Skip to content

MALUMBANO DUNIANI

Mizozo ya kijeshi duniani

  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us

Category: SWAHILI NEWS

SWAHILI NEWS

India-Pakistan: Fahamu nguvu za kijeshi za ya mataifa haya yaliyo na mzozo

MUKSINIMay 8, 2025

Mvutano huu ni sehemu ya mvutano wa muda mrefu ambao umegharimu maisha ya maelfu ya watu. Mizizi wa mvutano huu…

SWAHILI NEWS

Tetesi za Soka Ulaya Alhamisi: Arsenal yawasilisha ombi la kumsajili Liam Delap

MUKSINIMay 8, 2025

The Gunners waongeza mkataba wa William Saliba, na mustakabali wa Emiliano Martinez Aston Villa iko shakani.

SWAHILI NEWS

Kutembea pekupeku kunavyoweza kukuokoa na kifo

MUKSINIMay 8, 2025

Kwa mujibu wa utafiti ambao daktari kote amegundua ni kuwa kugusa ardhi moja kwa moja kwa ngozi ya miguu husaidia…

SWAHILI NEWS

Je, Arsenal ni fungu la kukosa?

MUKSINIMay 8, 2025

Arsenal imewaacha mashabiki wake wakisononeka kwa hasira na machungu kwa mara nyingine tena.

SWAHILI NEWS

Ndoto za Arsenal mabingwa Ulaya zaota mbawa yachapwa na PSG

MUKSINIMay 7, 2025

Mji mkuu wa Ufaransa umeendelea kuwa mahali pa majonzi kwa timu hiyo ya London Kaskazini. Walifungwa na Barcelona katika fainali…

SWAHILI NEWS

Kwanini Kapteni Ibrahim Traoré ni maarufu miongoni mwa vijana wa Afrika?

MUKSINIMay 7, 2025

Kapteni Ibrahim Traoré mara kwa mara ameeleza wasiwasi wake kuhusu juhudi za mataifa ya kigeni kuingilia mambo ya ndani ya…

SWAHILI NEWS

Papa ajaye atakuwa na asili ya Afrika?

MUKSINIMay 7, 2025

Huku Wakatoliki wakisubiri kuchaguliwa kiongozi mpya wa Kanisa lao, minong’ono inazidi kuongezeka kuhusu wapi atatoka duniani, huku baadhi wakisema kuwa…

SWAHILI NEWS

Mchakato wa kumchagua Papa Mpya waanza leo, fahamu taratibu nzima

MUKSINIMay 7, 2025

Kuna makadinali 135 wenye vigezo vya kushiriki katika kumchagua Papa mpya.

SWAHILI NEWS

India yaanzisha mashambulizi ya anga dhidi ya Pakistan na Kashmir

MUKSINIMay 7, 2025

Serikali ya India inasema vikosi vyake vimeanzisha “Operesheni Sindoor”, “kupiga miundombinu ya kigaidi” nchini Pakistani na Kashmir.

SWAHILI NEWS

Waridi wa BBC: ‘Mambo ni mawili, umrushe mtoto mtoni au niwauwe nyote wawili’

MUKSINIMay 7, 2025

Marion aliingia kwenye ndoa akiwa na matumaini kuwa hali itakuwa nzuri, lakini mambo yalibadilika na kuanza kuona ndoa chungu.

SWAHILI NEWS

Je, Papa Francis alifanya vya kutosha kupambana na unyanyasaji wa watoto?

MUKSINIMay 6, 2025

Ingawa inaeleweka kuwa Papa Francis alikwenda mbali zaidi kuliko watangulizi wake katika kuwatambua waathiriwa na kurekebisha taratibu za ndani za…

SWAHILI NEWS

Qassem Basir: Fahamu Kombora jipya la Iran, Je ni kuitisha Marekani?

MUKSINIMay 6, 2025

Waziri wa ulinzi nchini Iran alizindua kwa mara nyengine tena kombora la masafa marefu lililoboreshwa.

