2024 Miladia. Siku kama ya leo miaka…

UN: Uhuru wa maoni na kujieleza umekandamizwa vikali katika vita vya Israel dhidi ya Ghaza
SWAHILI NEWS

UN: Uhuru wa maoni na kujieleza umekandamizwa vikali katika vita vya Israel dhidi ya Ghaza

MUKSINIOctober 20, 2024

Mtaalamu wa Umoja wa Mataifa wa kuchunguza haki ya uhuru wa kutoa maoni na kujieleza amesema, uhuru wa maoni na…

Hizbullah yazindua mtambo mpya wa makombora
SWAHILI NEWS

Hizbullah yazindua mtambo mpya wa makombora

MUKSINIOctober 20, 2024

Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah imezindua mtambo wake wa maroketi wa M80 maalumu kwa kurushia maroketi ya…

Wakili wa mgombea urais wa Msumbiji auawa kwa kupigwa risasi
SWAHILI NEWS

Wakili wa mgombea urais wa Msumbiji auawa kwa kupigwa risasi

MUKSINIOctober 19, 2024

Bwana Elvino Dias, wakili wa mgombea wa uchaguzi wa rais uliopita nchini Msumbiji ameuawa leo asubuhi kwa kupigwa risasi akiwa…

Mazoezi ya pamoja ya majeshi ya majini ya nchi za Bahari ya Hindi yaanza Iran
SWAHILI NEWS

Mazoezi ya pamoja ya majeshi ya majini ya nchi za Bahari ya Hindi yaanza Iran

MUKSINIOctober 19, 2024

Mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya  Majeshi ya Majini ya nchi za Kandokando ya Bahari ya Hindi (IONS) ), “IMEX 2024,”…

Ndege ya kivita isiyo na rubani ya Hizbullah yalenga makazi ya Netanyahu + Video
SWAHILI NEWS

Ndege ya kivita isiyo na rubani ya Hizbullah yalenga makazi ya Netanyahu + Video

MUKSINIOctober 19, 2024

Ndege ya kivita isiyo na rubani ya harakati ya Hizbullah ya Lebanon imelenga makazi ya waziri mkuu wa Israel Benjamin…

Iran yaonya kuhusu ‘ushiriki hatari’ wa Marekani na Uingereza katika chokochoko za Israel
SWAHILI NEWS

Iran yaonya kuhusu ‘ushiriki hatari’ wa Marekani na Uingereza katika chokochoko za Israel

MUKSINIOctober 19, 2024

Iran imelaani vikali mashambulizi ya anga ya pamoja ya Marekani na Uingereza dhidi ya Yemen huku nchi hizo mbili zikiunga…

Sheria za kupambana na ugaidi Uingereza zatumiwa kunyamazisha wanaopinga Israel
SWAHILI NEWS

Sheria za kupambana na ugaidi Uingereza zatumiwa kunyamazisha wanaopinga Israel

MUKSINIOctober 19, 2024

Polisi wa Uingereza wanaopambana na ugaidi wamevamia nyumba ya mwandishi wa habari za uchunguzi na mtafiti, Asa Winstanley, Kaskazini mwa…

Jeshi la Nigeria lawaangamiza magaidi 101 ndani ya wiki moja
SWAHILI NEWS

Jeshi la Nigeria lawaangamiza magaidi 101 ndani ya wiki moja

MUKSINIOctober 19, 2024

Jeshi la Nigeria limewaua magaidi 101 katika wiki iliyopita katika operesheni zilizowalenga magaidi wa makundi ya Boko Haram, Jimbo la…

Kuuawa shahidi Yahya Sinwar; kufedheheka Wazayuni na kubakia hai jina la Sinwar
SWAHILI NEWS

Kuuawa shahidi Yahya Sinwar; kufedheheka Wazayuni na kubakia hai jina la Sinwar

MUKSINIOctober 19, 2024

Yayha Sinwar, Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ameuawa shahidi na Wazayuni katika hali ambayo amepigana…

UN: Sheria za kimataifa zinaitaka Israel kukomesha uvamizi huko Ukanda wa Gaza
SWAHILI NEWS

