Skip to content

MALUMBANO DUNIANI

Mizozo ya kijeshi duniani

  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us

Category: SWAHILI NEWS

MSF yaanza upya kutoa huduma kwa wananchi waliokumbwa na njaa magharibi mwa Sudan
SWAHILI NEWS

MSF yaanza upya kutoa huduma kwa wananchi waliokumbwa na njaa magharibi mwa Sudan

MUKSININovember 7, 2024

Shirika lisilo la kiserikali la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limetangaza kuwa, limeanza tena kutoa huduma katika kambi ya wakimbizi…

Matokeo ya kufutwa kazi Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni
SWAHILI NEWS

Matokeo ya kufutwa kazi Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni

MUKSININovember 7, 2024

Hatua ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, ya kumfuta kazi Yoav Gallant, Waziri wa Vita…

SADC yaitisha mkutano wa dharura kuhusu mgogoro wa Msumbiji
SWAHILI NEWS

SADC yaitisha mkutano wa dharura kuhusu mgogoro wa Msumbiji

MUKSININovember 7, 2024

Ghasia za baada ya uchaguzi nchini Msumbiji kufuatia mzozo wa uchaguzi wa Oktoba 9 zimesababisha Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini…

Mkuu wa IRGC: Hizbullah imenusurika kimiujiza
SWAHILI NEWS

Mkuu wa IRGC: Hizbullah imenusurika kimiujiza

MUKSININovember 7, 2024

Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema licha ya hasara na matukio ya…

UN yatakiwa kuzuia hatua za Israel dhidi ya shirika la misaada, UNRWA
SWAHILI NEWS

UN yatakiwa kuzuia hatua za Israel dhidi ya shirika la misaada, UNRWA

MUKSININovember 7, 2024

Nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa zimetakiwa zizuie hatua za utawala wa Kizayuni wa Israel ya kutekeleza sheria zilizopitishwa na…

Hizbullah yalenga Tel Aviv, Haifa; yazindua kombora jipya lenye usahihi mkubwa
SWAHILI NEWS

Hizbullah yalenga Tel Aviv, Haifa; yazindua kombora jipya lenye usahihi mkubwa

MUKSININovember 7, 2024

Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imeishambulia miji ya Tel Aviv na Haifa katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa…

Mashabiki wa PSG wabeba mabango yanayoiunga mkono Palestina katikak mechi ya UEFA
SWAHILI NEWS

Mashabiki wa PSG wabeba mabango yanayoiunga mkono Palestina katikak mechi ya UEFA

MUKSININovember 7, 2024

Mechi kati ya Paris Saint-Germain na Atletico Madrid katika Ligi ya Soka ya Mabingwa wa Ulaya- UEFA- ilikuwa uwanja wa…

Somalia yaitaka Ujerumani isiwafukuze wahajiri Waafrika
SWAHILI NEWS

Somalia yaitaka Ujerumani isiwafukuze wahajiri Waafrika

MUKSININovember 7, 2024

Somalia imeitaka Ujerumani isitishe mpango wake wa kuwafukuza Waafrika wakiwemo Wasomali nchini humo. Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud alikutana…

Iran yalihimiza Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lisimamishe uwanachama wa Israel
SWAHILI NEWS

Iran yalihimiza Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lisimamishe uwanachama wa Israel

MUKSININovember 7, 2024

Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amelihimiza Baraza Kuu la umoja huo kusimamisha uanachama wa utawala ghasibu wa Israel…

Sheikh Naim Qasim: Tutawafanya Wazayuni waombe kusitishwa vita
SWAHILI NEWS

Sheikh Naim Qasim: Tutawafanya Wazayuni waombe kusitishwa vita

MUKSININovember 7, 2024

Sheikh Naim Qassem, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema: “Maneno ya Shahidi Seyed Hassan Nasrullah ni nuru ya uongofu,…

PNGO yakosoa marufuku ya Israel ya kupelekwa misaada ya kibinadamu Gaza
SWAHILI NEWS

PNGO yakosoa marufuku ya Israel ya kupelekwa misaada ya kibinadamu Gaza

MUKSININovember 7, 2024

Amjad Shawa ni Mkurugenzi wa Mtandao wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali ya Palestina (PNGO) amekosoa vikali hatua ya kinyama ya…

