Skip to content

MALUMBANO DUNIANI

Mizozo ya kijeshi duniani

  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us

Category: SWAHILI NEWS

WFP: Hatutachukua jukumu la UNRWA Gaza
SWAHILI NEWS

WFP: Hatutachukua jukumu la UNRWA Gaza

MUKSININovember 3, 2024

Shirika la Mpango wa Chakula Duniani WFP limetangaza kuwa, haliwezi kutumika kama mbadala wa Shirika la Umoja wa Mataifa la…

Medvedev: Russia itatumia silaha za nyuklia ikiwa uwepo wake utatishiwa
SWAHILI NEWS

Medvedev: Russia itatumia silaha za nyuklia ikiwa uwepo wake utatishiwa

MUKSININovember 3, 2024

Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la Shirikisho la Russia, Dmitry Medvedev amesema kuwa Marekani inafanya makosa ikiwa inaamini kwamba…

National Interest: Umewadia wakati sasa kwa Marekani kuacha kuipatia silaha Israel
SWAHILI NEWS

National Interest: Umewadia wakati sasa kwa Marekani kuacha kuipatia silaha Israel

MUKSININovember 3, 2024

Gazeti la National Interest limeandika katika moja ya makala yake kuhusiana na msaada wa kijeshi wa Marekani kwa Israel na…

Jumapili, 03 Novemba, 2024
SWAHILI NEWS

Jumapili, 03 Novemba, 2024

MUKSININovember 3, 2024

Leo ni Jumapili tarehe Mosi Mfunguo Nane Jamadul-Awwal 1446 Hijria mwafaka na 3 Novemba 2024 Miladia. Siku kama ya leo…

Jerusalem Post: Jeshi la Israel linamshinikiza Netanyahu asitishe vita, hasara zimezidi
SWAHILI NEWS

Jerusalem Post: Jeshi la Israel linamshinikiza Netanyahu asitishe vita, hasara zimezidi

MUKSININovember 2, 2024

Gazeti la Jerusalem Post limeripoti kuwa taasisi ya kijeshi ya Israel inataka kusitishwa vita katika maeneo ya Gaza na Lebanon,…

UNESCO: Mwanahabari mmoja huuawa kila baada ya siku 4 duniani kote
SWAHILI NEWS

UNESCO: Mwanahabari mmoja huuawa kila baada ya siku 4 duniani kote

MUKSININovember 2, 2024

Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limetoa ripoti yake ya kila mwaka leo Jumamosi, kuhusu…

Vifo vya mafuriko vyafikia 205, Uhispania yakubwa na maafa mabaya zaidi katika historia ya sasa
SWAHILI NEWS

Vifo vya mafuriko vyafikia 205, Uhispania yakubwa na maafa mabaya zaidi katika historia ya sasa

MUKSININovember 2, 2024

Idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na mafuriko ambayo hayajawahi kushuhudiwa nchini Uhispania imeongezeka huku kukiwa na utabiri wa mvua…

Imam Khamenei: Marekani na Israel bila shaka, zitapokea ‘jibu la kuvunja meno’
SWAHILI NEWS

Imam Khamenei: Marekani na Israel bila shaka, zitapokea ‘jibu la kuvunja meno’

MUKSININovember 2, 2024

Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu mapema leo ameeleza sababu za msingi za mapambano ya taifa la Iran yanayoendelea kwa takriban…

Kuendelea hatua na misimamo ya undumakuwili ya Marekani dhidi ya Iran
SWAHILI NEWS

Kuendelea hatua na misimamo ya undumakuwili ya Marekani dhidi ya Iran

MUKSININovember 2, 2024

Rais Joe Biden wa Marekani jana Ijumaa aliwatumia barua wakuu wa bunge la wawakilishi na seneti ambapo amerefusha kwa mwaka…

Israel yaililia Russia iwe mpatanishi kati yake na Hizbullah
SWAHILI NEWS

Israel yaililia Russia iwe mpatanishi kati yake na Hizbullah

MUKSININovember 2, 2024

Israel sasa inaiasa Russia eti ishiriki katika ‘juhudi za amani’ zinazolenga kumaliza mzozo kati ya utawala huo wa Kizayuni na…