UN: Sheria za kimataifa zinaitaka Israel kukomesha uvamizi huko Ukanda wa Gaza

MUKSINIOctober 19, 2024

Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, nchi zote na mashirika ya kimataifa yana wajibu wa kukomesha uwepo haramu wa Israel katika…

Vijana wa Iraq wachoma moto ofisi ya kituo cha MBC cha Saudi Arabia
SWAHILI NEWS

Vijana wa Iraq wachoma moto ofisi ya kituo cha MBC cha Saudi Arabia

MUKSINIOctober 19, 2024

Vijana wa Iraq waliokuwa na hasira wamechoma moto ofisi ya MBC ya Saudi Arabia mjini Baghdad baada ya kituo hicho…

Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu kufuatia kuuawa shahidi Yahya Sinwar
SWAHILI NEWS

Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu kufuatia kuuawa shahidi Yahya Sinwar

MUKSINIOctober 19, 2024

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe kufuatia kuuawa shahidi kamanda shujaa wa Mujahidina, Yahya Sinwar, Mkuu wa Ofisi…

“Kuuawa viongozi wa Muqawama hakutadhoofisha mapambano dhidi ya Wazayuni”
SWAHILI NEWS

“Kuuawa viongozi wa Muqawama hakutadhoofisha mapambano dhidi ya Wazayuni”

MUKSINIOctober 19, 2024

Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema mauaji ya kigaidi ya viongozi na makamanda wa kambi ya Muqawama hayatadhoofisha mapambano ya…

Iran: US itabeba dhima ya shambulio lolote la Israel dhidi yetu
SWAHILI NEWS

Iran: US itabeba dhima ya shambulio lolote la Israel dhidi yetu

MUKSINIOctober 19, 2024

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Marekani inapasa kubebeshwa dhima ya shambulio lolote tarajiwa la Israel dhidi ya…

Hamas yasema, harakati hiyo haiwezi kuanganizwa kwa ‘kuuawa viongozi wake’
SWAHILI NEWS

Hamas yasema, harakati hiyo haiwezi kuanganizwa kwa ‘kuuawa viongozi wake’

MUKSINIOctober 19, 2024

Afisa wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema harakati hiyo inayopigania ukombozi wa…

UN: Kuwahamisha kwa mabavu raia kaskazini mwa Gaza ni jinai ya kivita
SWAHILI NEWS

UN: Kuwahamisha kwa mabavu raia kaskazini mwa Gaza ni jinai ya kivita

MUKSINIOctober 19, 2024

Kamishna wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameutahadharisha utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa kitendo chochote cha kuwahamisha…

Kamal Kharrazi: Uungaji mkono wa EU kwa UAE ni uadui wa wazi dhidi ya Iran
SWAHILI NEWS

Kamal Kharrazi: Uungaji mkono wa EU kwa UAE ni uadui wa wazi dhidi ya Iran

MUKSINIOctober 19, 2024

Mkuu wa Baraza la Kistratejia la Uhusiano wa Nje la Iran amekosoa uingiliaji kati wa Umoja wa Ulaya (EU) kwa…

Wanajeshi zaidi ya elfu 4 wa Uingereza watoroka jeshini
SWAHILI NEWS

Wanajeshi zaidi ya elfu 4 wa Uingereza watoroka jeshini

MUKSINIOctober 19, 2024

Bunge la Uingereza limetangaza kuwa zaidi ya wanajeshi 4,400 wamejiuzulu katika jeshi la nchi hiyo. Bunge la Uingereza limetangaza kuwa,…

UNICEF: Zaidi ya watu milioni 3 wako katika hatari ya kipindupindu nchini Sudan
SWAHILI NEWS

UNICEF: Zaidi ya watu milioni 3 wako katika hatari ya kipindupindu nchini Sudan

MUKSINIOctober 19, 2024

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) jana Ijumaa lilionya kuwa zaidi ya watu milioni tatu wako katika…

