Skip to content

MALUMBANO DUNIANI

Mizozo ya kijeshi duniani

  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us

Category: SWAHILI NEWS

Wananchi wa Morocco waandamana kuunga mkono Palestina
SWAHILI NEWS

Wananchi wa Morocco waandamana kuunga mkono Palestina

MUKSININovember 16, 2024

Wananchi wa Morocco wameandamana na kutangaza himaya na uungaji mkono wao kwa wananchi wa Gaza na kulaani jinai za utawala…

Kupasishwa azimio jipya la Umoja wa Mataifa la kuwaunga mkono Wapalestina
SWAHILI NEWS

Kupasishwa azimio jipya la Umoja wa Mataifa la kuwaunga mkono Wapalestina

MUKSININovember 16, 2024

Kamati ya Haki za Binadamu na Masuala ya Kibinadamu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa imepasisha azimio na kusisitiza…

Tanzania: Watu watano wafariki dunia baada ya jengo kuporomoka Kariakoo
SWAHILI NEWS

Tanzania: Watu watano wafariki dunia baada ya jengo kuporomoka Kariakoo

MUKSININovember 16, 2024

Watu watano wamefariki dunia, na zaidi ya 40 kujeruhiwa baada ya jengo kuporomoka katika eneo la Kariakoo, Dar es Salaam,…

HAMAS yaendelea kuangamiza wanajeshi wa Israel kaskazini mwa Ghaza
SWAHILI NEWS

HAMAS yaendelea kuangamiza wanajeshi wa Israel kaskazini mwa Ghaza

MUKSININovember 16, 2024

Brigedi za Izzuddin Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS zimetangaza kuwa zimeangamiza maafisa…

Hizbulla yaendelea kutoa vipigo dhidi ya Wazayuni
SWAHILI NEWS

Hizbulla yaendelea kutoa vipigo dhidi ya Wazayuni

MUKSININovember 16, 2024

Kitengo cha habari za kivita cha Hizbullah ya Lebanon kimetangaza kuwa harakati hiyo ya Muqawama wa Kiislamu imeendelea kutoa vipigo…

Putin: Tuko tayari kusimamisha vita nchini Ukraine
SWAHILI NEWS

Putin: Tuko tayari kusimamisha vita nchini Ukraine

MUKSININovember 16, 2024

Ikulu ya Russia imetangaza habari ya kufanyika mazungumzo ya simu baina ya Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo na Kansela…

Kwa mara nyingine Ronald Lamola ataka kukomeshwa vita mara moja Ghaza
SWAHILI NEWS

Kwa mara nyingine Ronald Lamola ataka kukomeshwa vita mara moja Ghaza

MUKSININovember 16, 2024

Kwa mara nyingine tena, Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini ametaka kukomeshwa vita mara moja katika Ukanda wa…

Afrika Kusini yachukua hatua baada ya watoto 22 kufa kwa sumu
SWAHILI NEWS

Afrika Kusini yachukua hatua baada ya watoto 22 kufa kwa sumu

MUKSININovember 16, 2024

Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ameamuru kuondolewa dawa hatari za kuua wadudu barabarani na madukani kama moja ya hatua…

Palestina yatoa onyo kali kwa utawala wa Kizayuni kuhusu kitongoji cha al-Bastan
SWAHILI NEWS

Palestina yatoa onyo kali kwa utawala wa Kizayuni kuhusu kitongoji cha al-Bastan

MUKSININovember 16, 2024

Wizara ya Mambo ya Nje ya Palestina imetahadharisha kuhuusu uharibifu huo kamili wa kitongoji cha al-Bastan cha Quds Tukufu inayokaliwa…

Larijani: Iran inaendelea kuunga mkono muqawama katika hali zote
SWAHILI NEWS

Larijani: Iran inaendelea kuunga mkono muqawama katika hali zote

MUKSININovember 16, 2024

Mshauri wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amesisitiza kuwa, Iran inaendelea kuunga mkono kwa kila hali…

