Skip to content

MALUMBANO DUNIANI

Mizozo ya kijeshi duniani

  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us

Category: SWAHILI NEWS

Jumatano, tarehe 23 Oktoba, 2024
SWAHILI NEWS

Jumatano, tarehe 23 Oktoba, 2024

MUKSINIOctober 23, 2024

Leo ni Jumatano tarehe 19 Mfunguo Saba Rabiuthani 1446 Hijria mwafaka na tarehe 23 Oktoba 2024. Miaka 152 iliyopita, aliaga dunia…

Rais wa Iran: Marekani na nchi za Ulaya ni watetezi wa uhalifu dhidi ya binadamu
SWAHILI NEWS

Rais wa Iran: Marekani na nchi za Ulaya ni watetezi wa uhalifu dhidi ya binadamu

MUKSINIOctober 22, 2024

Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Nchi za Ulaya na Marekani zimeupatia silaha kwa nguvu zote utawala wa…

Rais William Ruto ameiomba Mahakama ya Milimani kutupilia mbali kesi za Gachagua
SWAHILI NEWS

Rais William Ruto ameiomba Mahakama ya Milimani kutupilia mbali kesi za Gachagua

MUKSINIOctober 22, 2024

Rais William Ruto wa Kenya ameiomba Mahakama Kuu kutupilia mbali kesi kadhaa za kupinga kuondolewa madarakani Rigathi Gachagua kama Naibu…

Araqchi aionya Israel: Iran ina mbinu za kulinda taasisi zake nyuklia
SWAHILI NEWS

Araqchi aionya Israel: Iran ina mbinu za kulinda taasisi zake nyuklia

MUKSINIOctober 22, 2024

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameuonya utawala wa Kizayuni Israel dhidi ya kufanya mahesabu mabaya na kusisitiza kuwa,…

Waangalizi wa EU wanasema matokeo ya uchaguzi wa Msumbiji yalibadilishwa bila sababu
SWAHILI NEWS

Waangalizi wa EU wanasema matokeo ya uchaguzi wa Msumbiji yalibadilishwa bila sababu

MUKSINIOctober 22, 2024

Waangalizi wa uchaguzi wa Umoja wa Ulaya wamebaini “kubadilishwa bila sababu” kwa baadhi ya matokeo katika uchaguzi mkuu wa Msumbiji,…

Guterres: Hatua madhubuti zichukuliwe kushughulikia migogoro na umaskini Afrika
SWAHILI NEWS

Guterres: Hatua madhubuti zichukuliwe kushughulikia migogoro na umaskini Afrika

MUKSINIOctober 22, 2024

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa hatua madhubuti zinapasa kuchukuliwa ili kushughulikia mabadiliko ya tabianchi, migogoro na umaskini…

Shirika la MSF limesimamisha kwa muda shughuli zake katika baadhi ya maeneo ya Burkina Faso
SWAHILI NEWS

Shirika la MSF limesimamisha kwa muda shughuli zake katika baadhi ya maeneo ya Burkina Faso

MUKSINIOctober 22, 2024

Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limesimamisha kwa muda shughuli zake katika jimbo la Djibo kaskazini mwa Burkina Faso…

Safari ya Pezeshkian nchini Russia na mahudhurio ya kwanza rasmi ya Iran katika BRICS
SWAHILI NEWS

Safari ya Pezeshkian nchini Russia na mahudhurio ya kwanza rasmi ya Iran katika BRICS

MUKSINIOctober 22, 2024

Mkutano wa 16 wa wakuu wa Jumuiya ya Kiuchumi ya BRICS umeanza leo katika mji wa Kazan nchini Russia. Rais…

Makumi ya Wapalestina wauawa shahidi katika shambulio la kikatili la utawala wa Kizayuni kwenye kambi ya Jabalia
SWAHILI NEWS

Makumi ya Wapalestina wauawa shahidi katika shambulio la kikatili la utawala wa Kizayuni kwenye kambi ya Jabalia

MUKSINIOctober 22, 2024

Jeshi la Kizayuni limeshambulia kwa makombora raia wanaoishi katika kambi ya Jabalia na kulenga nyumba moja kaskazini mwa Gaza na…

