Skip to content

MALUMBANO DUNIANI

Mizozo ya kijeshi duniani

  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us

Category: SWAHILI NEWS

Chad yatangaza siku 3 za maombolezo baada ya kuuawa makumi ya wanajeshi
SWAHILI NEWS

Chad yatangaza siku 3 za maombolezo baada ya kuuawa makumi ya wanajeshi

MUKSINIOctober 29, 2024

Serikali ya Chad imetangaza siku tatu za maombolezo ya kitaifa baada ya kuuawa makumi ya wanajeshi wake katika jimbo la…

Iran: Mapigo tutakayojibu dhidi ya shambulio la Israel yataendana na sheria za kimataifa
SWAHILI NEWS

Iran: Mapigo tutakayojibu dhidi ya shambulio la Israel yataendana na sheria za kimataifa

MUKSINIOctober 29, 2024

Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema Jamhuri ya Kiislamu inabaki nayo haki yake ya…

Kikao cha tano cha Kamisheni ya Pamoja ya Iran na Tanzania kimeshirikisha wanawake wengi
SWAHILI NEWS

Kikao cha tano cha Kamisheni ya Pamoja ya Iran na Tanzania kimeshirikisha wanawake wengi

MUKSINIOctober 29, 2024

Makamu wa Rais wa Iran anayehusika na Masuala ya Wanawake na Familia ametangaza kuwa kikao cha tano cha Kamisheni ya…

Kushiriki Marekani kwa 70% katika jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel
SWAHILI NEWS

Kushiriki Marekani kwa 70% katika jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel

MUKSINIOctober 29, 2024

Takwimu rasmi za makadirio zilizochapishwa zinaonyesha kuwa, Marekani imetoa zaidi ya dola bilioni 22 za silaha na misaada ya kijeshi…

Hizbullah ya Lebanon yafanya oparesheni 30 dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel
SWAHILI NEWS

Hizbullah ya Lebanon yafanya oparesheni 30 dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel

MUKSINIOctober 29, 2024

Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imesema katika taarifa kwamba wanamapambano wake wamefanya oparesheni 30 tofauti siku ya Jumatatu…

Yemen yashambulia meli tatu zilizokiuka marufuku ya kuelekea bandari za utawala wa Kizayuni
SWAHILI NEWS

Yemen yashambulia meli tatu zilizokiuka marufuku ya kuelekea bandari za utawala wa Kizayuni

MUKSINIOctober 29, 2024

Vikosi vya Ulinzi vya Yemen vimetangaza kuwa vimezishambulia meli tatu kwa kukiuka marufuku iliyowekwa na nchi hiyo ya kupita kwenye…

Askari wapatao 40 wauawa katika shambulio kwenye kambi ya jeshi nchini Chad
SWAHILI NEWS

Askari wapatao 40 wauawa katika shambulio kwenye kambi ya jeshi nchini Chad

MUKSINIOctober 29, 2024

Wanajeshi wapatao 40 wameuawa katika shambulizi ldhidi ya kambi ya jeshi katika eneo la Ziwa Chad. Hayo yameelezwa katika taarifa…

Si UN na WHO pekee, hata waitifaki wa Israel wapinga na kulaani uamuzi wa kuipiga marufuku UNRWA
SWAHILI NEWS

Si UN na WHO pekee, hata waitifaki wa Israel wapinga na kulaani uamuzi wa kuipiga marufuku UNRWA

MUKSINIOctober 29, 2024

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amemwandikia barua waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni akisema, ametiwa wasiwasi mkubwa…

Nguvu za kijeshi za Iran hazijaathiriwa na shambulio la Israel
SWAHILI NEWS

Nguvu za kijeshi za Iran hazijaathiriwa na shambulio la Israel

MUKSINIOctober 29, 2024

Katibu wa Baraza Kuu la Usalama la Kitaifa la Iran (SNSC) Ali Akbar Ahmadian amesema hujuma ya hivi karibuni za…

Kikao cha dharura cha Baraza la Usalama; Israel yabebeshwa lawama
SWAHILI NEWS

Kikao cha dharura cha Baraza la Usalama; Israel yabebeshwa lawama

MUKSINIOctober 29, 2024

Kikao cha dharura cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ambacho kimeitishwa kwa ombi la Iran kwa ajili ya…