Seneti ya Kenya yapinga pendekezo la kuongezwa muhula wa Rais
SWAHILI NEWS

Seneti ya Kenya yapinga pendekezo la kuongezwa muhula wa Rais

MUKSININovember 2, 2024

Kamati ya Seneti ya Kenya kuhusu Haki na Masuala ya Sheria inayoongozwa na Seneta wa Bomet, Hillary Sigei, imeitaka Seneti…

Kharrazi: Kuna muelekeo wa Iran kuongeza umbali wa masafa yatakakofika makombora yake
SWAHILI NEWS

Kharrazi: Kuna muelekeo wa Iran kuongeza umbali wa masafa yatakakofika makombora yake

MUKSININovember 2, 2024

Kamal Kharrazi, Mkuu wa Baraza la Kistratejia la Mahusiano ya Nje la Iran amesema, kuna muelekeo wa Jamhuri ya Kiislamu…

Watoto 50 ni kati ya watu 84 waliouawa katika ‘mauaji ya halaiki ya kikatili’ iliyofanya Israel Ghaza
SWAHILI NEWS

Watoto 50 ni kati ya watu 84 waliouawa katika ‘mauaji ya halaiki ya kikatili’ iliyofanya Israel Ghaza

MUKSININovember 2, 2024

Wapalestina 84 wakiwemo watoto zaidi ya 50 wameuliwa shahidi katika mashambulizi mawili ya kinyama yaliyofanywa na jeshi la utawala wa…

Muqawama wa Kiislamu wa Iraq waendeleza mashambulizi dhidi ya vituo vya wanajeshi wa Kizayuni
SWAHILI NEWS

Muqawama wa Kiislamu wa Iraq waendeleza mashambulizi dhidi ya vituo vya wanajeshi wa Kizayuni

MUKSININovember 2, 2024

Muqawama wa Kiislamu wa Iraq umetangaza kuwa umekilenga kituo muhimu katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu ya Palestina (Israel). Muqawama  wa…

Algeria yaadhimisha miaka 70 tangu yalipoanza Mapinduzi ya kuutokomeza ukoloni wa Ufaransa
SWAHILI NEWS

Algeria yaadhimisha miaka 70 tangu yalipoanza Mapinduzi ya kuutokomeza ukoloni wa Ufaransa

MUKSININovember 2, 2024

Algeria jana iliadhimisha mwaka wa 70 wa kuanza Mapinduzi ya ukombozi wa nchi hiyo dhidi ya mkoloni Ufaransa kwa gwaride…

Marekani yajipanga kutuma idadi kubwa zaidi ya wanajeshi na zana za kivita Asia Magharibi
SWAHILI NEWS

Marekani yajipanga kutuma idadi kubwa zaidi ya wanajeshi na zana za kivita Asia Magharibi

MUKSININovember 2, 2024

Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imetangaza mpango wa kutumewa wanajeshi zaidi wa nchi hiyo katika eneo la Asia Magharibi.…

Trump: Nikichaguliwa tena kuwa rais naahidi “kuzitenganisha” Russia na China
SWAHILI NEWS

Trump: Nikichaguliwa tena kuwa rais naahidi “kuzitenganisha” Russia na China

MUKSININovember 2, 2024

Donald Trump, mgombea urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Republican ameulaumu utawala wa Rais Joe Biden kwa kuukurubisha…

Wafanyakazi 101 wa BBC walituhumu shirika hilo kwa kupendelea Israel katika ripoti za vita vya Gaza
SWAHILI NEWS

Wafanyakazi 101 wa BBC walituhumu shirika hilo kwa kupendelea Israel katika ripoti za vita vya Gaza

MUKSININovember 2, 2024

Zaidi ya wafanyakazi 100 wa Shirika la Utangazaji la Serikali ya Uingereza (BBC) wamelishutumu shirika hilo kwa kusambaza habari zinazoupendelea…

Pezeshkian: Iran imeazimia kuimarisha uhusiano na Algeria
SWAHILI NEWS

Pezeshkian: Iran imeazimia kuimarisha uhusiano na Algeria

MUKSININovember 2, 2024

Rais wa Iran Masoud Pezeshkian ameipongeza Algeria kwa kuadhimisha miaka 70 ya mapinduzi yake, akielezea utayarifu wa Iran wa kuimarisha…