Waisraeli waendelea kupinga hatua ya Netanyahu ya kumtimua Gallant
SWAHILI NEWS

Waisraeli waendelea kupinga hatua ya Netanyahu ya kumtimua Gallant

MUKSININovember 7, 2024

Miji mbalimbali ya Israel (Palestina inayokaliwa kwa mabavu) hususan Tel Aviv iimeendelea kushuhudia maandamano makubwa ya kupinga hatua ya Waziri…

Amnesty International yaitaka Mali ifanye uchunguzi wa vifo vya raia katika mashambulio ya droni
SWAHILI NEWS

Amnesty International yaitaka Mali ifanye uchunguzi wa vifo vya raia katika mashambulio ya droni

MUKSININovember 7, 2024

Shirika la Kimataifa la Kutetea Haki za binadamu la Amnesty International, limeiitaka serikali ya Mali kufanya uchunguzi kuhusiana na mauaji…

Ireland kuwa na balozi wa kwanza wa Palestina
SWAHILI NEWS

Ireland kuwa na balozi wa kwanza wa Palestina

MUKSININovember 7, 2024

Serikali ya Ireland imeafiki kuteuliwa balozi wa Palestina kwa mara ya kwanza katika nchi hiyo ya bara Ulaya. Duru za…

Kushadidi mgogoro wa Gaza kufuatia kusimamishwa shughuli za UNRWA
SWAHILI NEWS

Kushadidi mgogoro wa Gaza kufuatia kusimamishwa shughuli za UNRWA

MUKSININovember 7, 2024

Kutokana na tangazo la kusitishwa shughuli za UNRWA, taasisi za kimataifa zimeonya kuhusu uwezekano wa kuzorota zaidi hali ya maisha…

Aragchi: Kuna uhusiano wa karibu kati ya kijikundi cha kigaidi cha Jaysh al-Dhulm na utawala wa Kizayuni
SWAHILI NEWS

Aragchi: Kuna uhusiano wa karibu kati ya kijikundi cha kigaidi cha Jaysh al-Dhulm na utawala wa Kizayuni

MUKSININovember 6, 2024

Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Iran na Pakistan zinaamini kuna uhusiano wa karibu…

Kenya yaomba msaada wa China kujiunga na BRICS
SWAHILI NEWS

Kenya yaomba msaada wa China kujiunga na BRICS

MUKSININovember 6, 2024

Rais wa Kenya William Ruto ameomba China iunge mkono ombi la taifa hilo la Afrika Mashariki kujiunga na kundi hilo…

Trump ajitangaza kuwa mshindi katika uchaguzi wa Marekani, Harris bado hajakubali kushindwa
SWAHILI NEWS

Trump ajitangaza kuwa mshindi katika uchaguzi wa Marekani, Harris bado hajakubali kushindwa

MUKSININovember 6, 2024

Rais wa zamani Donald Trump ambaye anaongoza kwa mujibu wa kura zilizohesabiswa dhidi ya Makamu wa Rais Kamala Harris katika…

Yahya Sinwar; Nembo ya Istiqama ya Palestina na Kusimama Imara Kukabiliana na Ughasibu
SWAHILI NEWS

Yahya Sinwar; Nembo ya Istiqama ya Palestina na Kusimama Imara Kukabiliana na Ughasibu

MUKSININovember 6, 2024

Natumai hujambo mpenzi msikilizaji popote pale ulipo. Nakukaribisha kutegea sikio kipindi hiki maalumu, ambacho kitasimulia maisha na ushujaa wa Yahya…

Mtaalamu: Kwa Afrika hakuna tofauti baina ya Trump na Harris
SWAHILI NEWS

Mtaalamu: Kwa Afrika hakuna tofauti baina ya Trump na Harris

MUKSININovember 6, 2024

Huku Donald Trump akiwa amejitangaza kuwa mshindi katika uchaguzi wa Marekani, wataalamu wa mambo wanasema hakuna tofauti kwa Afrika  kuhusu…

Baraza la Kiislamu la Msumbiji lajitolea kupatanisha baina ya serikali na waasi
SWAHILI NEWS

Baraza la Kiislamu la Msumbiji lajitolea kupatanisha baina ya serikali na waasi

MUKSININovember 6, 2024

Baraza la Kiislamu la Msumbiji limejitolea kuwa mpatanishii kati ya serikali na waasi wanaopigana na serikali katika jimbo la kaskazini…