X yasimamisha akaunti ya Ayatullah Khamenei ya lugha ya Kiebrania
SWAHILI NEWS

X yasimamisha akaunti ya Ayatullah Khamenei ya lugha ya Kiebrania

MUKSINIOctober 29, 2024

Mtandao wa kijamii wa X, ambao zamani ulijulikana kama Twitter, umesimamisha akaunti ya lugha ya Kiebrania ya Kiongozi wa Mapinduzi…

Netflix yasalimu amri mbele ya Wazayuni, yaondoa filamu za Kipalestina
SWAHILI NEWS

Netflix yasalimu amri mbele ya Wazayuni, yaondoa filamu za Kipalestina

MUKSINIOctober 29, 2024

Kufuatia uamuzi wa Netflix wa kutoonyesha tena filamu zake zenye anuani ya “Hadithi za Palestina”, kufuatia mashinikizo ya Wazayuni, shirika…

Iran imesharekebisha uharibifu mdogo uliosababishwa na mashambulizi ya Israel
SWAHILI NEWS

Iran imesharekebisha uharibifu mdogo uliosababishwa na mashambulizi ya Israel

MUKSINIOctober 29, 2024

Waziri wa Ulinzi wa Iran Brigedia Jenerali Aziz Nasirzadeh anasema hujuma ya hivi majuzi wa utawala wa Israel dhidi ya…

Shirika la Nishati ya Upepo Kenya ni ‘Mtu wa Mwaka wa UN’
SWAHILI NEWS

Shirika la Nishati ya Upepo Kenya ni ‘Mtu wa Mwaka wa UN’

MUKSINIOctober 29, 2024

Kampuni ya mradi wa uzalishaji nishati ya upepo kutoka Kaunti ya Kajiado Kenya imejinyakulia tuzo ya umoja wa Mataifa nchini…

Kuongezeka hitilafu na nyufa ndani ya utawala wa Kizayuni kufuatia kuendelea vita vya Gaza
SWAHILI NEWS

Kuongezeka hitilafu na nyufa ndani ya utawala wa Kizayuni kufuatia kuendelea vita vya Gaza

MUKSINIOctober 29, 2024

Kuendelea vita vya Gaza, kumezidisha malalamiko na hitilafu huko Tel Aviv kadiri kwamba sasa viongozi wa Kizayuni wanatuhumiana wao kwa…

Iran: Kiburi cha Israel kinatokana na uungaji mkono usio na kikomo wa Marekani
SWAHILI NEWS

Iran: Kiburi cha Israel kinatokana na uungaji mkono usio na kikomo wa Marekani

MUKSINIOctober 28, 2024

Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa, sababu kuu ya kiburi na ufidhuli wa utawala wa…

DRC: Kambi ya rais wa zamani Joseph Kabila yapinga marekebisho ya katiba
SWAHILI NEWS

DRC: Kambi ya rais wa zamani Joseph Kabila yapinga marekebisho ya katiba

MUKSINIOctober 28, 2024

Muungano wa Common Front for Congo (FCC) wa Joseph Kabila, rais wa zamani wa DRC kinapinga dhidi ya rasimu ya…

Iraq yailalamikia Israel Umoja wa Mataifa kutumia anga yake kuishambulia Iran
SWAHILI NEWS

Iraq yailalamikia Israel Umoja wa Mataifa kutumia anga yake kuishambulia Iran

MUKSINIOctober 28, 2024

Serikali ya Iraq imewasilisha malamiko yake rasmi katika UUmoja wa Mataifa kulalamikia hatua ya Israel ya kutumia anga yake kuishambulia…

Bangladesh yalaani uvamizi wa Israel dhidi ya Iran
SWAHILI NEWS

Bangladesh yalaani uvamizi wa Israel dhidi ya Iran

MUKSINIOctober 28, 2024

Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Bangladesh sawa na nchi nyingine nyingi za Kiislamu imelaani kitendo cha kichokozi cha utawala…

PeacePro Afrika yalitaka kundi la BRICS kukomesha maovu ya Israel
SWAHILI NEWS

PeacePro Afrika yalitaka kundi la BRICS kukomesha maovu ya Israel

MUKSINIOctober 28, 2024

Taasisi moja isiyo ya kiserikali barani Afrika ambayo inapigania masuala ya amani, imelitaka kundi la BRICS kuchukua hatua za kuukomeshha…