SWAHILI NEWS

Hamas yasema ‘hakuna maana’ ya mazungumzo wakati Israel ikipanga kupanua operesheni Gaza

MUKSINIMay 6, 2025

Hamas yasema ‘hakuna maana’ ya mazungumzo wakati Israel ikipanga kupanua operesheni Gaza

SWAHILI NEWS

Urusi ilivyopoteza wanajeshi 100,000 vitani Ukraine

MUKSINIMay 6, 2025

Mpaka sasa, wametambua majina ya wanajeshi wa Urusi 106,745 waliouawa tangu kuanza kwa uvamizi huo.

SWAHILI NEWS

Tetsi za soka Ulaya Jumanne: Manchester United yatangaza bei ya Garnacho

MUKSINIMay 6, 2025

Manchester United wameiambia Chelsea kwamba italazimika kulipa pauni milioni 65 ili kumsajili winga wa Argentina mwenye umri wa miaka 20…

SWAHILI NEWS

Namna kuku wa kienyeji walivyogeuka benki ya Kaya na kitoweo cha ndoto

MUKSINIMay 6, 2025

Kuku wa Singida kwa mfano hawawiki bure. Wanawika kwa matumaini, historia, uchumi na urithi.

SWAHILI NEWS

Siri kubwa ya kongamano Makardinali wanapomchagua Papa mpya

MUKSINIMay 5, 2025

Kwa zaidi ya miaka 750, sheria kali zimetawala orodha ya makadinali wanaokusanyika kumchagua papa

SWAHILI NEWS

Maji huingiaje kwenye nazi au dafu? Fahamu mchakato wake wa ajabu

MUKSINIMay 5, 2025

Je, umewahi kushangaa kuona maji ndani ya nazi unapoivunja? Umewahi kujiuliza jinsi maji hayo yalivyoingia ndani?

SWAHILI NEWS

Viongozi watano duniani waliowahi kurushiwa viatu hadharani

MUKSINIMay 5, 2025

Matukio kurushia viatu viongozi ni ishara ya dharau na kwa wengine ni ishara ya upinzani, ikihusihwa na siasa.

SWAHILI NEWS

Je, wafahamu faida za kiafya za kutoa viatu ukiingia kwa nyumba?

MUKSINIMay 5, 2025

Jambo dogo kama kuingia ndani ya nyumba ukiwa umevaa viatu linaweza kuwa chanzo cha hatari zisizoonekana kwa urahisi.

SWAHILI NEWS

Jeshi la Israel laanza kuwaita askari wa akiba kwa ajili ya upanuzi wa operesheni zake Gaza

MUKSINIMay 5, 2025

Jeshi la Israel limeanza kuwaita makumi kwa maelfu ya askari wa akiba ili “kuimarisha na kupanua” operesheni zake huko Gaza.

SWAHILI NEWS

Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu: Man Utd yajiunga na mbio za kumsaka Mbeumo

MUKSINIMay 5, 2025

Manchester United inavutiwa ba Bryan Mbeumo, Rodrygo huenda akaondoka Real Madrid, Manchester City inamtaka Morgan Gibbs-White na Real Madrid ianamnyatia…

SWAHILI NEWS

Hurrem Sultan; Mwanamke ‘mwenye nguvu zaidi’ katika historia ya Ottoman

MUKSINIMay 4, 2025

Akidaiwa kuwa mwanamke mwenye ushawishi mkubwa zaidi katika Milki ya Ottoman, mke mpendwa wa mmoja wa watawala wenye nguvu zaidi…

SWAHILI NEWS

Watu saba wauawa kwa shambulizi katika hospitali ya Sudani Kusini na soko,MSF yasema

MUKSINIMay 4, 2025

Takribani watu saba wameuawa baada ya hospitali na soko kulipuliwa kwa bomu nchini Sudan Kusini, shirika la misaada la matibabu…

SWAHILI NEWS

Hazina iliyojificha yagunduliwa ndani ya miili yetu — je ina manufaa gani?

