Skip to content

MALUMBANO DUNIANI

Mizozo ya kijeshi duniani

  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us

Category: SWAHILI NEWS

Ijumaa, Oktoba 25, mwaka 2024
SWAHILI NEWS

Ijumaa, Oktoba 25, mwaka 2024

MUKSINIOctober 25, 2024

Leo ni Ijumaa tarehe 21 Mfunguo Siba Rabiuthani 1446 Hijria sawa na Oktoba 25 mwaka 2024. Siku kama ya leo…

Rais Pezeshkian: BRICS, mfano wa mafanikio wa ushirikiano na kuondokana na hatua za upande mmoja
SWAHILI NEWS

Rais Pezeshkian: BRICS, mfano wa mafanikio wa ushirikiano na kuondokana na hatua za upande mmoja

MUKSINIOctober 25, 2024

Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, jumuiya ya BRICS ikiwa na malengo yake makubwa imeweza…

Iran: Umoja wa Mataifa umepoteza falsafa ya kuwepo kwake
SWAHILI NEWS

Iran: Umoja wa Mataifa umepoteza falsafa ya kuwepo kwake

MUKSINIOctober 25, 2024

Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kiigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Umoja wa Mataifa umo katika…

IMF yaitahadharisha dunia kuepuka vita vya kibiashara
SWAHILI NEWS

IMF yaitahadharisha dunia kuepuka vita vya kibiashara

MUKSINIOctober 25, 2024

Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) limeitahadhariisha dunia na kuuiitaka iepuke vita vya kibiashara. Kwa mujibu wa IMF uchumi wa…

Wanajeshi 70 wa Israel waangamizwa katika shambulio la ardhini Lebanon
SWAHILI NEWS

Wanajeshi 70 wa Israel waangamizwa katika shambulio la ardhini Lebanon

MUKSINIOctober 25, 2024

Zaidi ya wanajeshi 70 wa Israel wameangamizwa na askari na maafisa zaidi ya 600 wamejeruhiwa katika shambulio la ardhini la…

Rais Tshisekedi: Katiba ni ‘dhaifu’ inahitaji kufanyiwa marekebisho
SWAHILI NEWS

Rais Tshisekedi: Katiba ni ‘dhaifu’ inahitaji kufanyiwa marekebisho

MUKSINIOctober 25, 2024

Rais Félix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amesema kuwa, idadi ya mihula ya urais haitabadilishwa, lakini wapinzani wake…

Sababu za kushindwa utawala wa Kizayuni huko Lebanon
SWAHILI NEWS

Sababu za kushindwa utawala wa Kizayuni huko Lebanon

MUKSINIOctober 25, 2024

Ikiwa zimepita siku 32 tangu utawala wa Kizayuni uanzishe mashambulizi makubwa na ya pande zote dhidi ya Lebanon, lakini Tel…

SEPAH: Israel isijipumbaze kwa nguvu kiduchu za ulinzi wa anga za Marekani
SWAHILI NEWS

SEPAH: Israel isijipumbaze kwa nguvu kiduchu za ulinzi wa anga za Marekani

MUKSINIOctober 24, 2024

Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH ameuonya utawala wa Kizayuni “usijitie pepo mpumbavu” na kujidanganya…

Israel yatwangwa kwa zaidi ya makombora 50 katika kipindi cha dakika mbili + Video
SWAHILI NEWS

Israel yatwangwa kwa zaidi ya makombora 50 katika kipindi cha dakika mbili + Video

MUKSINIOctober 24, 2024

Jeshi la utawala wa Kizayuni limetangaza kuwa, maeneo ya al Jalil ya kaskazini mwa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu…

Ramaphosa: Daima tutaendelea kuwa pamoja na taifa la Palestina
SWAHILI NEWS

Ramaphosa: Daima tutaendelea kuwa pamoja na taifa la Palestina

MUKSINIOctober 24, 2024

“Afrika Kusini na Palestina daima zitakuwa pamoja,” hiyo ni ahadi iliyotolewa na Rais Cyril Ramaphosa wakati alipoonana na Rais wa…

BRICS: Viongozi wa Afrika wataka mapinduzi katika taasisi za kimataifa
SWAHILI NEWS