China: Tunapinga ukiukwaji wa mamlaka ya kitaifa ya mataifa
SWAHILI NEWS

China: Tunapinga ukiukwaji wa mamlaka ya kitaifa ya mataifa

MUKSINIOctober 28, 2024

Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya China amesema kuwa, Beijing inapinga vikali hatua ya kukiukwa mamlaka ya kitaifa…

Mifano ya makosa ya kimahesabu yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni kuhusu nguvu na uwezo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
SWAHILI NEWS

Mifano ya makosa ya kimahesabu yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni kuhusu nguvu na uwezo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

MUKSINIOctober 28, 2024

Akizungumza jana Jumapili mjini Tehran, na familia za Mashahidi wa Usalama, Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu…

Ulimwengu wa Spoti, Oktoba 28
SWAHILI NEWS

Ulimwengu wa Spoti, Oktoba 28

MUKSINIOctober 28, 2024

Hujambo msikilizaji mpenzi na karibu tuangazie baadhi ya matukio makubwa ya spoti yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita katika pembe…

“Njia ya kukomesha jinai, ni kwa Wazayuni kutawaliwa na khofu”; maoni ya mitandaoni ya Wairan kuhusu jinai za Israel
SWAHILI NEWS

“Njia ya kukomesha jinai, ni kwa Wazayuni kutawaliwa na khofu”; maoni ya mitandaoni ya Wairan kuhusu jinai za Israel

MUKSINIOctober 28, 2024

Pars Today-Watumiaji wa mtandao wa kijamii X wametuma jumbe mbalimbali kwenye mitandao ya intaneti kulaani jinai zinazofanywa utawala wa Kizayuni…

Mbunge wa Bunge la Ulaya: Marekani na waitifaki wake wanaendesha vita Ukraine kwa ajili ya viwanda vyao vya kijeshi
SWAHILI NEWS

Mbunge wa Bunge la Ulaya: Marekani na waitifaki wake wanaendesha vita Ukraine kwa ajili ya viwanda vyao vya kijeshi

MUKSINIOctober 28, 2024

Pars Today: Mbunge wa Ireland katika Bunge la Ulaya amesema kuwa, madola ya Ulaya na Marekani wamelipa uhai mpya shirika…

“Alidhihiri katika kipindi sahihi cha historia” shahid Nasrullah kwa mtazamo wa watumiaji wa mtandao wa kijamii wa X
SWAHILI NEWS

“Alidhihiri katika kipindi sahihi cha historia” shahid Nasrullah kwa mtazamo wa watumiaji wa mtandao wa kijamii wa X

MUKSINIOctober 28, 2024

Parstoday: Watumiaji wa mtandao wa kijamii wa X wametuma ujumbe mbalimbali kwenye mtandao huo kumsifu shahid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu…

Kukosolewa baadhi ya watetezi wa haki za binadamu kwa kupuuza haki za Wapalestina
SWAHILI NEWS

Kukosolewa baadhi ya watetezi wa haki za binadamu kwa kupuuza haki za Wapalestina

MUKSINIOctober 28, 2024

Mwanadiplomasia wa Palestina katika Umoja wa Mataifa amelalamikia kimya cha wanaharakati wa haki za binadamu kuhusu wananchi wa Palestina. Muhammad…

Kuongezeka uhasama na chuki dhidi ya Waislamu barani Ulaya
SWAHILI NEWS

Kuongezeka uhasama na chuki dhidi ya Waislamu barani Ulaya

MUKSINIOctober 28, 2024

Kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu na vitendo vya ukatili dhidi ya Waislamu katika nchi mbalimbali za Ulaya kumewatia wasiwasi viongozi…

Rais Pezeshkian: Iran itatoa jibu linalostahiki kwa uchokozi wa Israel dhidi yake
SWAHILI NEWS

Rais Pezeshkian: Iran itatoa jibu linalostahiki kwa uchokozi wa Israel dhidi yake

MUKSINIOctober 28, 2024

Rais Masoud Pezeshkian amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haipendi vita lakini iko imara katika kujihami na kulinda usalama…

Afrika Kusini na Somalia zalaani vikali shambulio la Israel nchini Iran
SWAHILI NEWS