Jumuiya ya Shanghai na upinzani dhidi ya vikwazo vya upande mmoja
SWAHILI NEWS

Jumuiya ya Shanghai na upinzani dhidi ya vikwazo vya upande mmoja

MUKSINIOctober 19, 2024

Katika taarifa ya mwisho ya mkutano wa 23 huko Islamabad, mji mkuu wa Pakistan, viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya…

Jumamosi, 19 Oktoba, 2024
SWAHILI NEWS

Jumamosi, 19 Oktoba, 2024

MUKSINIOctober 19, 2024

Leo ni Jumamosi 15 Mfunguo Saba Rabiuthani 1446 Hijria mwafaka na 19 Oktoba 2024 Miladia. Miaka 243 iliyopita katika siku inayofanana…

Ijumaa, tarehe 18 Oktoba, 2024
SWAHILI NEWS

Ijumaa, tarehe 18 Oktoba, 2024

MUKSINIOctober 18, 2024

Leo ni Ijumaa tarehe 14 Mfunguo Saba Rabiuthani 1446 Hijria sawa na 18 Oktoba 2024. Siku kama ya leo miaka…

Araghchi: Kuuawa Mujahidina wa Njia ya Haki hakutavunja Kambi ya Muqawama
SWAHILI NEWS

Araghchi: Kuuawa Mujahidina wa Njia ya Haki hakutavunja Kambi ya Muqawama

MUKSINIOctober 18, 2024

Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran imetoa salamu za rambirambi kufuatia mauaji ya Yahya Sinwar, Mkuu wa Ofisi ya…

Waziri wa Jihadi ya Kilimo wa Iran: Ushirikiano wa kilimo, petrokemikali na utalii kati ya Iran na Tanzania utaendelezwa
SWAHILI NEWS

Waziri wa Jihadi ya Kilimo wa Iran: Ushirikiano wa kilimo, petrokemikali na utalii kati ya Iran na Tanzania utaendelezwa

MUKSINIOctober 18, 2024

Waziri wa Jihad ya Kilimo wa Iran ametangaza kuwa ushirikiano kati ya Iran na Tanzania utaendelezwa katika nyanja za kilimo,…

Vifo vya Mpox vyapindukia 1,000 huku maambukizi yakienea katika nchi 18 za Afrika
SWAHILI NEWS

Vifo vya Mpox vyapindukia 1,000 huku maambukizi yakienea katika nchi 18 za Afrika

MUKSINIOctober 18, 2024

Bara la Afrika wiki iliyopita lilisajili vifo vipya 50 vilivyosababishwa na ugonjwa wa virusi wa Mpox na hivyo kufanya idadi…

Mahakama Kuu Kenya yasimamisha uamuzi wa Bunge wa kumuidhinisha Kindiki kuwa Naibu Rais
SWAHILI NEWS

Mahakama Kuu Kenya yasimamisha uamuzi wa Bunge wa kumuidhinisha Kindiki kuwa Naibu Rais

MUKSINIOctober 18, 2024

Mahakama Kuu nchini Kenya leo imetoa amri ya muda ya kusimamisha kubadilishwa kwa Naibu Rais wa nchi hiyo, Rigathi Gachagua.…

Hamas yathibitisha kuwa kiongozi wake, Yahya Sinwar, ameuawa shahidi katika shambulio la Israel
SWAHILI NEWS

Hamas yathibitisha kuwa kiongozi wake, Yahya Sinwar, ameuawa shahidi katika shambulio la Israel

MUKSINIOctober 18, 2024

Afisa wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amethibitisha kuwa kiongozi wa harakati hiyo,…

Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Israel imekwisha kimkakati
SWAHILI NEWS

Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Israel imekwisha kimkakati

MUKSINIOctober 18, 2024

Khatibu wa Swala ya Ijumaa mjini Tehran amesema utawala wa Kizayuni wa Israel umeshindwa na kuangamizwa kistratijia. Hujjatul Islam Walmuslimin…

Kushindwa mara mbili Israeli katika vita vya Lebanon
SWAHILI NEWS

Kushindwa mara mbili Israeli katika vita vya Lebanon

MUKSINIOctober 18, 2024

Juhudi za jeshi la utawala wa Kizayuni za kujaribu kuingia katika ardhi ya Lebanon zimeshindwa na kuusababishia hasara na maafa…

