Skip to content

MALUMBANO DUNIANI

Mizozo ya kijeshi duniani

  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us

Category: SWAHILI NEWS

Marekani na Uingereza zashambulia tena Yemen kuunga mkono Israel
SWAHILI NEWS

Marekani na Uingereza zashambulia tena Yemen kuunga mkono Israel

MUKSINIOctober 31, 2024

Marekani na Uingereza zimefanya mashambulizi mapya ya anga katika mji wa Hudaydah, magharibi mwa Yemen kwa lengo la kuunga mkono…

Chama tawala cha Zimbabwe chatoa wito wa kufutwa majina ya kikoloni nchini humo
SWAHILI NEWS

Chama tawala cha Zimbabwe chatoa wito wa kufutwa majina ya kikoloni nchini humo

MUKSINIOctober 31, 2024

Majina ya majimbo na maeneo nchini Zimbabwe ambayo yanahusishwa na historia ya ukoloni wa nchi hiyo yanapaswa kubadilishwa. Wito huu…

Ubunifu mpya wa kisheria wa Afrika Kusini katika kuwatetea Wapalestina
SWAHILI NEWS

Ubunifu mpya wa kisheria wa Afrika Kusini katika kuwatetea Wapalestina

MUKSINIOctober 31, 2024

Kuendelea mauaji ya halaiki dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza kumeifanya timu ya wanasheria wa Afrika Kusini kuwasilisha kesi…

Sababu za kusalia imara Kambi ya Muqawama: “Imani na kutawakali kwa Mola Muumba”
SWAHILI NEWS

Sababu za kusalia imara Kambi ya Muqawama: “Imani na kutawakali kwa Mola Muumba”

MUKSINIOctober 31, 2024

Hamjambo na karibuni kuwa nasi katika Makala ya Wiki ambayo leo inazungumzia kwa ufupi sababu za kuendelea kuimarika Kambi ya…

Iran yaendelea na jitihada za kusimamishwa vita Ghaza na Lebanon
SWAHILI NEWS

Iran yaendelea na jitihada za kusimamishwa vita Ghaza na Lebanon

MUKSINIOctober 31, 2024

Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo na mawaziri wenzake wa mambo ya nje…

Hizbullah yafanya shambulio la makombora katika vitongoji vinne vya walowezi wa Kizayuni
SWAHILI NEWS

Hizbullah yafanya shambulio la makombora katika vitongoji vinne vya walowezi wa Kizayuni

MUKSINIOctober 31, 2024

Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa imeshambulia kwa makombora vitongoji vinne vya walowezi wa Kizayuni vya kaskazini mwa ardhi…

Balozi wa Sudan ailaani Israel kwa kuchochea moto wa vita nchini mwake
SWAHILI NEWS

Balozi wa Sudan ailaani Israel kwa kuchochea moto wa vita nchini mwake

MUKSINIOctober 31, 2024

Balozi wa Sudan mjini Tehran ameulaani utawala wa Kizayuni kwa kuchochea moto wa vita nchini mwake na kusema kuwa, Israel…

AU yaitaka UN kuchukua hatua madhubuti za kuondoa marufuku UNRWA iliyowekwa na Israel
SWAHILI NEWS

AU yaitaka UN kuchukua hatua madhubuti za kuondoa marufuku UNRWA iliyowekwa na Israel

MUKSINIOctober 31, 2024

Mkuu wa Umoja wa Afrika amelitaka Baraza Kuu na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuchukua hatua madhubuti za…

Ajali ya ndege ya kijeshi yaua raia 3 wa kigeni nchini Kongo
SWAHILI NEWS

Ajali ya ndege ya kijeshi yaua raia 3 wa kigeni nchini Kongo

MUKSINIOctober 31, 2024

Habari kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zinasema kuwa, jana Jumatano kulitokea ajali mbaya ya helikopta ya kijeshi ya nchi…

Takriban watoto milioni 500 wanaishi katika maeneo yenye migogoro duniani
SWAHILI NEWS