BRICS: Viongozi wa Afrika wataka mapinduzi katika taasisi za kimataifa

MUKSINIOctober 24, 2024

Katika hotuba zao za jana Jumatano, viongozi wa Afrika wanaohudhuria mkutano wa kilele wa mataifa ya BRICS nchini Russia walijikita…

Kwa mara nyingine UK yatakiwa iache kuipa silaha Israel inayofanya jinai Ghaza na Lebanon + Picha
SWAHILI NEWS

Kwa mara nyingine UK yatakiwa iache kuipa silaha Israel inayofanya jinai Ghaza na Lebanon + Picha

MUKSINIOctober 24, 2024

Kwa mara nyingine tena waandamanaji waliomiminika mitaani huko Uingereza wameitaka nchi hiyo ya kifalme ambayo ni muungaji mkono mkubwa wa…

Idadi ya vifo kutokana na mripuko wa lori la petroli nchini Nigeria imefikia watu 181
SWAHILI NEWS

Idadi ya vifo kutokana na mripuko wa lori la petroli nchini Nigeria imefikia watu 181

MUKSINIOctober 24, 2024

Idadi ya vifo vilivyotokana na mripuko wa lori la petroli wiki iliyopita katika jimbo la Jigawa la kaskazini mwa Nigeria…

Kumbukumbu ya kuuawa shahidi Yahya Sinwar
SWAHILI NEWS

Kumbukumbu ya kuuawa shahidi Yahya Sinwar

MUKSINIOctober 24, 2024

Karibuni wapendwa wasikilizaji wa Radio Tehran katika Makala yetu ya Wiki ambayo inahusu kumbukumbu ya shahidi Yahya Sinwar aliyekuwa Mkuu…

Sisitizo la kustawisha uhusiano kati ya Iran na India
SWAHILI NEWS

Sisitizo la kustawisha uhusiano kati ya Iran na India

MUKSINIOctober 24, 2024

Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Waziri Mkuu wa India Narendra Modi wamejadili njia za kuendeleza…

Mwendelezo wa mashambulizi ya Marekani na Uingereza Yemen Magharibi
SWAHILI NEWS

Mwendelezo wa mashambulizi ya Marekani na Uingereza Yemen Magharibi

MUKSINIOctober 24, 2024

Ndege za kivita za Marekani na Uingereza zimefanya mashambulizi mengine makubwa huko Yemen Magharibi. Kanali ya Sahab imelinukuu shirika la…

Iran yalaani vikali shambulio la kigaidi kwenye makao ya Shirika la Anga la Uturuki
SWAHILI NEWS

Iran yalaani vikali shambulio la kigaidi kwenye makao ya Shirika la Anga la Uturuki

MUKSINIOctober 24, 2024

Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amelaani vikali shambulio la kigaidi kwenye makao makuu ya Shirika la…

Pezeshkian: Mandela atakumbukwa kwa mapambano yake dhidi ya dhulma
SWAHILI NEWS

Pezeshkian: Mandela atakumbukwa kwa mapambano yake dhidi ya dhulma

MUKSINIOctober 24, 2024

Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amemuenzi na kumpongeza kiongozi wa zamani wa Afrika Kusini, hayati Nelson Mandela kutokana na jitihada…

Mashambulizi ya jeshi la Kizayuni dhidi ya Syria
SWAHILI NEWS

Mashambulizi ya jeshi la Kizayuni dhidi ya Syria

MUKSINIOctober 24, 2024

Ndege za kijeshi za utawala wa Kizayuni zimeshambulia kwa mabomu miji ya Damascus na Homs. Kwa mujibu wa kanali ya…

Iran na Misri zataka Israel ilazimishwe kukomesha jinai zake Gaza, Lebanon
SWAHILI NEWS

Iran na Misri zataka Israel ilazimishwe kukomesha jinai zake Gaza, Lebanon

MUKSINIOctober 24, 2024

Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian na mwenzake wa Misri, Abdel Fattah El-Sisi wamesisitiza kuwa uchokozi wa Israel katika Ukanda wa…

Sudan: Madai ya Wamagharibi dhidi yetu hayana msingi
SWAHILI NEWS

Sudan: Madai ya Wamagharibi dhidi yetu hayana msingi

MUKSINIOctober 24, 2024

Sudan imezishutumu nchi za Magharibi kwa kuingiza siasa katika suala la misaada ya kibinadamu na kulilaumu jeshi la Sudan na…