Hizbullah ya Lebanon yafanya shambulio kali katika kambi ya kijasusi ya kijeshi huko Tel Aviv
SWAHILI NEWS

Hizbullah ya Lebanon yafanya shambulio kali katika kambi ya kijasusi ya kijeshi huko Tel Aviv

MUKSINIOctober 22, 2024

Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imefanya shambulizi kali la makombora dhidi ya kambi ya kijasusi ya kijeshi ya…

Rais Paul Biya arejea Cameroon, baada ya kutoweka kwa takribani wiki 6 na kusababisha wasiwasi wa kiafya
SWAHILI NEWS

Rais Paul Biya arejea Cameroon, baada ya kutoweka kwa takribani wiki 6 na kusababisha wasiwasi wa kiafya

MUKSINIOctober 22, 2024

Baada ya kukosekana kwa muda wa wiki 6 na kusababisha wasiwasi juu ya afya yake na mahali alipo, Rais Paul…

Iran yaliandikia barua Baraza la Usalama ikilaani chokochoko za US
SWAHILI NEWS

Iran yaliandikia barua Baraza la Usalama ikilaani chokochoko za US

MUKSINIOctober 22, 2024

Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amekosoa vikali matamshi ya hivi karibuni ya Rais Joe…

Magaidi 95 wa kundi la al-Shabaab wauawa Somalia
SWAHILI NEWS

Magaidi 95 wa kundi la al-Shabaab wauawa Somalia

MUKSINIOctober 22, 2024

Wizara ya Ulinzi ya Somalia imesema kwamba, jeshi la nchi hiyo likisaidiwa na washirika wa ndani na wa kimataifa, limefanya…

Jihadul Islami yakanusha madai ya kuuawa Ziyad al-Nakhalah
SWAHILI NEWS

Jihadul Islami yakanusha madai ya kuuawa Ziyad al-Nakhalah

MUKSINIOctober 22, 2024

Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imekadhibisha madai kwamba, Katibu Mkuu wa kundi hilo la Muqawama ameuawa katika shambulio la…

Kuwait yakanusha uvumi wa kuupelekea silaha utawala wa Kizayuni
SWAHILI NEWS

Kuwait yakanusha uvumi wa kuupelekea silaha utawala wa Kizayuni

MUKSINIOctober 22, 2024

Makao Makuu ya jeshi la Kuwait yamekanusha uvumi kwamba yanahamisha silaha kutoka kambi za kijeshi ndani ya nchi hiyo na…

Jumanne, Oktoba 22, 2024
SWAHILI NEWS

Jumanne, Oktoba 22, 2024

MUKSINIOctober 22, 2024

Leo ni Jumanne tarehe 18 Rabiuthani 1446 Hijria sawa na tarehe 22 Oktoba 2024.  Siku kama ya leo miaka 844 iliyopita,…

Mtazamo wa Hamas wa kuendeleza mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni na ukombozi wa Palestina
SWAHILI NEWS

Mtazamo wa Hamas wa kuendeleza mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni na ukombozi wa Palestina

MUKSINIOctober 22, 2024

Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) na makundi mengine ya Muqawama ya Palestina yanaendeleza mapambano dhidi ya utawala…

Iran yataka majirani wa Ghuba ya Uajemi wasihadaiwe na vishawishi vya Wamagharibi
SWAHILI NEWS

Iran yataka majirani wa Ghuba ya Uajemi wasihadaiwe na vishawishi vya Wamagharibi

MUKSINIOctober 22, 2024

Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran ameyataka mataifa jirani na Iran ya Ghuba ya Uajemi yasidanganyike na vishawishi vya…

Khalid Mash’al: Kuuawa shahidi Yahya al-Sinwar hakutasimamisha muqawama
SWAHILI NEWS

Khalid Mash’al: Kuuawa shahidi Yahya al-Sinwar hakutasimamisha muqawama

MUKSINIOctober 22, 2024

Khalid Mash’al, afisa mwandamizi na Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS nje ya Gaza amesema kuwa,…

Waasi wa M23 wadhibiti mji muhimu wa Kalembe DRC
SWAHILI NEWS

Waasi wa M23 wadhibiti mji muhimu wa Kalembe DRC

MUKSINIOctober 22, 2024

Wapiganaji wa kundi la waasi la M23 wameuteka mji muhimu wa Kalembe wilayani Masisi na kusonga mbele hadi wilaya jirani…