China: Tunaunga mkono kuheshimiwa usalama wa kitaifa wa Iran
SWAHILI NEWS

China: Tunaunga mkono kuheshimiwa usalama wa kitaifa wa Iran

MUKSININovember 2, 2024

Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya China imetangaza kuwa, inaunga mkono juhudi za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran za kudumisha…

Mauritius yazuia upatikanaji huduma za mitandao ya kijamii
SWAHILI NEWS

Mauritius yazuia upatikanaji huduma za mitandao ya kijamii

MUKSININovember 2, 2024

Mauritius imezuia huduma za mitandao ya kijamii, siku chache tu kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu. Hatua hiyo imechuukuliwa huku mvutano…

Uhispania yaomboleza huku idadi ya vifo vya mafuriko ikipindukia 150
SWAHILI NEWS

Uhispania yaomboleza huku idadi ya vifo vya mafuriko ikipindukia 150

MUKSININovember 2, 2024

Watuu wasiopungua 158 wamefariki dunia katika maafa makubwa zaidi ya mafuriko nchini Uhispania huku waokoaji wakiendelea na shughuli ya kutafuta…

Umoja wa Mataifa: Mataifa 22 yanakabiliwa na hatari ya njaa duniani
SWAHILI NEWS

Umoja wa Mataifa: Mataifa 22 yanakabiliwa na hatari ya njaa duniani

MUKSININovember 2, 2024

Umoja wa Mataifa umetangaza kuuwa, ghasia, mabadiliko ya hali ya hewa pamoja na changamoto za kiuchumi zimepelekea njaa na wakati…

Jumamosi, 02 Novemba, 2024
SWAHILI NEWS

Jumamosi, 02 Novemba, 2024

MUKSININovember 2, 2024

Leo ni Jumamosi  tarehe 29 Mfunguo Saba Rabiuthani 1446 Hijria mwafaka na 3 Novemba 2024 Miladia. Miaka 773 iliyopita katika siku…

Mauaji ya umati ya Wapalestina kwa silaha za Marekani
SWAHILI NEWS

Mauaji ya umati ya Wapalestina kwa silaha za Marekani

MUKSININovember 2, 2024

Kuendelea jinai za utawala wa Kizayuni huko Ghaza kwa kutumiwa silaha za Marekani limekuwa suala lenye utata linalojadiliwa katika duru…

Sheikh Kazem Siddiqi: Iran ina haki kujibu chochoko za utawala wa Kizayuni wa Israel
SWAHILI NEWS

Sheikh Kazem Siddiqi: Iran ina haki kujibu chochoko za utawala wa Kizayuni wa Israel

MUKSININovember 1, 2024

Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuhusu mashambulizi ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni…

Kamanda wa IRGC: Israel itakabiliwa na jibu lisilofikirika
SWAHILI NEWS

Kamanda wa IRGC: Israel itakabiliwa na jibu lisilofikirika

MUKSININovember 1, 2024

Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) ameionya Israel kwamba, itapata jibu kali na…

Hizbullah: Tumefanikiwa kuangamiza wanajeshi 95 wa Israel
SWAHILI NEWS

Hizbullah: Tumefanikiwa kuangamiza wanajeshi 95 wa Israel

MUKSININovember 1, 2024

Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imesema zaidi ya maafisa na wanajeshi 95 wa Israel wameuawa na wengine wasiopungua…

Chama tawala Botswana chabwagwa baada ya kuongoza kwa karibu miongo 6
SWAHILI NEWS

Chama tawala Botswana chabwagwa baada ya kuongoza kwa karibu miongo 6

MUKSININovember 1, 2024

Chama tawala cha Botswana Democratic Party (BDP) ambacho kimeiongoza nchi hiyo kwa miaka 58, kimebwagwa vibaya katika uchaguzi wa Bunge…

Kenya yapata Naibu Rais mpya; Profesa Kithure Kindiki
SWAHILI NEWS

Kenya yapata Naibu Rais mpya; Profesa Kithure Kindiki

MUKSININovember 1, 2024

Hatimaye Profesa Kithure Kindiki ameapishwa kuwa Naibu Rais mpya wa Rais wa Kenya, kuja kurithi mikoba ya Rigathi Gachagua ambaye…

Wabeba silaha waua wanakijiji 15 katika jimbo la Benue, Nigeria
SWAHILI NEWS

Wabeba silaha waua wanakijiji 15 katika jimbo la Benue, Nigeria

MUKSININovember 1, 2024

Kwa akali watu 15 wameuawa katika shambulizi la ‘majambazi’ waliojizatiti kwa silaha katika jimbo la Benue katikati mwa Nigeria. Shirika…