Jeshi la Kizayuni kutokuwa na uwezo wa kuendelea na vita vya Ukanda wa Gaza
SWAHILI NEWS

Jeshi la Kizayuni kutokuwa na uwezo wa kuendelea na vita vya Ukanda wa Gaza

MUKSINIOctober 24, 2024

Kuendelea vita vya Ukanda wa Gaza, kumeanika wazi zaidi udhaifu wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika medani…

Pezeshkian: Uhusiano wa Iran na Russia ni wa kimkakati, wenye manufaa makubwa
SWAHILI NEWS

Pezeshkian: Uhusiano wa Iran na Russia ni wa kimkakati, wenye manufaa makubwa

MUKSINIOctober 24, 2024

Rais Masoud Pezeshkian amesema uhusiano wa Iran na Russia ni “wa kimkakati na wenye manufaa makubwa.” Rais Pezeshkian aliyasema hayo…

‘Fimbo ya Sinwar’ yazaa msemo mpya wa Kiarabu kwa ushujaa wa kiongozi huyo wa Palestina
SWAHILI NEWS

‘Fimbo ya Sinwar’ yazaa msemo mpya wa Kiarabu kwa ushujaa wa kiongozi huyo wa Palestina

MUKSINIOctober 24, 2024

Kitendo cha mwisho cha upinzani alichoonyesha kiongozi wa Hamas Shahidi Yahya Sinwar, kilichonaswa na kamera ya ndege isiyo na rubani…

UPSR: Afrika inajua kuwa BRICS imebadilisha mlingano wa jiopolitiki duniani
SWAHILI NEWS

UPSR: Afrika inajua kuwa BRICS imebadilisha mlingano wa jiopolitiki duniani

MUKSINIOctober 24, 2024

Kiongozi mwandamizi wa chama kimoja cha upinzani nchini Cameroon amesema jumuiya ya BRICS ni mbadala halisi wa kuleta mlingano kwenye…

IRIB yashinda tuzo maalumu ya Uhandisi wa Utangazaji ya ABU 2024
SWAHILI NEWS

IRIB yashinda tuzo maalumu ya Uhandisi wa Utangazaji ya ABU 2024

MUKSINIOctober 24, 2024

Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran IRIB limeshinda tuzo maalumu ya “Uhandisi wa Utangazaji” ya Umoja wa…

Trump aituhumu UK kwa kuingilia uchaguzi wa Marekani
SWAHILI NEWS

Trump aituhumu UK kwa kuingilia uchaguzi wa Marekani

MUKSINIOctober 24, 2024

Mgombea wa urais wa chama cha Republican nchini Marekani, Donald Trump amewasilisha malalamiko yake kuhusu madai ya kuingilia uchaguzi wa…

Hizbullah ya Lebanon yathibitisha kuuawa shahidi Sayyid Hashim Safiyyuddin
SWAHILI NEWS

Hizbullah ya Lebanon yathibitisha kuuawa shahidi Sayyid Hashim Safiyyuddin

MUKSINIOctober 24, 2024

Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imetoa taarifa na kuthibitisha kuuawa shahidi Mkuu wake wa Baraza la…

Leo katika Historia, Alkhamisi tarehe 24 Oktoba 2024
SWAHILI NEWS

Leo katika Historia, Alkhamisi tarehe 24 Oktoba 2024

MUKSINIOctober 24, 2024

Leo ni Alkhamisi tarehe 20 Rabiuthanil 1446 Hijria sawa na tarehe 24 Oktoba 2024. Tarehe 24 Oktoba miaka 95 iliyopita ulianza…

Umuhimu wa kushiriki rasmi Iran katika mkutano wa BRICS
SWAHILI NEWS

Umuhimu wa kushiriki rasmi Iran katika mkutano wa BRICS

MUKSINIOctober 23, 2024

Siku ya Jumanne, kabla ya kuondoka kwake nchini kwenda Russia kwa ajili ya kushiriki katika mkutano wa BRICS katika mji…

Imamu Khamenei: Utawala wa Kizayuni umeshindwa kwa kutoweza kuuangamiza Muqawama
SWAHILI NEWS