Ghasia zaendelea kuikumba Msumbiji, miito ya utulivu yatolewa
SWAHILI NEWS

Ghasia zaendelea kuikumba Msumbiji, miito ya utulivu yatolewa

MUKSINIOctober 22, 2024

Ghasia zilizoibuka baada ya uchaguzi nchini Msumbiji jana Jumatatu ziliendelea kuikumba nchi hiyo huku miito ya utulivu ikitolewa. Vyombo vya…

Ramaphosa aitolea wito BRICS kuwekeza pakubwa barani Afrika
SWAHILI NEWS

Ramaphosa aitolea wito BRICS kuwekeza pakubwa barani Afrika

MUKSINIOctober 21, 2024

Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amelitolea wito kundi la BRICS kuwekeza katika maendeleo ya bara la Afrika kwa kuzingatia…

Mkuu wa Umoja wa Afrika alaani ghasia za baada ya uchaguzi nchini Msumbiji
SWAHILI NEWS

Mkuu wa Umoja wa Afrika alaani ghasia za baada ya uchaguzi nchini Msumbiji

MUKSINIOctober 21, 2024

Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika Moussa Faki Mahamat leo Jumatatu amelaani mauaji ya viongozi wawili wa upinzani nchini Msumbiji na…

IRGC: Vikosi vya Ulinzi vya Iran viko tayari kujibu tishio lolote dhidi ya Iran
SWAHILI NEWS

IRGC: Vikosi vya Ulinzi vya Iran viko tayari kujibu tishio lolote dhidi ya Iran

MUKSINIOctober 21, 2024

Naibu Kamanda wa Uratibu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) amesisitiza…

Ripota wa UN: Mauaji ya kimbari ya Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza ni “aibu ya pamoja ya karne”
SWAHILI NEWS

Ripota wa UN: Mauaji ya kimbari ya Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza ni “aibu ya pamoja ya karne”

MUKSINIOctober 21, 2024

Ripota Maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya haki za binadamu katika maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu ameyataja…

Watumiaji wa mitandao nchini Misri wafurahishwa na Araqchi kuagiza chakula mkahawani huko Cairo
SWAHILI NEWS

Watumiaji wa mitandao nchini Misri wafurahishwa na Araqchi kuagiza chakula mkahawani huko Cairo

MUKSINIOctober 21, 2024

Wananchi wa Misri mitandaoni wamefurahishwa na kitendo cha Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran cha kuagiza chakula katika mkahawa…

Wanajeshi 15 wa Kizayuni wajeruhiwa katika mashambulizi ya makombora ya Hizbullah
SWAHILI NEWS

Wanajeshi 15 wa Kizayuni wajeruhiwa katika mashambulizi ya makombora ya Hizbullah

MUKSINIOctober 21, 2024

Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon imeyashambulia kwa makombra maeneo mbalimbali ya utawala wa Kizayuni na kuwajeruhi wanajeshi 15…

Iran na Tanzania zatia saini maelewano ya kuimarisha uhusiano wa kibiashara na viwanda
SWAHILI NEWS

Iran na Tanzania zatia saini maelewano ya kuimarisha uhusiano wa kibiashara na viwanda

MUKSINIOctober 21, 2024

Hati ya Maelewano (MoU) katika nyanja za viwanda na biashara kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Muungano wa…

Muqawama wa Iraq wafanya mashambulio ya ndege zisizo na rubani katika vituo vya Kijeshi vya utawala wa Kizayuni
SWAHILI NEWS

Muqawama wa Iraq wafanya mashambulio ya ndege zisizo na rubani katika vituo vya Kijeshi vya utawala wa Kizayuni

MUKSINIOctober 21, 2024

Katika taarifa, Muqawama wa Kiislamu wa Iraq umetangaza kufanya mashambulio ya ndege zisizo na rubani katika maeneo ya utawala wa…