Mkuu wa Majeshi ya Israel akoswakoswa kaskazini mwa Gaza
SWAHILI NEWS

Mkuu wa Majeshi ya Israel akoswakoswa kaskazini mwa Gaza

MUKSININovember 1, 2024

Ripoti zinasema kuwa Mkuu wa Vikosi vya Majeshi ya Israel amekoswakoswa katika hujuma ya makombora ya wapiganaji wa Hamas huko…

Qaani: Kikosi cha Quds cha IRGC kitakuwa pamoja na Hizbullah hadi kuangamizwa Uzayuni
SWAHILI NEWS

Qaani: Kikosi cha Quds cha IRGC kitakuwa pamoja na Hizbullah hadi kuangamizwa Uzayuni

MUKSININovember 1, 2024

Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran amempongeza Sheikh Naim Qassim kwa…

Safaricom yajitetea, yasema haitoi data za wateja kwa maafisa usalama
SWAHILI NEWS

Safaricom yajitetea, yasema haitoi data za wateja kwa maafisa usalama

MUKSININovember 1, 2024

Kampuni ya mawasiliano ya Safaricom nchini Kenya hatimaye imekiri hutumia programu ya kampuni ya Neutral Technologies inayodaiwa kutumiwa na kampuni…

Lavrov: Mkataba wa ushirikiano wa ulinzi kati ya Russia na Iran utatiwa saini hivi karibuni
SWAHILI NEWS

Lavrov: Mkataba wa ushirikiano wa ulinzi kati ya Russia na Iran utatiwa saini hivi karibuni

MUKSININovember 1, 2024

Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia ametangaza kuwa makubaliano ya ushirikiano wa pamoja wa ulinzi kati ya Moscow na…

Takriban watu 321 wameshafariki dunia katika mafuriko nchini Nigeria
SWAHILI NEWS

Takriban watu 321 wameshafariki dunia katika mafuriko nchini Nigeria

MUKSININovember 1, 2024

Takriban watu 321 wamepoteza maisha na wengine zaidi ya 740,000 wamelazimika kuhama makazi yao nchini Nigeria tangu mwanzoni mwa mwaka…

Ripoti: Washington inapuuza kesi 500 za Israel kuwadhuru raia wa Gaza kwa silaha za Marekani
SWAHILI NEWS

Ripoti: Washington inapuuza kesi 500 za Israel kuwadhuru raia wa Gaza kwa silaha za Marekani

MUKSININovember 1, 2024

Serikali ya Washington imebaini takriban ripoti 500 za raia wa Ukanda wa Gaza kujeruhiwa na kuuawa na vikosi vya jeshi…

Katibu Mkuu wa UN: Dunia ichukue msimamo madhubuti dhidi ya mauaji ya kimbari huko Gaza
SWAHILI NEWS

Katibu Mkuu wa UN: Dunia ichukue msimamo madhubuti dhidi ya mauaji ya kimbari huko Gaza

MUKSININovember 1, 2024

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kuwepo msimamo mkali wa kimataifa dhidi ya mauaji ya kimbari yanayofanywa…

Ijumaa, tarehe Mosi Novemba, 2024
SWAHILI NEWS

Ijumaa, tarehe Mosi Novemba, 2024

MUKSININovember 1, 2024

Leo ni Ijumaa tarehe 28 Rabiuthani 1446 Hijria sawa na tarehe Mosi Novemba 2024. Miaka 808 iliyopita katika siku sawa na…

Mahakama Ghana yabatilisha uamuzi wa kusitisha shughuli za Bunge
SWAHILI NEWS

Mahakama Ghana yabatilisha uamuzi wa kusitisha shughuli za Bunge

MUKSININovember 1, 2024

Mahakama ya juu nchini Ghana imebatilisha uamuzi ambao ulikuwa umepelekea kusitishwa shughuli za bunge miezi michache kabla ya uchaguzi. Hatua…

Rais Pezeshkian: Umoja utawafanya Waislamu kuwa na nguvu kubwa
SWAHILI NEWS

Rais Pezeshkian: Umoja utawafanya Waislamu kuwa na nguvu kubwa

MUKSININovember 1, 2024

Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya umoja baina ya nchi za Kiislamu na kusema: Iwapo tutaweza…