MUKSINIMay 3, 2025

Wanasayansi wanasema kuna uwezekano wa kuwa na changamoto kidogo katika kuzibadili kuwa dawa, kwa sababu tayari ni bidhaa ya mwili…

SWAHILI NEWS

DRC na Rwanda: ‘Amani itakuja kwa makubaliano ya mabilioni ya dola’ – Marekani

MUKSINIMay 3, 2025

Marekani inazihimiza Rwanda na Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo kufikia makubaliano ya amani ambayo yataambatana na mkataba wa uwekezaji wa…

SWAHILI NEWS

Eneo la Iraq ambapo wakazi wanaishi ‘kwa hofu ya kifo kila dakika’

MUKSINIMay 3, 2025

Kijiji kizuri cha Sargil kiko kwenye milima ya Kurdistan ya Iraq. Kwa vizazi vingi, wanakijiji kama Sherwan Sargal wametegemea shamba…

SWAHILI NEWS

‘Hatujali’: China inavyokaidi ushuru wa Trump na kulenga masoko yake zaidi ya Marekani

MUKSINIMay 2, 2025

Laura Bicker anaelezea jinsi ushuru unavyoathiri biashara za Marekani na bidhaa za vichezeo vya China. “Hatujali kuhusu mauzo kwa Marekani,”…

SWAHILI NEWS

Tunachokijua kuhusu mkataba wa madini wa Ukraine na Marekani

MUKSINIMay 2, 2025

Marekani imesema makubaliano hayo ni “ishara kwa Urusi” kwamba utawala wa Trump “umedhamiria kusaka amani, uhuru na ustawi” wa Ukraine.

SWAHILI NEWS

Vita vya Ukraine havimaliziki ‘hivi karibuni’ – Vance

MUKSINIMay 2, 2025

Makamu wa Rais wa Marekani anasema ni juu ya Urusi na Ukraine kumaliza mzozo “wa kikatili” kati yao.

SWAHILI NEWS

Kwanini Traore anabadilisha dhana ya mapinduzi ya kijeshi Afrika?

MUKSINIMay 2, 2025

Kuibuka kwa Kapteni Ibrahim Traore nchini Burkina Faso kunachochea mjadala mpya kuhusu uhalali, umuhimu na hatima ya mapinduzi ya kijeshi…

SWAHILI NEWS

Je, Kanisa Katoliki linaingilia siasa za Tanzania?

MUKSINIMay 2, 2025

Kushambuliwa kwa Padri Kitima kunahusishwa na ukosoaji wa kisiasa ingawa mwenyewe na Kanisa Katoliki wamekuwa wakipinga hilo

SWAHILI NEWS

Wafahamu wabunge saba wa Kenya waliouawa mitaani

MUKSINIMay 1, 2025

Matukio haya ya kikatili yaliwavunjia wananchi wengi imani kwa serikali zilizokuwa madarakani, huku yakiibua majonzi, hasira, na hofu iliyoenea miongoni…

SWAHILI NEWS

Kwanini Lamine Yamal hawezi kukwepa kulinganishwa na Messi

MUKSINIMay 1, 2025

Ni vigumu kuelewa ni mafanikio kiasi gani Yamal amepata katika umri wake

SWAHILI NEWS

Njia 5 za kipekee walizotumia Waafrika kuhifadhi chakula kabla ya ujio wa majokofu

MUKSINIMay 1, 2025

Barani Afrika, kulikuwa na mbinu za kiasili za kuhifadhi chakula ili kikaae muda mrefu bila kuharibika, kwa matumizi ya baadaye.

SWAHILI NEWS

Marekani imesaini mkataba wa kupata madini ya Ukraine

MUKSINIMay 1, 2025

Marekani imekuwa ikishinikiza makubaliano ya rasilimali kama sharti la msaada zaidi wa kijeshi.

SWAHILI NEWS

Kwanini wanawake hawawezi kuwa Mapapa? na nini asili ya hili?

MUKSINIApril 30, 2025

Wanawake hawawezi kuwa viongozi wa Kanisa Katoliki. Ukristo wa Kikatoliki haukubali wanawake kuwa makasisi. Nini asili ya jambo hili?