Leseni ya al-Arabiya kufanya kazi nchini Algeria yafutiliwa mbali
SWAHILI NEWS

Leseni ya al-Arabiya kufanya kazi nchini Algeria yafutiliwa mbali

MUKSINIOctober 21, 2024

Viongozi wa Algeria wameamua kufutilia mbali leseni ya mtandao na televisheni ya al-Arabiya ya Saudi Arabia nchini humo kwa kupotosha…

Israel yathibitisha kuangamizwa kamanda wake wa Brigedi ya 401
SWAHILI NEWS

Israel yathibitisha kuangamizwa kamanda wake wa Brigedi ya 401

MUKSINIOctober 21, 2024

Kamanda wa Kikosi cha 401 cha jeshi la Israel ameuawa na wanamuqawama wa Palestina kaskazini mwa Ukanda wa Gaza, jeshi…

Israel inajaribu kuanzisha kituo cha kijeshi Somaliland
SWAHILI NEWS

Israel inajaribu kuanzisha kituo cha kijeshi Somaliland

MUKSINIOctober 21, 2024

Tovuti ya habari ya Qatar, Middle East Monitor imeripoti kuwa Israel inajaribu kuanzisha kituo cha kijeshi huko Somaliland kwa lengo…

Juhudi za Wazayuni za kuzuia jinai zao huko Gaza zisisajiliwe, waandishi habari wanashambuliwa
SWAHILI NEWS

Juhudi za Wazayuni za kuzuia jinai zao huko Gaza zisisajiliwe, waandishi habari wanashambuliwa

MUKSINIOctober 21, 2024

Miongoni mwa mistari myekundu ambayo Wazayuni wamepuuza na kuvuka katika mashambulizi ya kikatili na ya kinyama huko Gaza na Lebanon…

Mufti wa Oman apongeza shambulio dhidi ya makazi ya Netanyahu
SWAHILI NEWS

Mufti wa Oman apongeza shambulio dhidi ya makazi ya Netanyahu

MUKSINIOctober 21, 2024

Mufti Mkuu wa utawala wa Kisultani wa Oman amepongeza shambulio la wanamuqawama lililolenga makazi ya Waziri Mkuu wa utawala wa…

Rais wa Iran akosoa unafiki na undumakuwili wa Wamagharibi
SWAHILI NEWS

Rais wa Iran akosoa unafiki na undumakuwili wa Wamagharibi

MUKSINIOctober 21, 2024

Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amekosoa vikali undumakuwili wa utawala haramu wa Israel na Marekani akisisitiza kuwa, Wamagharibi wakiongozwa na…

Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran yalaani kuuliwa kigaidi na Israel mwanamama Muirani huko Beirut
SWAHILI NEWS

Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran yalaani kuuliwa kigaidi na Israel mwanamama Muirani huko Beirut

MUKSINIOctober 21, 2024

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali kitendo cha Israel cha kumuuwa kikatili mwanamke wa Kiirani…

Naibu Rais wa Kenya aliyetimuliwa adai kulikuwa na njama ya kutaka kumuuwa
SWAHILI NEWS

Naibu Rais wa Kenya aliyetimuliwa adai kulikuwa na njama ya kutaka kumuuwa

MUKSINIOctober 21, 2024

Naibu Rais wa Kenya aliyetimuliwa, Rigathi Gachagua amedai kujiri majaribio mawili yaliyofeli ya kutaka kumuua mwezi Agosti na Septemba mwaka…

Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen: Yahya Sinwar alikuwa na mchango muhimu katika vita dhidi ya Israel
SWAHILI NEWS

Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen: Yahya Sinwar alikuwa na mchango muhimu katika vita dhidi ya Israel

MUKSINIOctober 21, 2024

Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen ameeleza kuwa shahidi Yahya Sinwar Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya…

Sudan na Sudan Kusini zajadili namna ya kuanzisha tena usafirishaji mafuta
SWAHILI NEWS

Sudan na Sudan Kusini zajadili namna ya kuanzisha tena usafirishaji mafuta

MUKSINIOctober 21, 2024

Sudan na Sudan Kusini jana Jumapili zilisisitizia haja ya kushughulikia vikwazo vinavyokwamisha juhudi za kuanzisha tena usafirishaji wa mafuta ya…

Jihadul Islami: Marekani inahusika na mauaji ya kimbari kaskazini mwa Gaza
SWAHILI NEWS