Maandamano ya waungaji mkono Palestina katika siku ya uchaguzi Marekani
SWAHILI NEWS

Maandamano ya waungaji mkono Palestina katika siku ya uchaguzi Marekani

MUKSININovember 6, 2024

Sambamba na siku ya uchaguzi wa rais nchini Marekani, waungaji mkono wa Palestina wameandamana mjini New York kupinga sera ya…

Mafanikio mapya ya anga za mbali ya Iran: Kurushwa angani satelaiti mbili za Kowsar na Hod’hod
SWAHILI NEWS

Mafanikio mapya ya anga za mbali ya Iran: Kurushwa angani satelaiti mbili za Kowsar na Hod’hod

MUKSININovember 6, 2024

Watafiti wa moja ya mashirika ya anga za juu ya Iran kwa kubuni na kutengeneza satelaiti mbili za Kowsar na…

Sayyid Hashem Safiyyuddin, mjenga hamasa ya Muqawama itakayodumu milele
SWAHILI NEWS

Sayyid Hashem Safiyyuddin, mjenga hamasa ya Muqawama itakayodumu milele

MUKSININovember 6, 2024

SalamuLlahi Alaykum wapenzi wasikilizaji, na karibuni kutegea sikio kipindi hiki maalumu tulichokuandalieni kwa mnasaba wa kuuawa shahidi Mkuu wa Baraza…

Uingereza yarekodi maambukizi ya kwanza ya homa ya nyani nje ya Bara Afrika
SWAHILI NEWS

Uingereza yarekodi maambukizi ya kwanza ya homa ya nyani nje ya Bara Afrika

MUKSININovember 6, 2024

Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kwamba watu wawili wameambukizwa aina mpya ya virusi vya homa ya nyani, “Mpox” nchini…

Satalaiti za kwanza za sekta binafsi Iran zatuma ishara za awali
SWAHILI NEWS

Satalaiti za kwanza za sekta binafsi Iran zatuma ishara za awali

MUKSININovember 6, 2024

Balozi wa Iran nchini Russia, Kazem Jalali, ameandika kwenye mtandao wa kijamii wa X kwamba: Ishara za kwanza za satalaiti…

Vyombo vya habari vya Marekani: Trump anaongoza kwa kura 267 dhidi ya Harris mwenye kura 214
SWAHILI NEWS

Vyombo vya habari vya Marekani: Trump anaongoza kwa kura 267 dhidi ya Harris mwenye kura 214

MUKSININovember 6, 2024

Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump, anaongoza katika mbio za kuwania kuingia Ikulu ya White House dhidi ya Makamu…

Tovuti ya Russia: Biden anaweza kuanzisha vita vya dunia iwapo Harris atashindwa katika uchaguzi
SWAHILI NEWS

Tovuti ya Russia: Biden anaweza kuanzisha vita vya dunia iwapo Harris atashindwa katika uchaguzi

MUKSININovember 6, 2024

Kituo cha Kimkakati cha Russia cha Tamaduni kimetazamia kuwa Rais wa Marekani Joe Biden yumkini atazua mzozo wa kimataifa katika…

Kikao cha “Mahakama ya Gaza” chafanyika London kuwahukumu Wazayuni
SWAHILI NEWS

Kikao cha “Mahakama ya Gaza” chafanyika London kuwahukumu Wazayuni

MUKSININovember 6, 2024

Kundi la wanafikra, wanaharakati wa haki za binadamu, maprofesa wa vyuo vikuu na wawakilishi wa vyombo vya habari na mashirika…

Maji yamfika shingoni Netanyahu; amtimua waziri wa vita, maandamano yashtadi
SWAHILI NEWS

Maji yamfika shingoni Netanyahu; amtimua waziri wa vita, maandamano yashtadi

MUKSININovember 6, 2024

Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu amemfuta kazi Waziri wa Vita wa utawala huo, Yoav Gallant kutokana na kushindwa kwa…

Hizbullah yawatwanga kwa makombora wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel
SWAHILI NEWS

Hizbullah yawatwanga kwa makombora wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel

MUKSININovember 6, 2024

Wanamuqawama wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon wamevurumisha makombora katika kambi za kijeshi mahali walipokuwa wamekusanyika wanajeshi wa utawala wa…

Wanafunzi karibu elfu 12 wa Palestina wameuawa shahidi katika mashambulizi ya Israel Gaza
SWAHILI NEWS

Wanafunzi karibu elfu 12 wa Palestina wameuawa shahidi katika mashambulizi ya Israel Gaza

MUKSININovember 6, 2024

Wizara ya Elimu ya Palestina imetangaza kuwa, wanafunzi karibu elfu 12 wameuawa shahidi katika mashambulizi ya utawala wa Kizayuni huko…

Watoto 36 wapoteza maisha kwa malaria Sudan Kusini katika muda wa wiki 2
SWAHILI NEWS

Watoto 36 wapoteza maisha kwa malaria Sudan Kusini katika muda wa wiki 2

MUKSININovember 6, 2024

Afisa wa ngazi ya juu wa serikali ya Sudan Kusini jana Jumanne alithibitisha kupoteza maisha watu 41 kutokana na ugonjwa…

Mwanamke Mfaransa ahukumiwa miaka 3 jela kwa kuiunga mkono Palestina
SWAHILI NEWS

Mwanamke Mfaransa ahukumiwa miaka 3 jela kwa kuiunga mkono Palestina

MUKSININovember 6, 2024

Vyanzo vya habari vimeripoti kuwa mwanamke mmoja raia wa Ufaransa amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela kwa kuliunga mkono na…

UN: Milipuko ya mabomu ya kutegwa ardhini imeuwa watu 16 Libya tangu kuanza mwaka huu
SWAHILI NEWS

UN: Milipuko ya mabomu ya kutegwa ardhini imeuwa watu 16 Libya tangu kuanza mwaka huu

MUKSININovember 6, 2024

Watu 16 wakiwemo watoto wadogo wamepoteza maisha huko Libya tangu kuanza mwaka huu wa 2024 kufuatia milipuko ya mabomu ya…

Kulaaniwa na Jumuiya ya NAM uvamizi wa Israel dhidi ya Iran
SWAHILI NEWS

Kulaaniwa na Jumuiya ya NAM uvamizi wa Israel dhidi ya Iran

MUKSININovember 6, 2024

Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM), imelaani uovu wa utawala wa Kizayuni na hujuma yake ya…

Jumatano, Novemba 6, 2024
SWAHILI NEWS

Jumatano, Novemba 6, 2024

MUKSININovember 6, 2024

Leo ni Jumatano tarehe 04 Jamadil Awwal 1446 Hijria sawa na tarehe 6 Novemba 2024. Miaka 392 iliyopita katika siku kama…

Araghchi: Iran inaitambua haki ya kujilinda kwa mujibu wa Hati ya Umoja wa Mataifa
SWAHILI NEWS

Araghchi: Iran inaitambua haki ya kujilinda kwa mujibu wa Hati ya Umoja wa Mataifa

MUKSININovember 5, 2024

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, Jamhuri ya Kiislamu haitaki kuzusha mivutano lakini inatambua haki yake ya kujilinda…

Wapalestina 70 wauawa shahidi katika mashambulio ya kinyama ya Israel Ghaza
SWAHILI NEWS

Wapalestina 70 wauawa shahidi katika mashambulio ya kinyama ya Israel Ghaza

MUKSININovember 5, 2024

Wapalestina wasiopungua 70 wameuawa shahidi na makumi ya wengine wamejeruhiwa, akthari yao wakiwa ni wa sehemu ya kaskazini ya Ukanda…

Mali yaungana na makumi ya nchi za Afrika kujinaisha vitendo vya ufuska vya ‘ushoga’
SWAHILI NEWS

Mali yaungana na makumi ya nchi za Afrika kujinaisha vitendo vya ufuska vya ‘ushoga’

MUKSININovember 5, 2024

Bunge la Mpito la Mali limepitisha sheria inayojinaisha vitendo vya ufuska vya ‘ushoga’ na kujiunga na makumi ya nchi zingine…

Waziri wa Croatia: Iran ni mfano kwetu wa kuiga wa watu wa dini mbalimbali kuishi kwa amani
SWAHILI NEWS

Waziri wa Croatia: Iran ni mfano kwetu wa kuiga wa watu wa dini mbalimbali kuishi kwa amani