Kiongozi mmoja wa HAMAS auawa katika jela za Israel
SWAHILI NEWS

Kiongozi mmoja wa HAMAS auawa katika jela za Israel

MUKSININovember 16, 2024

Mmmoja wa viongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS, Samih Aliwi, aliuawa shahidi jana Ijumaa, Novemba 15,…

Haaretz: Zaidi ya Wazayuni 10,000 wameshakimbilia Canada mwaka huu kutokea Israel
SWAHILI NEWS

Haaretz: Zaidi ya Wazayuni 10,000 wameshakimbilia Canada mwaka huu kutokea Israel

MUKSININovember 16, 2024

Idadi ya walowezi wa Kizayuni wanaokimbilia Canada imeongezeka kwa kasi kutokana na vipigo inavyopata Israel kutoka kwa wanamapambano wa Lebanon…

Nigeria yaripoti vifo 15,000 vinavyohusiana na UKIMWI kila mwaka
SWAHILI NEWS

Nigeria yaripoti vifo 15,000 vinavyohusiana na UKIMWI kila mwaka

MUKSININovember 16, 2024

Nigeria inarekodi takriban vifo 15,000 vinavyohusiana na Ugonjwa wa Ukimwi kila mwaka licha ya juhudi za serikali za kukabiliana na…

Takriban magaidi 70 wenye mafungamano na Mossad wameuawa au kukamatwa kusini mashariki mwa Iran
SWAHILI NEWS

Takriban magaidi 70 wenye mafungamano na Mossad wameuawa au kukamatwa kusini mashariki mwa Iran

MUKSININovember 16, 2024

Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) limewaua au kuwakamata magaidi 69 wanaohusishwa na shirika la ujasusi…

Wasudani elfu 343 wamekimbia makazi yao, 503 wameuawa huko Al-Hilalia
SWAHILI NEWS

Wasudani elfu 343 wamekimbia makazi yao, 503 wameuawa huko Al-Hilalia

MUKSININovember 16, 2024

Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limetangaza kuwa mamia kwa maelfu ya watu wamekimbia kutoka Jimbo la Aljazira katikati mwa…

Jumamosi, 16 Novemba, 2024
SWAHILI NEWS

Jumamosi, 16 Novemba, 2024

MUKSININovember 16, 2024

Leo ni Jumamosi 14 Mfunguo Nane, Jamadul Awwal 1446 Hijria mwafaka na 16 Novemba 2024 Miladia. Siku kama ya leo…

Juhudi za Marekani za kuhalalisha jinai za Israel na kuendelea kuitumia silaha za mauaji ya umati
SWAHILI NEWS

Juhudi za Marekani za kuhalalisha jinai za Israel na kuendelea kuitumia silaha za mauaji ya umati

MUKSININovember 16, 2024

Vedant Patel, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, ametoa matamshi ambayo yanaonyesha kuwa Marekani haiko tayari kwa…

Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Mashambulizi ya Israel dhidi ya Gaza na Lebanon ni vita vya ukafiri dhidi ya kambi ya haki
SWAHILI NEWS

Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Mashambulizi ya Israel dhidi ya Gaza na Lebanon ni vita vya ukafiri dhidi ya kambi ya haki

MUKSININovember 15, 2024

Hatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amevitaja vita vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya watu…

Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Belfast wamfukuza Clinton, wasema anatetea mauaji ya kimbari Gaza
SWAHILI NEWS

Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Belfast wamfukuza Clinton, wasema anatetea mauaji ya kimbari Gaza

MUKSININovember 15, 2024

Polisi wa Ireland Kaskazini wamemuokoa Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Marekani, Hilary Clinton kwa kumuondoa kwenye Chuo…

Afrika Kusini yatangaza maafa ya taifa kutokana na mafuriko na kimbunga
SWAHILI NEWS

Afrika Kusini yatangaza maafa ya taifa kutokana na mafuriko na kimbunga

MUKSININovember 15, 2024

Serikali ya Afrika Kusini imetangaza hali ya maafa ya taifa zima kufuatia mafuriko makubwa na kimbunga kilichosababisha uharibifu mkubwa wa…

Mashabiki wazomea wimbo wa taifa wa Israel katika mechi ya soka nchini Ufaransa
SWAHILI NEWS