SWAHILI NEWS

Lifahamu kombora jipya la Israel lililotumiwa katika vita vya Gaza

MUKSINIApril 30, 2025

Kwa mujibu wa jeshi la Israel, Kikosi cha 282 cha Silaha kilitumia makombora ya Bar, yaliyotengenezwa na Elbit Systems, kulenga…

SWAHILI NEWS

Hawa ni Mapapa watatu kutoka Afrika na namna walivyoubadilisha Ukristo

MUKSINIApril 30, 2025

Afrika Kaskazini ambayo wengi wao ni Waislamu, wakati mmoja ilikuwa nchi ya Kikristo, ikitoa mapapa wa Kikatoliki ambao waliacha alama…

SWAHILI NEWS

Kile Arteta na Arsenal walichojifunza kutokana na kichapo dhidi ya PSG

MUKSINIApril 30, 2025

Mambo matano tuliyojifunza kwenye mchezo wa kwanza wa nusu fainali ya Klabu bingwa Ulaya PSG ikiichapa Arsenal kwenye uwanja wa…

SWAHILI NEWS

Kenya yaijia juu BBC kuhusu makala yake iliyofichua askari walioua waandamanaji

MUKSINIApril 30, 2025

Makala hiyo ilihusisha maelfu ya picha na video kubaini afisa wa polisi na mwanajeshi wakihusika katika ufyatuaji risasi dhidi ya…

SWAHILI NEWS

Mambo matano yaliyobadilisha sura ya Kanisa Katoliki chini ya Papa Francis

MUKSINIApril 30, 2025

Mwaka 2015 alitembelea Cuba na kukutana na Fidel Castro – tukio la kihistoria lililoonyesha nafasi mpya ya Kanisa katika diplomasia…

SWAHILI NEWS

Tetesi za Soka Ulaya Jumatano: Madrid macho kwa Saliba

MUKSINIApril 30, 2025

Chelsea wanatazamia kumsajili Morgan Rogers, Real Madrid wanamtaka William Saliba kama sehemu ya kujenga upya safu yao ya ulinzi, huku…

SWAHILI NEWS

Jinsi ya kudhibiti hatari ya shinikizo la damu

MUKSINIApril 29, 2025

Ufuatiliaji wa mara kwa mara ni muhimu kwa utambuzi wa mapema ili kudhibiti shinikizo la damu.

SWAHILI NEWS

Arsenal vs PSG: Nusu fainali ya mambo matano kihistoria

MUKSINIApril 29, 2025

Hii ni mara ya kwanza kwa timu hizi mbili kukutana katika hatua ya nusu fainali ya Ligi ya mabingwa Ulaya.

SWAHILI NEWS

Kina nani wanaomchagua Papa ajaye na wanatoka wapi?

MUKSINIApril 29, 2025

Kufuatia kifo cha Papa Francis mwenye umri wa miaka 88 na mazishi yake Jumamosi, makadinali kutoka kote ulimwenguni hivi karibuni…

SWAHILI NEWS

Marekani yakiri ndege yake ya kivita kuanguka baharini huku Wahouthi wakidai kuishambulia

MUKSINIApril 29, 2025

Ndege ya kivita ya F-18 ilianguka kutoka kwenye meli ya kubeba ndege za Marekani katika Bahari Nyekundu, saa chache baada…

SWAHILI NEWS

Kuimarisha ulinzi mitaani ni suala baya- Kamanda Muliro

MUKSINIApril 28, 2025

MulirO anasema ulinzi umeirishwa katika mitaa ya Dar es Salaam hata kabla ya Pasaka.

SWAHILI NEWS

‘Liverpool bado inahitaji wachezaji makinda’: Kocha wao ataimarisha safu ipi?

MUKSINIApril 28, 2025

Liverpool haina budi kuimarisha kikosi chake kwa kuwasajili wachezaji wakuu licha ya kushinda Ligi ya Premia, anasema mwandishi mkuu wa…

SWAHILI NEWS

Korea Kaskazini yathibitisha kutuma majeshi kuisaidia Urusi katika Vita ya Ukraine

MUKSINIApril 28, 2025

Ripoti kwamba wanajeshi wa Korea Kaskazini walikuwa wametumwa ziliibuka mwezi Oktoba, kufuatia kuimarika kwa uhusiano wa pande mbili kati ya…

Posts navigation

Older posts
Newer posts
Copyright © 2025 MALUMBANO DUNIANI | Link News by Ascendoor | Powered by WordPress.
  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us