Utafiti: Waislamu Ulaya waendelea kukabiliwa na ubaguzi
SWAHILI NEWS

Utafiti: Waislamu Ulaya waendelea kukabiliwa na ubaguzi

MUKSININovember 1, 2024

Waislamu barani Ulaya wameendelea kuandamwa na vitendo vya chuki na ubaguzi katika mataifa hayo yanayopigia debe uhuru wa kusema na…

Daktari wa Rwanda jela miaka 27 kwa mauaji ya kimbari
SWAHILI NEWS

Daktari wa Rwanda jela miaka 27 kwa mauaji ya kimbari

MUKSININovember 1, 2024

Eugène Rwamucyo, daktari wa zamani wa Rwanda, amehukumiwa kifungo cha miaka 27 jela kwa kupatikana na hatia katika kesi ya…

Korea Kaskazini yafanyia majaribio kombora la kisasa zaidi la nyuklia
SWAHILI NEWS

Korea Kaskazini yafanyia majaribio kombora la kisasa zaidi la nyuklia

MUKSININovember 1, 2024

Korea Kaskazini imetangaza kuwa, imefanyia majaribio moja ya makombora yake mapya zaidi yanayokusudiwa kuimarisha vizuizi vyake vya nyuklia, likiwa jaribio…

Uwezekano wa kusitishwa mapigano kusini mwa Lebanon
SWAHILI NEWS

Uwezekano wa kusitishwa mapigano kusini mwa Lebanon

MUKSININovember 1, 2024

Vyanzo vya Kizayuni, Marekani na Lebanon vimezungumzia kufikiwa makubaliano ya awali ya kusimamisha vita kusini mwa Lebanon, lakini kwamba bado…

Umuhimu na matokeo ya kuchaguliwa Katibu Mkuu mpya wa Hizbullah nchini Lebanon
SWAHILI NEWS

Umuhimu na matokeo ya kuchaguliwa Katibu Mkuu mpya wa Hizbullah nchini Lebanon

MUKSINIOctober 31, 2024

Miwezi mmoja baada ya kuuawa shahidi Sayyid Hassan Nasrallah, Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa imemchagua Sheikh Naim Qasim kuwa Katibu…

Kundi la Umoja wa Mataifa: Israel ilikiuka sheria za kimataifa katika hujuma dhidi ya Iran
SWAHILI NEWS

Kundi la Umoja wa Mataifa: Israel ilikiuka sheria za kimataifa katika hujuma dhidi ya Iran

MUKSINIOctober 31, 2024

Kundi la Marafiki Wanaotetea Hati ya Umoja wa Mataifa limesema hujuma ya hivi karibuni ya utawala haramu wa Israel dhidi…

Baraza la Usalama lalaani shambulizi la kigaidi la  dhidi ya msafara wa polisi nchini Iran
SWAHILI NEWS

Baraza la Usalama lalaani shambulizi la kigaidi la  dhidi ya msafara wa polisi nchini Iran

MUKSINIOctober 31, 2024

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limesikitishwa na shambulizi la  kigaidi la Jumamosi dhidi ya msafara wa polisi katika…

Mkenya apigwa risasi na jirani mbaguzi nchini Marekani, polisi walaaniwa kwa kushindwa kuchukua hatua
SWAHILI NEWS

Mkenya apigwa risasi na jirani mbaguzi nchini Marekani, polisi walaaniwa kwa kushindwa kuchukua hatua

MUKSINIOctober 31, 2024

Polisi huko Minneapolis, jimbo la Minnesota, Marekani, hatimaye wamemkamata mzungu mbabuzi, wiki moja baada ya kumpiga risasi na kumjeruhi jirani…

Obasanjo: Demokrasia ya magharibi haifai tena barani Afrika
SWAHILI NEWS

Obasanjo: Demokrasia ya magharibi haifai tena barani Afrika

MUKSINIOctober 31, 2024

Rais wa zamani wa Nigeria Olusegun Obasanjo ameitaka nchi yake kufikiria kupitisha mfumo wa serikali unaozingatia kanuni za kitamaduni za…

Posts navigation

Older posts
Newer posts
Copyright © 2025 MALUMBANO DUNIANI | Link News by Ascendoor | Powered by WordPress.
  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us