Mashabiki wazomea wimbo wa taifa wa Israel katika mechi ya soka nchini Ufaransa

MUKSININovember 15, 2024

Mashabiki wa soka waliohudhuria mechi ya Ligi ya Mataifa ya Ulaya mjini Paris kati ya Ufaransa na utawala wa Kizayuni…

Viongozi wa Jumuiya ya SADC kujadili machafuko ya Msumbiji
SWAHILI NEWS

Viongozi wa Jumuiya ya SADC kujadili machafuko ya Msumbiji

MUKSININovember 15, 2024

Viongozi wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika SADC wanatarajiwa kukutana mwishoni mwa juma hili, katika mji mkuu wa…

Kaunti 4 za Kenya zinakabiliwa na ukame mkubwa na janga la njaa
SWAHILI NEWS

Kaunti 4 za Kenya zinakabiliwa na ukame mkubwa na janga la njaa

MUKSININovember 15, 2024

Kaunti nne ambazo ziko kwenye maeneo yanayokumbwa mno na ukame zinakabiliwa na hatari ya janga kubwa la njaa ambalo linaweza…

Njama mpya ya unyakuzi wa ardhi ya Israel dhidi ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan
SWAHILI NEWS

Njama mpya ya unyakuzi wa ardhi ya Israel dhidi ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan

MUKSININovember 15, 2024

Bezalel Smotrich, Waziri wa Fedha wa utawala wa Kizayuni ametoa matamshi kuhusiana na ushindi wa Donald Trump katika uchaguzi wa…

Rais Pezeshkian: Iran inapigania usalama na amani duniani
SWAHILI NEWS

Rais Pezeshkian: Iran inapigania usalama na amani duniani

MUKSININovember 15, 2024

Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya amesisitiza kwamba ulimwengu unaelewa kuwa Iran inafuatilia amani na usalama duniani kote…

Iran na Angola zalaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel
SWAHILI NEWS

Iran na Angola zalaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel

MUKSININovember 15, 2024

Balozi mpya wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Angola na rais wa nchi hiyo wamelaani vitendo vya jinai vya…

WHO: Wagonjwa wa surua wameongezeka duniani
SWAHILI NEWS

WHO: Wagonjwa wa surua wameongezeka duniani

MUKSININovember 15, 2024

Shirika la Afya Duuniani (WHO) na lile la Marekani CDC yametangaza kuwa, kiwango cha maambukizi ya ugonjwa wa surua kiliongezeka…

UNRWA: Kizazi kizima cha Wapalestina kitanyimwa haki ya elimu Gaza
SWAHILI NEWS

UNRWA: Kizazi kizima cha Wapalestina kitanyimwa haki ya elimu Gaza

MUKSININovember 15, 2024

Philippe Lazzarini, Kamishna Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA), ameonya kuwa, kizazi kizima…

Watu milioni 7.3 waugua Malaria Ethiopia; 1,157 waaga dunia katika miezi 9
SWAHILI NEWS

Watu milioni 7.3 waugua Malaria Ethiopia; 1,157 waaga dunia katika miezi 9

MUKSININovember 15, 2024

Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, watu zaidi ya milioni 7.3 wamepatwa na ugonjwa wa Malaria nchini Ethiopia huku…

Araghchi: Iran haitafanya mazungumzo chini ya mashinikizo
SWAHILI NEWS

Araghchi: Iran haitafanya mazungumzo chini ya mashinikizo

MUKSININovember 15, 2024

Abbas Araqchi Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa Tehran iko tayari kuketi katika meza ya mazungumzo ya…

Msisitizo wa kupanuliwa ushirikiano wa vyombo vya habari kati ya Iran na Sudan
SWAHILI NEWS

Msisitizo wa kupanuliwa ushirikiano wa vyombo vya habari kati ya Iran na Sudan

MUKSININovember 15, 2024

Imesisitizwa katika kikao cha balozi wa Sudan nchini Iran na Mkuu wa kitengo cha matangazo ya nje cha Shirika la…