Takriban watoto milioni 500 wanaishi katika maeneo yenye migogoro duniani

MUKSINIOctober 31, 2024

Katika ripoti yake ya hivi karibuni inayoitwa Stop the War on Children, taasisi ya Save the Children imeripoti ongezeko la…

Mabanati wa Ghaza waendesha ‘Muqawama wa Kiqur’ani’ ili kuzipa nyoyo sakina na utulivu
SWAHILI NEWS

Mabanati wa Ghaza waendesha ‘Muqawama wa Kiqur’ani’ ili kuzipa nyoyo sakina na utulivu

MUKSINIOctober 31, 2024

Kundi moja la mabanati katika Ukanda wa Ghaza limeamua kuweka darsa za kuhifadhi Qur’ani ili kuzipa nyoyo zao sakina na…

Iran: Tutajibu iwapo Israel itarusha hata mshale jangwani
SWAHILI NEWS

Iran: Tutajibu iwapo Israel itarusha hata mshale jangwani

MUKSINIOctober 31, 2024

Vyombo vya ulinzi vya Iran vimesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu itajibu mapigo ya uchokozi wowote wa Israel dhidi ya ardhi…

Sheikh Qassem: Hizbullah itazima ‘mpango mkubwa’ wa Israel katika eneo
SWAHILI NEWS

Sheikh Qassem: Hizbullah itazima ‘mpango mkubwa’ wa Israel katika eneo

MUKSINIOctober 31, 2024

Katibu Mkuu mpya wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon amesema kundi hilo la mapambano ya Kiislamu litaendelea kupambana…

Waungaji mkono wa Palestina wakatiza hotuba ya Harris
SWAHILI NEWS

Waungaji mkono wa Palestina wakatiza hotuba ya Harris

MUKSINIOctober 31, 2024

Waandamanaji wanaoiunga mkono Palestina wamekatiza hotuba ya Makamu wa Rais wa Marekani na mgombea wa chama cha Democratic, Kamala Harris…

Biden ataja sharti la kuiruhusu Ukraine kuwashambulia wanajeshi wa Korea Kaskazini
SWAHILI NEWS

Biden ataja sharti la kuiruhusu Ukraine kuwashambulia wanajeshi wa Korea Kaskazini

MUKSINIOctober 31, 2024

Rais Joe Biden wa Marekani amesema, vikosi vya Ukraine vinapaswa kuwashambulia wanajeshi wa Korea Kaskazini ikiwa watavuka mpaka na kuingia…

Pyongyang kufanyia majaribio ICBM wakati wa uchaguzi wa US?
SWAHILI NEWS

Pyongyang kufanyia majaribio ICBM wakati wa uchaguzi wa US?

MUKSINIOctober 31, 2024

Korea Kusini imesema yumkini Korea Kaskazini itafanyia majaribio kombora lake jipya la balestiki, lenye uwezo wa kuvuka mabara la ICBM…

Alkhamisi, tarehe 31 Oktoba, 2024
SWAHILI NEWS

Alkhamisi, tarehe 31 Oktoba, 2024

MUKSINIOctober 31, 2024

Leo ni Alkhamisi tarehe 27 Rabiuthani 1446 Hijria sawa na Oktoba 31 mwaka 2024. Miaka 110 iliyopita katika siku kama ya…

Malengo ya utawala wa Kizayuni katika hatua yake mpya dhidi ya UNRWA
SWAHILI NEWS

Malengo ya utawala wa Kizayuni katika hatua yake mpya dhidi ya UNRWA

MUKSINIOctober 31, 2024

Hatua ya utawala wa Kizayuni ya kupiga marufuku shughuli za UNRWA imekabiliwa na radiamali kali za kimataifa. Bunge la utawala…

Wafuasi wa kundi lenye misimamo mikali waua, kujeruhi 16 Uganda
SWAHILI NEWS

Wafuasi wa kundi lenye misimamo mikali waua, kujeruhi 16 Uganda

MUKSINIOctober 30, 2024

Watu kadhaa wanaoshukiwa kuwa wafuasi madhehebu ya kidini yenye misimamo ya kufurutu ada wameshambulia kijiji kimoja nchini Uganda, na kuua…