Spika wa Bunge la Iran: Palestina ni suala la kwanza la dunia nzima
SWAHILI NEWS

Spika wa Bunge la Iran: Palestina ni suala la kwanza la dunia nzima

MUKSINIOctober 18, 2024

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kwa baraka za damu za mashahidi Palestina ni suala…

Afrika Kusini: Tutafuatilia faili na mauaji ya kimbari ya Israel ICJ
SWAHILI NEWS

Afrika Kusini: Tutafuatilia faili na mauaji ya kimbari ya Israel ICJ

MUKSINIOctober 18, 2024

Afrika Kusini imetangaza azma yake ya kufuatilia kesi ya mauaji ya halaiki iliyowasilisha dhidi ya utawala ghasibu wa Israel katika…

Abdul-Malik al-Houthi: Marekani ni mshirika wa jinai zote za Israel
SWAHILI NEWS

Abdul-Malik al-Houthi: Marekani ni mshirika wa jinai zote za Israel

MUKSINIOctober 18, 2024

Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, Marekani ni mshirika wa jinai na uvamizi wote wa utawala haramu…

Maandamano makubwa ya wananchi wa Jordan na Uturuki kulaani jinai za Israel Gaza
SWAHILI NEWS

Maandamano makubwa ya wananchi wa Jordan na Uturuki kulaani jinai za Israel Gaza

MUKSINIOctober 18, 2024

Maelfu ya wananchi wa Jordan na Uturuki wameandamana na kulaani jinai za utawala haramu wa Israel katika Ukanda wa Gaza.…

HRW: Wakimbizi wa Sudan hatarini kutokana na mapigano
SWAHILI NEWS

HRW: Wakimbizi wa Sudan hatarini kutokana na mapigano

MUKSINIOctober 18, 2024

Mapigano kati ya vikosi vya shirikisho vya Ethiopia na wanamgambo kaskazini magharibi mwa nchi hiyo yamewaweka katika hatari kubwa wakimbizi…

Baraza la Seneti Kenya lamuondoa madarakani Naibu Rais Gachagua
SWAHILI NEWS

Baraza la Seneti Kenya lamuondoa madarakani Naibu Rais Gachagua

MUKSINIOctober 18, 2024

Baraza la Seneti nchini Kenya limeidhinisha uamuzi wa kumuondoa madarakani Naibu Rais wa nchi hiyo Rigathi Gachagua. Jana Baraza la…

Iran na Misri zajadili masuala ya kikanda na kimataifa
SWAHILI NEWS

Iran na Misri zajadili masuala ya kikanda na kimataifa

MUKSINIOctober 18, 2024

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Misri Abdel Fattah…

Onyo la Russia kwa Israel: Msithubutu kushambulia vituo vya nyuklia vya Iran
SWAHILI NEWS

Onyo la Russia kwa Israel: Msithubutu kushambulia vituo vya nyuklia vya Iran

MUKSINIOctober 18, 2024

Russia imeuonya vikali utawala haramu wa Israel na kuutaka usijaribu hata kufikiria kushambulia vituo vya nyuklia vya Iran. Shirika la…

AU yakabidhi kambi 6 za kijeshi kwa vikosi vya Somalia
SWAHILI NEWS

AU yakabidhi kambi 6 za kijeshi kwa vikosi vya Somalia

MUKSINIOctober 18, 2024

Kikosi cha Mpito cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (ATMIS) kimekabidhi rasmi kambi ya kijeshi ya Kuday kwa vikosi vya…

UN: Watu bilioni 1 wanaishi katika umaskini wa kupindukia
SWAHILI NEWS

UN: Watu bilioni 1 wanaishi katika umaskini wa kupindukia

MUKSINIOctober 18, 2024

Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa imesema kuwa, zaidi ya watu bilioni moja wanaishi katika umaskini mkubwa, na karibu nusu…

Posts navigation

Older posts
Newer posts
Copyright © 2025 MALUMBANO DUNIANI | Link News by Ascendoor | Powered by WordPress.
  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us