MUKSININovember 5, 2024

Waziri wa Utamaduni wa Croatia ametoa wito wa kuitumia tajiriba na uzoefu wa wafuasi wa dini tofauti nchini Iran katika…

Malaysia yasisitiza Israel ifukuzwe Umoja wa Mataifa kwa mauaji ya kimbari unayofanya Ghaza
SWAHILI NEWS

Malaysia yasisitiza Israel ifukuzwe Umoja wa Mataifa kwa mauaji ya kimbari unayofanya Ghaza

MUKSININovember 5, 2024

Waziri Mkuu wa Malaysia Anwar Ibrahim amesisitiza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel inapasa utimuliwe katika Umoja wa Mataifa kutokana…

Wamarekani washiriki kupiga kura katika uchaguzi wa rais wenye mchuano mkali
SWAHILI NEWS

Wamarekani washiriki kupiga kura katika uchaguzi wa rais wenye mchuano mkali

MUKSININovember 5, 2024

Mamilioni ya Wamarekani wamejitokeza kwenye vituo vya kupigia kura kote nchini humo leo Jumanne huku mustakabali wa urais wa nchi…

Iran yatoa wito wa kufanyika juhudi zaidi za kurejesha amani Gaza, Lebanon
SWAHILI NEWS

Iran yatoa wito wa kufanyika juhudi zaidi za kurejesha amani Gaza, Lebanon

MUKSININovember 5, 2024

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametoa wito wa kuongezwa juhudi za kidiplomasia za kuleta amani huko Gaza na…

Mufti wa Oman apongeza kuchaguliwa Sheikh Qassim kuwa kiongozi wa Hizbullah
SWAHILI NEWS

Mufti wa Oman apongeza kuchaguliwa Sheikh Qassim kuwa kiongozi wa Hizbullah

MUKSININovember 5, 2024

Katika ujumbe aliouandika kwenye akaunti yake ya X, Sheikh Ahmed bin Hamad Al Khalili, Mufti wa Oman amepongeza kuchaguliwa Sjeikh…

AyatullahAli Sistani asikitishwa na kushindwa jamii ya kimataifa kukabiliana na uchokozi wa utawala wa Kizayuni
SWAHILI NEWS

AyatullahAli Sistani asikitishwa na kushindwa jamii ya kimataifa kukabiliana na uchokozi wa utawala wa Kizayuni

MUKSININovember 5, 2024

Marja’ wa ngazi ya juu ya Mashia wa Iraq imeeleza masikitiko yake kuhusu kushindwa jamii ya kimataifa na taasisi husika…

Upeo angavu katika uhusiano wa Iran na Pakistan
SWAHILI NEWS

Upeo angavu katika uhusiano wa Iran na Pakistan

MUKSININovember 5, 2024

Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jioni ya jana Jumatatu aliwasili Islamabad,…

WHO yatoa onyo kuhusu matokeo mabaya ya kupigwa marufuku shughuli za UNRWA
SWAHILI NEWS

WHO yatoa onyo kuhusu matokeo mabaya ya kupigwa marufuku shughuli za UNRWA

MUKSININovember 5, 2024

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amesema, kupiga marufuku shughuli za Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia…

DRC: Waasi wa M23 wauteka mji mpya kwenye mpaka na Uganda huku mazungumzo yakijivuta
SWAHILI NEWS

DRC: Waasi wa M23 wauteka mji mpya kwenye mpaka na Uganda huku mazungumzo yakijivuta

MUKSININovember 5, 2024

Waasi wa M23 wanaendelea kupata nguvu mashariki mwa DRC. Kundi hilo ambalo linaripotiwa kuungwa mkono na Rwanda liliuteka mji  huo…

Waziri wa Mawasiliano wa Iran afanya mazungumzo na Rais wa Venezuela
SWAHILI NEWS

Waziri wa Mawasiliano wa Iran afanya mazungumzo na Rais wa Venezuela

MUKSININovember 5, 2024

Katika siku ya kwanza ya ziara yake nchini Venezuela, Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wa Iran amekutana na…

Posts navigation

Older posts
Newer posts
Copyright © 2025 MALUMBANO DUNIANI | Link News by Ascendoor | Powered by WordPress.
  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us