Iran: Tunao uwezo wa kuishambulia Israel kwa ‘darzeni’ za operesheni sawa na “Ahadi ya Kweli”
SWAHILI NEWS

Iran: Tunao uwezo wa kuishambulia Israel kwa ‘darzeni’ za operesheni sawa na “Ahadi ya Kweli”

MUKSINIOctober 30, 2024

Waziri wa Ulinzi Brigedia Jenerali Aziz Nasirzadeh amesema Iran inao uwezo wa kuteketeza ‘darzeni’ za operesheni za kulipiza kisasi sawa…

Mashambulio na mauaji ya kinyama ya Israel yaigeuza Bait Lahia, Ghaza eneo la ‘maafa yasiyoelezeka’
SWAHILI NEWS

Mashambulio na mauaji ya kinyama ya Israel yaigeuza Bait Lahia, Ghaza eneo la ‘maafa yasiyoelezeka’

MUKSINIOctober 30, 2024

Mamlaka za Palestina katika eneo la Beit Lahia kaskazini mwa Ukanda wa Ghaza leo zimeutangaza mji huo kuwa “eneo la…

Israel inatafuta mwafaka wa kuachiwa mateka wachache na kusitishwa vita Ghaza kwa mwezi mmoja
SWAHILI NEWS

Israel inatafuta mwafaka wa kuachiwa mateka wachache na kusitishwa vita Ghaza kwa mwezi mmoja

MUKSINIOctober 30, 2024

Vyombo vya habari vya Kiebrania vimetangaza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unataka kufikia makubaliano na harakati ya Hamas yatakayowezesha…

Pentagon: Marekani imejitolea kuiunga mkono Israel dhidi ya Iran
SWAHILI NEWS

Pentagon: Marekani imejitolea kuiunga mkono Israel dhidi ya Iran

MUKSINIOctober 30, 2024

Jenerali Patrick Ryder, msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani, Pentagon amesema kuwa, Washington inafuatilia hali iliyopo huku utawala wa…

Wabotswana wapiga kura huku chama kilichotawala kwa miaka 58 kikiahidi ‘mabadiliko’
SWAHILI NEWS

Wabotswana wapiga kura huku chama kilichotawala kwa miaka 58 kikiahidi ‘mabadiliko’

MUKSINIOctober 30, 2024

Wabotswana leo wameelekea kwenye vituo vya kupigia kura kuchagua wabunge watakaomchagua rais, wakati chama tawala cha Botswana Democratic Party (BDP)…

Malalamiko ya wajumbe wa Baraza la Usalama dhidi ya ushirikiano wa Marekani na utawala wa Kizayuni
SWAHILI NEWS

Malalamiko ya wajumbe wa Baraza la Usalama dhidi ya ushirikiano wa Marekani na utawala wa Kizayuni

MUKSINIOctober 30, 2024

Katika kikao cha dharura cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kilichofanyika karibuni kwa ajili ya kijadili suala la…

Waandishi 1000 mashuhuri duniani kususia taasisi za kitamaduni za Israel
SWAHILI NEWS

Waandishi 1000 mashuhuri duniani kususia taasisi za kitamaduni za Israel

MUKSINIOctober 30, 2024

Zaidi ya waandishi elfu moja wameahidi kutoshirikiana na taasisi za kiutamaduni za utawala wa Kizayuni wa Israel, ambazo zinatajwa kushiriki…

Ripoti ya UN yaonya kuhusu njaa kali Congo DRC, migogoro inaendelea
SWAHILI NEWS

Ripoti ya UN yaonya kuhusu njaa kali Congo DRC, migogoro inaendelea

MUKSINIOctober 30, 2024

Ripoti ya hivi karibuni ya Umoja wa Mataifa inaeleza kwamba karibu mtu mmoja kati ya wanne katika Jamhuri ya Kidemokrasia…

Olmert: Adui yetu ni Netanyahu, si Iran, Hizbullah wala Hamas!
SWAHILI NEWS

Olmert: Adui yetu ni Netanyahu, si Iran, Hizbullah wala Hamas!