Afrika Kusini na Somalia zalaani vikali shambulio la Israel nchini Iran

MUKSINIOctober 28, 2024

Afrika Kusini na Somalia zimelaani vikali shambulio la Jumamosi alfajiri la Israel dhidi ya Iran na kusema kuwa chokochoko hizo…

Netanyahu aishukuru Marekani kwa kuisaidia kikamilifu Israel katika jinai zake
SWAHILI NEWS

Netanyahu aishukuru Marekani kwa kuisaidia kikamilifu Israel katika jinai zake

MUKSINIOctober 28, 2024

Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni ameishukuru Marekani kwa kuiunga mkono Israel katika jinai zake kwenye maeneo tofauti ya Asia…

EU yataka kukomeshwa wimbi jipya la mapigano nchini Sudan
SWAHILI NEWS

EU yataka kukomeshwa wimbi jipya la mapigano nchini Sudan

MUKSINIOctober 28, 2024

Josep Borrell, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, ameelezea wasiwasi wake kuhusu ripoti za mauaji ya watu…

Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Misri wafanya mazungumzo kuhusu chokochoko mpya za Israel dhidi ya Iran
SWAHILI NEWS

Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Misri wafanya mazungumzo kuhusu chokochoko mpya za Israel dhidi ya Iran

MUKSINIOctober 28, 2024

Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri jana Jumapili ilitoa taarifa na kusema kuwa, Waziri wa Mambo ya Nje wa…

UN: Vita vimeathiri zaidi ya wanawake milioni 600 kote ulimwenguni
SWAHILI NEWS

UN: Vita vimeathiri zaidi ya wanawake milioni 600 kote ulimwenguni

MUKSINIOctober 28, 2024

Umoja wa Mataifa umesema kuwa, zaidi ya wanawake na wasichana milioni 600 wameathiriwa na vita katika kona zote za dunia…

Jumatatu, 28 Oktoba, 2024
SWAHILI NEWS

Jumatatu, 28 Oktoba, 2024

MUKSINIOctober 28, 2024

Leo ni Jumatatu tarehe 24 Mfunguo Saba Rabiuthani 1446 Hijria mwafaka na tarehe 28 Oktoba 2024. Siku kama ya leo…

Iran yaliandikia barua Baraza la Usalama kuhusu shambulio la kigaidi kusini mashariki mwa nchi
SWAHILI NEWS

Iran yaliandikia barua Baraza la Usalama kuhusu shambulio la kigaidi kusini mashariki mwa nchi

MUKSINIOctober 28, 2024

Balozi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa ameliandikia barua Baraza la Usalama la Umoja huo na kulitaka litoe…

Araghchi: Iran itatoa majibu kwa Israel katika wakati itakaoona unafaa
SWAHILI NEWS

Araghchi: Iran itatoa majibu kwa Israel katika wakati itakaoona unafaa

MUKSINIOctober 28, 2024

Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa, ni haki ya Jamhuri ya Kiislamu kujibu uchokozi…

Hizbullah yavitwanga kwa makombora viwanda vya kijeshi vya Israel huko Haifa
SWAHILI NEWS

Hizbullah yavitwanga kwa makombora viwanda vya kijeshi vya Israel huko Haifa

MUKSINIOctober 28, 2024

Hizbullah ya Lebanon imeendelea kutoa vipigo kwa utawala pandikizi wa Kizayuni na imevipiga kwa makombora viwanda vya kijeshi vya Israel…

Walowezi sita wa Israel waangamizwa na makumi wajeruhiwa karibu na Tel Aviv + Video + Picha
SWAHILI NEWS

Walowezi sita wa Israel waangamizwa na makumi wajeruhiwa karibu na Tel Aviv + Video + Picha

MUKSINIOctober 28, 2024

Takriban walowezi sita wa utawala wa Kizayuni wameangamizwa na makumi ya wengine wamejeruhiwa katika operesheni ya kulipiza kisasi ya lori…

Afrika Kusini kuwasilisha hati kwa ICJ ya ushahidi wa kisayansi kuhusu mauaji ya kimbari ya Israel
SWAHILI NEWS

Afrika Kusini kuwasilisha hati kwa ICJ ya ushahidi wa kisayansi kuhusu mauaji ya kimbari ya Israel

MUKSINIOctober 28, 2024

Afrika Kusini kuwasilisha hati ya kina katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) kutoa ushahidi wa kisayansi kuthibitisha mauaji ya…