Borrell ataka Umoja wa Ulaya kusisitiza mazungumzo ya kisiasa na Israel
SWAHILI NEWS

Borrell ataka Umoja wa Ulaya kusisitiza mazungumzo ya kisiasa na Israel

MUKSININovember 15, 2024

Josep Borrell Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amependekeza kuwa, umoja huo unapaswa kusitisha mazungumzo yake ya…

Russia yaitahadharisha Ufaransa kuhusu kutuma makombora Ukraine
SWAHILI NEWS

Russia yaitahadharisha Ufaransa kuhusu kutuma makombora Ukraine

MUKSININovember 15, 2024

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia ametahadharisha kuhusu Ufaransa kutuma makombora nchini Ukraine. Akizungumza katika mahojiano na…

Utafiti mpya: Idadi ya waliouawa vitani Sudan inaweza kuwa ya juu zaidi
SWAHILI NEWS

Utafiti mpya: Idadi ya waliouawa vitani Sudan inaweza kuwa ya juu zaidi

MUKSININovember 15, 2024

Zaidi ya watu 61,000 wanakadiriwa kupoteza maisha katika jimbo la Khartoum katika kipindi cha miezi 14 ya kwanza ya vita…

Ijumaa, tarehe 15 Novemba, 2024
SWAHILI NEWS

Ijumaa, tarehe 15 Novemba, 2024

MUKSININovember 15, 2024

Leo ni Ijumaa tarehe 13 Mfunguo Nane Jamadil-Awwal 1446 Hijria ambayo inasafidiana na tarehe 15 Novemba 2024. Siku kama ya…

Safari ya Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki nchini Iran
SWAHILI NEWS

Safari ya Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki nchini Iran

MUKSININovember 14, 2024

Rafael Grossi, Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA aliwasili mjini Tehran Jumanne jioni ambapo amekutana…

Human Rights Watch: Vitendo vya Israel Gaza ni jinaiĀ  dhidi ya binadamu
SWAHILI NEWS

Human Rights Watch: Vitendo vya Israel Gaza ni jinaiĀ  dhidi ya binadamu

MUKSININovember 14, 2024

Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limetangaza kuwa, amri ya kuhama ilioyotolewa na Israel katika eneo…

Waislamu wa Tanzania wamkumbuka na kumuenzi Sayyid Hassan Nasrullah
SWAHILI NEWS

Waislamu wa Tanzania wamkumbuka na kumuenzi Sayyid Hassan Nasrullah

MUKSININovember 14, 2024

Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Tanzania wamefanya kumbukumbu ya Arubaini ya Sayyid Hassan Nasrullah aliyekuwa Katibu Mkuu wa Harakati…

Islami: Ushirikiano wa Iran na IAEA unaendelea katika fremu ya NPT na haki za kimataifa
SWAHILI NEWS

Islami: Ushirikiano wa Iran na IAEA unaendelea katika fremu ya NPT na haki za kimataifa

MUKSININovember 14, 2024

Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Atomiki ya Iran amesema kuwa, ushirikiano wa Iran na Wakala wa Kimataifa wa Nishati…

Utafiti: Idadi ya wagonjwa wa kisukari duniani imeongezeka
SWAHILI NEWS

Utafiti: Idadi ya wagonjwa wa kisukari duniani imeongezeka

MUKSININovember 14, 2024

Utafiti uliofanywa hivi karibuni unaonyesha kuwa, idadi ya watu wazima wanaougua kisukari duniani kote imeongezeka maradufu katika miongo mitatu iliyopita,…

Amnesty International: Silaha za Ufaransa zinatumika vitani Sudan licha ya vikwazo
SWAHILI NEWS

Amnesty International: Silaha za Ufaransa zinatumika vitani Sudan licha ya vikwazo

MUKSININovember 14, 2024

Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limetangaza kuwa, silaha za Ufaransa zimekuwa zikitumika katika vita vya wenyewe kkwa wenyewe…

Lugha ya Kiswahili kuwa somo la lazima katika shule za msingi Uganda
SWAHILI NEWS