MUKSINIOctober 30, 2024

Waziri Mkuu wa zamani wa Israel, Ehud Olmart amesema adui wa utawala huo sio Iran, Hizbullah wala Hamas bali ni…

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Ulaya ni kielelezo cha unafiki
SWAHILI NEWS

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Ulaya ni kielelezo cha unafiki

MUKSINIOctober 30, 2024

Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema kuwa, Ulaya ni kielelezo cha unafiki. Abbas Araghchi ameyasema hayo akijibu matamshi…

Masaibu ya Naibu Rais aliyetimuliwa Kenya, Rigathi Gachagua yazidi, UDA nayo kumtimua
SWAHILI NEWS

Masaibu ya Naibu Rais aliyetimuliwa Kenya, Rigathi Gachagua yazidi, UDA nayo kumtimua

MUKSINIOctober 30, 2024

Chama tawala nchini Kenya cha United Democratic Alliance (UDA) kimetangaza kwamba, hivi karibuni kitamteua Naibu Rais mteule, Kithure Kindiki kama…

Tuujue Uislamu (28)
SWAHILI NEWS

Tuujue Uislamu (28)

MUKSINIOctober 30, 2024

Ni wasaa na wakati mwingine wapenzi wasikilizaji tunapokutana katika sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Tuujue Uislamu. Katika kipindi chetu…

Tuujue Uislamu (27)
SWAHILI NEWS

Tuujue Uislamu (27)

MUKSINIOctober 30, 2024

Assalaam alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni katika sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Tuujue Uislamu. Katika vipindi kadhaa vilivyotangulia tumekuwa…

Tuujue Uislamu (26)
SWAHILI NEWS

Tuujue Uislamu (26)

MUKSINIOctober 30, 2024

Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni tena katika sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Tuujue Uislamu.  Sehemu…

Tuujue Uislamu (25)
SWAHILI NEWS

Tuujue Uislamu (25)

MUKSINIOctober 30, 2024

Ni wasaa na wakati mwingine wapenzi wasikilizaji tunapokutana katika sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Tuujue Uislamu. Sehemu ya 25…

Tuujue Uislamu (23)
SWAHILI NEWS

Tuujue Uislamu (23)

MUKSINIOctober 30, 2024

Ni wasaa na wakati mwingine wapenzi wasikilizaji tunapokutana katika sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Tuujue Uislamu. Katika sehemu ya…

Tuujue Uislamu (22)
SWAHILI NEWS

Tuujue Uislamu (22)

MUKSINIOctober 30, 2024

Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni katika sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Tuujue Uislamu. Hii ni…

Iran yalaani mauaji ya kinyama ya Israel Beit Lahiya
SWAHILI NEWS

Iran yalaani mauaji ya kinyama ya Israel Beit Lahiya

MUKSINIOctober 30, 2024

Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali jinai na hujuma ya umwagaji…

Iran: Tuna haki halali ya kujilinda na kujihami
SWAHILI NEWS

Iran: Tuna haki halali ya kujilinda na kujihami

MUKSINIOctober 30, 2024

Msemaji wa serikali ya Iran, Fatemeh Mohajerani amesema Jamhuri ya Kiislamu ina haki ya kujilinda na kusisitiza kuwa, nchi hii…

Araghchi: Baraza la Usalama linapasa kuiwekea vikwazo Israel
SWAHILI NEWS

Araghchi: Baraza la Usalama linapasa kuiwekea vikwazo Israel

MUKSINIOctober 30, 2024

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lina jukumu la kuuwekea…

IRGC: Vipigo vya kushtukiza na kushangaza vinaisubiri Israel
SWAHILI NEWS

IRGC: Vipigo vya kushtukiza na kushangaza vinaisubiri Israel

MUKSINIOctober 30, 2024

Kamanda wa ngazi za juu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) ameonya kwamba, mipango mipya…