Imamu Khamenei: Utawala wa Kizayuni umeshindwa kwa kutoweza kuuangamiza Muqawama

MUKSINIOctober 23, 2024

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, utawala wa Kizayuni umeshindwa katika njama yake ya kuuangamiza Muqawama licha ya kuua…

Hizbullah yavipiga makombora viwanja vya ndege vya Ben Gurion na Ramat David, Tel Aviv
SWAHILI NEWS

Hizbullah yavipiga makombora viwanja vya ndege vya Ben Gurion na Ramat David, Tel Aviv

MUKSINIOctober 23, 2024

Wapiganaji wa Hizbullah ya Lebanon wameshambulia kwa makombora kadhaa viwanja vya ndege vya Ben Gurion na Ramat David katika maeneo…

Iran, Ethiopia zajadili BRICS, uhusiano wao na masuala ya kieneo
SWAHILI NEWS

Iran, Ethiopia zajadili BRICS, uhusiano wao na masuala ya kieneo

MUKSINIOctober 23, 2024

Katika mkutano muhimu wa kidiplomasia, Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amekutana na Abiy Ahmed, Waziri Mkuu wa Ethiopia, ambapo wamejadili…

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: BRICS inakuwa kambi mpya duniani
SWAHILI NEWS

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: BRICS inakuwa kambi mpya duniani

MUKSINIOctober 23, 2024

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa kundi la BRICS linabadilika na kuwa kambi mpya duniani. Abbas Araqchi…

Raia 46 wauawa katika mapigano mapya nchini Sudan
SWAHILI NEWS

Raia 46 wauawa katika mapigano mapya nchini Sudan

MUKSINIOctober 23, 2024

Takriban raia 46 wameuawa huku wengine 44 wajeruhiwa katika siku mbili za mapigano kati ya jeshi la Sudan na Kikosi…

70% ya Wazayuni hawataki kurudi katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel)
SWAHILI NEWS

70% ya Wazayuni hawataki kurudi katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel)

MUKSINIOctober 23, 2024

Licha ya juhudi za Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni za kuwarejesha walowezi wa Kizayuni kwenye vitongoji walivyojengewa lakini matokeo…

Gaza; Jahannamu ya waandishi wa habari
SWAHILI NEWS

Gaza; Jahannamu ya waandishi wa habari

MUKSINIOctober 23, 2024

Hamjambo wasikilizaji wapendwa na karibuni kufuatilia kipindi chetu cha Makala ya Wiki ambacho kinabeba anwani: Gaza, Jahanamu ya Waandishi wa…

Rais Pezeshkian kukutana na Marais wa Russia, China na Afrika Kusini
SWAHILI NEWS

Rais Pezeshkian kukutana na Marais wa Russia, China na Afrika Kusini

MUKSINIOctober 23, 2024

Rais wa Iran, Massoud Bishikian, leo Jumatano atakutana na marais wa Russia, China Afrika Kusini na viongozi baadhi ya nchi…

Wanajeshi 3 wa Israel wauawa, akiwemo naibu kamanda wa kikosi, 20 wajeruhiwa katika vita vya Gaza na Lebanon
SWAHILI NEWS

Wanajeshi 3 wa Israel wauawa, akiwemo naibu kamanda wa kikosi, 20 wajeruhiwa katika vita vya Gaza na Lebanon

MUKSINIOctober 23, 2024

Jeshi la Israel limetangaza kuwa naibu kamanda wa kikosi na mwanajeshi mmoja wameuawa na wengine 3 kujeruhiwa vibaya katika mapigano…

Vyombo vya habari Kenya: Siasa za usaliti na ‘njama za mauaji’ zimerejea kwa kishindo
SWAHILI NEWS

Vyombo vya habari Kenya: Siasa za usaliti na ‘njama za mauaji’ zimerejea kwa kishindo

MUKSINIOctober 23, 2024

Baadhi ya vyombo vya habari vya Kenya vimeripoi kuwa, siasa za madai ya usaliti na njama za watu kuuawa zimeanza…

Wasanii na wasomi wa Uhispania, watoa wito kwa Madrid kusitisha biashara ya silaha na Israel
SWAHILI NEWS

Wasanii na wasomi wa Uhispania, watoa wito kwa Madrid kusitisha biashara ya silaha na Israel