Lugha ya Kiswahili kuwa somo la lazima katika shule za msingi Uganda

MUKSININovember 14, 2024

Kituo cha Kitaifa cha Ukuzaji Mtaala (NCDC) nchinin Uganda kimetangaza kuwa lugha ya Kiswahili itaanzishwa kama somo la lazima katika…

Iran yaionya Marekani kuhusu kukariri siasa zilizofeli za mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa
SWAHILI NEWS

Iran yaionya Marekani kuhusu kukariri siasa zilizofeli za mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa

MUKSININovember 14, 2024

Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameionya Marekani dhidi ya kuanzisha tena kampeni yake ya…

HAMAS: Andamaneni na zidini kuzizingira balozi za utawala wa Kizayuni na wanaouunga mkono
SWAHILI NEWS

HAMAS: Andamaneni na zidini kuzizingira balozi za utawala wa Kizayuni na wanaouunga mkono

MUKSININovember 14, 2024

Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imetoa wito wa kuzidishwa harakati za umma katika ngazi ya kimataifa katika…

Sheikh Naim Qassem: Wapiganaji wa Hizbullah ni fakhari inayotetemesha mihimili ya Uzayuni
SWAHILI NEWS

Sheikh Naim Qassem: Wapiganaji wa Hizbullah ni fakhari inayotetemesha mihimili ya Uzayuni

MUKSININovember 14, 2024

Katibu Mkuu wa Hizbullah Sheikh Naim Qassem amewaandika barua wapiganaji wa harakati hiyo ya Muqawama wa Kiislamu ya Lebanon, akiwapongeza…

Maporomoko ya udongo yaua watu 16 magharibi ya Madagascar
SWAHILI NEWS

Maporomoko ya udongo yaua watu 16 magharibi ya Madagascar

MUKSININovember 14, 2024

Watu wapatao 16 wamefariki dunia wakati mashua waliyokuwa wakisafiria kupitia mtoni magharibi mwa Madagascar kukumbwa na maporomoko ya udongo. Hayo…

Ripoti: Ujerumani inaajiri wakimbizi wakapigane vita kama mamluki wa Israel
SWAHILI NEWS

Ripoti: Ujerumani inaajiri wakimbizi wakapigane vita kama mamluki wa Israel

MUKSININovember 14, 2024

Mashirika ya intelijensia ya Ujerumani na ya Kizayuni kwa uratibu wa karibu na utawala wa Tel Aviv yameripotiwa kwamba, yamekuwa…

Mbunge wa UK: FIFA na UEFA zina ‘nyuso mbili za ubaguzi wa rangi’ kwa maslahi ya Israel
SWAHILI NEWS

Mbunge wa UK: FIFA na UEFA zina ‘nyuso mbili za ubaguzi wa rangi’ kwa maslahi ya Israel

MUKSININovember 14, 2024

Mbunge wa chama cha Leba nchini Uingereza Zarah Sultana amekosoa vikali mashirikisho ya juu ya soka duniani ya FIFA na…

Gazeti maarufu la Guardian lajiondoa kwenye X kulalamikia hisia hasi na mielekeo ya ubaguzi
SWAHILI NEWS

Gazeti maarufu la Guardian lajiondoa kwenye X kulalamikia hisia hasi na mielekeo ya ubaguzi

MUKSININovember 14, 2024

Gazeti la The Guardian linalochapishwa nchini Uingereza limetangaza kuwa litaacha kuweka maandiko yake kwenye X, mtandao wa kijamii uliokuwa ukijulikana…

Iran yalaani mpango wa kibaguzi na kitanuzi wa Israel wa kunyakua Ukingo wa Magharibi
SWAHILI NEWS

Iran yalaani mpango wa kibaguzi na kitanuzi wa Israel wa kunyakua Ukingo wa Magharibi

MUKSININovember 14, 2024

Iran imelaani vikali wito wa waziri mmoja wa utawala haramu wa Israel wa kunyakua kikamilifu eneo la Palestina la Ukingo…

Posts navigation

Older posts
Newer posts
Copyright © 2025 MALUMBANO DUNIANI | Link News by Ascendoor | Powered by WordPress.
  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us