Wizara: Israel imeua wanafunzi karibu 12,000 tangu Oktoba 2023
SWAHILI NEWS

Wizara: Israel imeua wanafunzi karibu 12,000 tangu Oktoba 2023

MUKSINIOctober 30, 2024

Wizara ya Elimu katika Ukanda wa Gaza imesema utawala wa Kizayuni wa Israel umewaua wanafunzi zaidi ya 11,852 katika eneo…

UN: Vita vya Sudan vimesababisha watu milioni 14 kuwa wakimbizi
SWAHILI NEWS

UN: Vita vya Sudan vimesababisha watu milioni 14 kuwa wakimbizi

MUKSINIOctober 30, 2024

Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji (IOM) limetangaza kuwa, vita vya zaidi ya mwaka mmoja na nusu huko Sudan…

Jumatano tarehe 30 Oktoba 2024
SWAHILI NEWS

Jumatano tarehe 30 Oktoba 2024

MUKSINIOctober 30, 2024

Leo ni Jumatano tarehe 26 Mfunguo Saba Rabiuthani 1446 Hijria sawa na 30 Oktoba 2024. Siku kama ya leo miaka…

Jeshi lililochoka na kukimbia walowezi; mafanikio ya Netanyahu katika vita vya Lebanon
SWAHILI NEWS

Jeshi lililochoka na kukimbia walowezi; mafanikio ya Netanyahu katika vita vya Lebanon

MUKSINIOctober 30, 2024

Utawala wa Kizayuni ulioanzisha vita dhidi ya Lebanon kama ulivyotangaza kwamba ni kwa lengo kuwarejesha walowezi katika nyumba zao, hivi…

Jumanne, tarehe 29 Oktoba, 2024
SWAHILI NEWS

Jumanne, tarehe 29 Oktoba, 2024

MUKSINIOctober 29, 2024

Leo ni Jumanne tarehe 25 Rabiulthani 1446 Hijria sawa na Oktoba 29 mwaka 2024. Katika siku kama ya leo miaka…

Mwakilishi wa Algeria UN: Algiers inalaani vikali shambulizi la Israel dhidi ya Iran
SWAHILI NEWS

Mwakilishi wa Algeria UN: Algiers inalaani vikali shambulizi la Israel dhidi ya Iran

MUKSINIOctober 29, 2024

Balozi na mwakilishi wa Algeria katika mkutano wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa amelaani vikali mashambulizi ya hivi…

Israel yauwa raia wasiopungua 93 katika hujuma ya umwagaji damu huko Bait Lahia
SWAHILI NEWS

Israel yauwa raia wasiopungua 93 katika hujuma ya umwagaji damu huko Bait Lahia

MUKSINIOctober 29, 2024

Ndege za kivita za Israel zimeshambulia kwa mabomu jengo la makazi ya raia linalowahifadhi Wapalestina waliolazimika kuhama makazi yao kaskazini…

Ahmad Nourozi apongeza uungaji mkono wa Afrika Kusini kwa wananchi wa Palestina
SWAHILI NEWS

Ahmad Nourozi apongeza uungaji mkono wa Afrika Kusini kwa wananchi wa Palestina

MUKSINIOctober 29, 2024

Mkuu wa kitengo cha matangazo ya nje cha Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) amesema kuwa…

Sheikh Naim Qassim ateuliwa Katibu Mkuu Mpya wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon
SWAHILI NEWS

Sheikh Naim Qassim ateuliwa Katibu Mkuu Mpya wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon

MUKSINIOctober 29, 2024

Sheikh Naim Qassim aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu Mpya wa harakati…

Maandamano ya kuwaunga mkono watu wa Palestina yafanyika katika nchi mbalimbali duniani
SWAHILI NEWS

Maandamano ya kuwaunga mkono watu wa Palestina yafanyika katika nchi mbalimbali duniani

MUKSINIOctober 29, 2024

Wakazi wa miji ya nchi mbalimbali duniai wameendelea kufanya maadnamano ya kuwaunga mkono watu wanaohulumiwa wa Palestina na kulaani jinai…

Posts navigation

Older posts
Newer posts
Copyright © 2025 MALUMBANO DUNIANI | Link News by Ascendoor | Powered by WordPress.
  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us