MUKSINIOctober 23, 2024

Mamia ya wasomi na wasanii wa Uhispania wameandika barua kwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Pedro Sanchez, wakitaka kuwekwa vikwazo…

IRGC: Hatua yoyote ya Israel dhidi ya Iran itakabaliwa na majibu makubwa zaidi
SWAHILI NEWS

IRGC: Hatua yoyote ya Israel dhidi ya Iran itakabaliwa na majibu makubwa zaidi

MUKSINIOctober 23, 2024

Kamanda wa ngazi ya juu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ameonya kwamba iwapo Wazayuni watachukua “hatua…

Jeshi la Congo DR limekomboa mji wa Kalembe, Kivu Kaskazini
SWAHILI NEWS

Jeshi la Congo DR limekomboa mji wa Kalembe, Kivu Kaskazini

MUKSINIOctober 23, 2024

Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) limetangaza kuwa limefanikiwa kukomboa mji wa Kalembe ulioko katika mkoa wa Kivu…

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran: Visiwa vitatu vya Bu Musa na Tunb Kubwa na Ndogo ni mali ya Iran
SWAHILI NEWS

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran: Visiwa vitatu vya Bu Musa na Tunb Kubwa na Ndogo ni mali ya Iran

MUKSINIOctober 23, 2024

Makamu wa kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuhusu madai ya Imarati ya kumiliki visiwa vitatu…

Qalibaf atoa wito wa kuwekewa vikwazo vya kiuchumi, kukata mishipa ya uhai ya Israel
SWAHILI NEWS

Qalibaf atoa wito wa kuwekewa vikwazo vya kiuchumi, kukata mishipa ya uhai ya Israel

MUKSINIOctober 23, 2024

Spika wa Bunge la Iran amezitaka nchi za Kiislamu kuchukua hatua kwa uratibu na kufanya kazi kwa ajili ya kuweka…

Wanafunzi Waislamu; Waathiriwa wa sera za kibaguzi za vyuo vikuu vya Marekani
SWAHILI NEWS

Wanafunzi Waislamu; Waathiriwa wa sera za kibaguzi za vyuo vikuu vya Marekani

MUKSINIOctober 23, 2024

Kufichuliwa kwa faili la sauti ya rais wa Chuo Kikuu cha Michigan kunaonesha kuanzishwa sera za kibaguzi dhidi ya wanafunzi…

Yemen yaipiga kwa mafanikio kambi ya kijeshi ya Israel kwa kombora la hypersonic
SWAHILI NEWS

Yemen yaipiga kwa mafanikio kambi ya kijeshi ya Israel kwa kombora la hypersonic

MUKSINIOctober 23, 2024

Vikosi vya jeshi la Yemen vimesema kuwa vimefanikiwa kuipiga kambi ya kijeshi ya Israel kwa kombora la hypersonic. Harakati ya…

Jarida la Marekani, Foreign Affairs: Hamas itabakia hai
SWAHILI NEWS

Jarida la Marekani, Foreign Affairs: Hamas itabakia hai

MUKSINIOctober 23, 2024

Jarida la Marekani la “Foreign Affairs” limeandika katika ripoti yake kwamba, kuuawa shahidi Yahya al-Sinwar, sio tu kwamba hakutaiangamiza Hamas,…

Mamilioni ya Waafrika kuwa masikini kwa sababu ya mgogoro wa mabadiliko ya tabianchi
SWAHILI NEWS

Mamilioni ya Waafrika kuwa masikini kwa sababu ya mgogoro wa mabadiliko ya tabianchi

MUKSINIOctober 23, 2024

Wataalamu wa mabadiliko ya tabia nchi wametahadharisha kuwa mgogoro wa hali ya hewa Afrika utawaelekeza katika umaskini watu wengine zaidi…

Takwa la Amnesty International la kuwekewa vikwazo vya silaha Israel
SWAHILI NEWS

Takwa la Amnesty International la kuwekewa vikwazo vya silaha Israel

MUKSINIOctober 23, 2024

Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limezitaka nchi za Ulaya kuuwekea vikwazo vya silaha utawala haramu wa Israel. Shirika…

Posts navigation

Older posts
Newer posts
Copyright © 2025 MALUMBANO DUNIANI | Link News by Ascendoor | Powered by WordPress.
  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us