Jihadul Islami: Marekani inahusika na mauaji ya kimbari kaskazini mwa Gaza

MUKSINIOctober 21, 2024

Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imesema kuwa Marekani inahusika na mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina kaskazini mwa Ukanda…

Onyo la Iran kwa Marekani kuhusu chokochoko tarajiwa ya Israel
SWAHILI NEWS

Onyo la Iran kwa Marekani kuhusu chokochoko tarajiwa ya Israel

MUKSINIOctober 21, 2024

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Marekani inapasa kubebeshwa dhima ya shambulio lolote tarajiwa la Israel dhidi…

Jumatatu, Oktoba 21, 2024
SWAHILI NEWS

Jumatatu, Oktoba 21, 2024

MUKSINIOctober 21, 2024

Leo ni Jumatatu tarehe 17 Mfunguo Saba Rabiuthani 1446 Hijria sawa na 21 Okktoba 2024 Milaadia. Siku kama ya leo…

Kuendelea maandamano dhidi ya Netanyahu katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel)
SWAHILI NEWS

Kuendelea maandamano dhidi ya Netanyahu katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel)

MUKSINIOctober 20, 2024

Maandamano dhidi ya Benjamin Netanyahu ya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu yamepelekea kuibuka vuta…

Iran: Tumeshaainisha maeneo yote ya Israel yanayopaswa kupigwa na silaha zetu
SWAHILI NEWS

Iran: Tumeshaainisha maeneo yote ya Israel yanayopaswa kupigwa na silaha zetu

MUKSINIOctober 20, 2024

Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, shambulio lolote litakalofanywa na utawala wa Kizayuni…

Ghalibaf: Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi lisitekwe na kampeni za vita za Israel
SWAHILI NEWS

Ghalibaf: Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi lisitekwe na kampeni za vita za Israel

MUKSINIOctober 20, 2024

Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge) la Iran amesema kuwa, Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi linapaswa…

Putin: Nchi za BRICS zitachochea ukuaji wa uchumi katika miaka ijayo
SWAHILI NEWS

Putin: Nchi za BRICS zitachochea ukuaji wa uchumi katika miaka ijayo

MUKSINIOctober 20, 2024

Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa, kundi la BRICS litazalisha sehemu kubwa ya ukuaji wa uchumi wa dunia katika…

Al-Arabi al-Jadid: Kuna uwezekano marais wa Iran na Misri wakaonana karibuni hivi
SWAHILI NEWS

Al-Arabi al-Jadid: Kuna uwezekano marais wa Iran na Misri wakaonana karibuni hivi

MUKSINIOctober 20, 2024

Chombo kimoja cha habari cha nchini Qatar kimenukuu duru zake na kusema kuwa, kuna uwezekano marais wa Iran na Misri…

Kampeni ya chanjo dhidi ya kipindupindu yaanza nchini Sudan
SWAHILI NEWS

Kampeni ya chanjo dhidi ya kipindupindu yaanza nchini Sudan

MUKSINIOctober 20, 2024

Wizara ya Afya ya Sudan imetangaza kuwa, imeanzisha kampeni ya chanjo kwa ajili ya kuwafikia zaidi ya watu milioni 1.4…

Watu 55,600 wameathiriwa na mafuriko nchini Senegal
SWAHILI NEWS

Watu 55,600 wameathiriwa na mafuriko nchini Senegal

MUKSINIOctober 20, 2024

Serikali ya Senegal imetangaza kuwa, mafuriko katika Mto wa Senegal yameathiri familia 774 zenye karibu watu 55,600 za nchi hiyo…

Iran: HAMAS ingali hai, itaendeleza njia yake kwa nguvu zaidi kuliko ilivyokuwa hapo kabla
SWAHILI NEWS

Iran: HAMAS ingali hai, itaendeleza njia yake kwa nguvu zaidi kuliko ilivyokuwa hapo kabla

MUKSINIOctober 20, 2024

Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Araghchi amesema Harakati ya Muqawama wa Kiislamu…

Posts navigation

Older posts
Newer posts
Copyright © 2025 MALUMBANO DUNIANI | Link News by Ascendoor | Powered by WordPress.
  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us