Watoto milioni 3.7 wako katika hatari ya utapiamlo mkali nchini Sudan
SWAHILI NEWS

Watoto milioni 3.7 wako katika hatari ya utapiamlo mkali nchini Sudan

MUKSINIOctober 28, 2024

Mashirika mawili ya Umoja wa Mataifa yamesema kuwa, watoto milioni 3.7 walio na umri wa chini ya miaka mitano nchini…

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu: Utawala wa Kizayuni umefanya makosa ya kimahesabu
SWAHILI NEWS

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu: Utawala wa Kizayuni umefanya makosa ya kimahesabu

MUKSINIOctober 27, 2024

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: Wakuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamefanya mahesabu potofu kuhusu Jamhuri ya…

Baraza la Usalama kujadili hatua za uchokozi za Israel dhidi ya Iran kesho Jumatatu
SWAHILI NEWS

Baraza la Usalama kujadili hatua za uchokozi za Israel dhidi ya Iran kesho Jumatatu

MUKSINIOctober 27, 2024

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limesema kuwa kesho Jumatatu litaitisha kikao kujadili mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi…

Kudumishwa uwezo wa Hizbullah wa kuzuia hujuma za adui licha ya kuuawa viongozi wake
SWAHILI NEWS

Kudumishwa uwezo wa Hizbullah wa kuzuia hujuma za adui licha ya kuuawa viongozi wake

MUKSINIOctober 27, 2024

Ushahidi uliopo ikiwa ni pamoja na utawala huo kueleza hamu yake ya kutaka kusimamisha vita kusini mwa Lebanon unaweka wazi…

Wanamgambo wa RSF watuhumiwa kwa ‘mauaji ya halaiki’ katika jimbo la Gezira, Sudan
SWAHILI NEWS

Wanamgambo wa RSF watuhumiwa kwa ‘mauaji ya halaiki’ katika jimbo la Gezira, Sudan

MUKSINIOctober 27, 2024

Mashambulizi yaliyofanywa na Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) huko kaskazini na mashariki mwa jimbo la Gezira nchini Sudan yametajwa…

UNICEF yatoa wito wa kutolewa huduma za kitiba za dharura kwa watoto wa Gaza
SWAHILI NEWS

UNICEF yatoa wito wa kutolewa huduma za kitiba za dharura kwa watoto wa Gaza

MUKSINIOctober 27, 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) amesema kuwa watoto wa Ukanda wa Gaza huko…

Uingereza inakabiliwa na deni la Pauni trilioni 18 za fidia ya utumwa
SWAHILI NEWS

Uingereza inakabiliwa na deni la Pauni trilioni 18 za fidia ya utumwa

MUKSINIOctober 27, 2024

Nchi za Afrika na Caribbean zinafuatilia mpango ambao unaweza kuigharimu Uingereza pauni trilioni 18 kutokana na nafasi yake ya kihistoria…

Mwandishi wa Uingereza: Wairani wanafanyia maskhara shambulio dhaifu la Israel
SWAHILI NEWS

Mwandishi wa Uingereza: Wairani wanafanyia maskhara shambulio dhaifu la Israel

MUKSINIOctober 27, 2024

Mwandishi wa Uingereza ameutaja “uchokozi wa kimaonyesho” wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika ardhi ya Iran kuwa ni dhihaka…

Iran: Umoja wa Ulaya unapendelea maslahi yake kuliko sheria za kimataifa
SWAHILI NEWS

Iran: Umoja wa Ulaya unapendelea maslahi yake kuliko sheria za kimataifa

MUKSINIOctober 27, 2024

Katika kujibu kauli ya Umoja wa Ulaya kufuatia uchokozi wa utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Iran, ubalozi wa Jamhuri…

Barua ya Iran kwa UN: Hatua za utawala wa Kizayuni ni tishio kuu kwa amani na usalama wa dunia
SWAHILI NEWS

Barua ya Iran kwa UN: Hatua za utawala wa Kizayuni ni tishio kuu kwa amani na usalama wa dunia

MUKSINIOctober 27, 2024

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amemwandikia barua Mwenyekiti wa Baraza la Usalama na Katibu Mkuu wa Umoja wa…

Posts navigation

Older posts
Newer posts
Copyright © 2025 MALUMBANO DUNIANI | Link News by Ascendoor | Powered by WordPress.
  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us