Skip to content

MALUMBANO DUNIANI

Mizozo ya kijeshi duniani

  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us

Category: SWAHILI NEWS

Waziri Tuggar: Nigeria inaunga mkono juhudi za ukombozi wa Palestina
SWAHILI NEWS

Waziri Tuggar: Nigeria inaunga mkono juhudi za ukombozi wa Palestina

MUKSININovember 19, 2024

Yusuf Maitama Tuggar, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Nigeria amesema kuwa nchi yake ingali inaunga mkono juhudi za kisiasa…

Wananchi wa Gabon wapasisha katiba mpya kupitia kura ya maoni
SWAHILI NEWS

Wananchi wa Gabon wapasisha katiba mpya kupitia kura ya maoni

MUKSININovember 19, 2024

Wananchi wa Gabon wamepasisha katiba mpya ya nchi hiyo kwa wingi wa kura katika zoezi la kura ya maoni lililofanyika…

Jebeli: Ulimwengu unashuhudia kuporomoka kwa utawala bandia wa Kizayuni
SWAHILI NEWS

Jebeli: Ulimwengu unashuhudia kuporomoka kwa utawala bandia wa Kizayuni

MUKSININovember 19, 2024

Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) amesema kuwa, hata wananchi wa Ulaya pia wametambua…

Jumanne, 19 Novemba, 2024
SWAHILI NEWS

Jumanne, 19 Novemba, 2024

MUKSININovember 19, 2024

Leo ni Jumanne tarehe 17 Mfunguo Nane Jamadul-Awwal 1446 Hijria inayosadifiana na tarehe 19 Novemba 2024. Siku kama ya leo…

Iran: Mkuu wa vyombo vya habari wa Hizbullah aliyeuawa shahidi alikuwa “sauti nzito” ya Lebanon
SWAHILI NEWS

Iran: Mkuu wa vyombo vya habari wa Hizbullah aliyeuawa shahidi alikuwa “sauti nzito” ya Lebanon

MUKSININovember 18, 2024

Iran imelaani vikali mauaji ya msemaji wa Hizbullah  Mohammad Afif katika shambulio la Israel lililolenga jengo moja katikati mwa Beirut,…

Washington Post: Marekani hivi karibuni itakabiliwa na tishio kubwa kuliko silaha za nyuklia
SWAHILI NEWS

Washington Post: Marekani hivi karibuni itakabiliwa na tishio kubwa kuliko silaha za nyuklia

MUKSININovember 18, 2024

Gazeti la Washington Post limeripoti kwamba kuna uwezekano wa Marekani kukabiliwa na tishio kubwa zaidi kuliko silaha za nyuklia katika…

Takhte Ravanchi: Sera za mashinikizo ya juu zaidi dhidi ya Iran zitafeli
SWAHILI NEWS

Takhte Ravanchi: Sera za mashinikizo ya juu zaidi dhidi ya Iran zitafeli

MUKSININovember 18, 2024

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesisitiza kuwa jitihada zote za kuiwekea Tehran…

Seneta wa Australia ‘aadhibiwa’ kwa kupinga mauaji ya kimbari ya ufalme wa Uingereza
SWAHILI NEWS

Seneta wa Australia ‘aadhibiwa’ kwa kupinga mauaji ya kimbari ya ufalme wa Uingereza

MUKSININovember 18, 2024

Bunge la Seneti la Australia limemkaripia seneta mtetezi wa haki za wakazi asili wa nchi hiyo, Lidia Thorpe, kwa matamshi…

Hatua mpya ya Wamagharibi ya kuchochea moto wa vita vya Ukraine
SWAHILI NEWS

Hatua mpya ya Wamagharibi ya kuchochea moto wa vita vya Ukraine

MUKSININovember 18, 2024

Rais wa Marekani, Joe Biden ameripotiwa kuidhinisha Ukraine kutumia makombora ya masafa marefu ya Kimarekani kulenga shabaha ndani ya mipaka…

Jeshi la Sudan: Tumeua wapiganaji 150 wa RSF Magharibi mwa nchi
SWAHILI NEWS

Jeshi la Sudan: Tumeua wapiganaji 150 wa RSF Magharibi mwa nchi

MUKSININovember 18, 2024

Jeshi la Sudan (SAF) limetangaza kwamba limeua wapiganaji 150 wa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) katika vita vilivyozuka baina…

Araghchi: Uwekaji vikwazo wa Ulaya dhidi ya Iran hauna msingi wa kisheria, kimantiki wala kimaadili
SWAHILI NEWS

Araghchi: Uwekaji vikwazo wa Ulaya dhidi ya Iran hauna msingi wa kisheria, kimantiki wala kimaadili

MUKSININovember 18, 2024

Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Araqchi ametoa mjibizo kwa uamuzi wa Umoja…

Waziri wa Ulinzi wa Iran: Tutaendelea kuunga mkono Mhimili wa Muqawama
SWAHILI NEWS

Waziri wa Ulinzi wa Iran: Tutaendelea kuunga mkono Mhimili wa Muqawama

MUKSININovember 18, 2024

Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Tehran itaendelea kuuunga mkono Mhimili wa Muqawama, serikali na…

Yemen yatoa taarifa kuhusu mashambulizi iliyofanya dhidi ya ngome za utawala wa Kizayuni
SWAHILI NEWS

Yemen yatoa taarifa kuhusu mashambulizi iliyofanya dhidi ya ngome za utawala wa Kizayuni

MUKSININovember 18, 2024

Jeshi la Yemen limetoa taarifa kuhusu mashambulizi liliyofanya dhidi ya baadhi ya maeneo nyeti na muhimu sana ya kijeshi ya…

CAIR yamjibu Papa: Mauaji ya kimbari ya Ghaza si ya kuchunguzwa, ni jambo lililo dhahiri
SWAHILI NEWS

CAIR yamjibu Papa: Mauaji ya kimbari ya Ghaza si ya kuchunguzwa, ni jambo lililo dhahiri

MUKSININovember 18, 2024

Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR) limekaribisha wito wa Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis wa kufanywa uchunguzi…

Uhispania yasisitiza kusimamishwa mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza na Lebanon
SWAHILI NEWS

Uhispania yasisitiza kusimamishwa mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza na Lebanon

MUKSININovember 18, 2024

Waziri wa Mambo ya Nje wa Uhispania amesisitiza ulazima wa kusitishwa haraka iwezekanavyo mashambulizi ya kikatili yanayofanywa na jeshi la…

Biden aidhinisha Ukraine kutumia makombora ya US kushambulia ndani ya ardhi ya Russia
SWAHILI NEWS

Biden aidhinisha Ukraine kutumia makombora ya US kushambulia ndani ya ardhi ya Russia

MUKSININovember 18, 2024

Rais Joe Biden wa Marekani ameripotiwa kuidhinisha Ukraine kutumia makombora ya masafa marefu ya Kimarekani kulenga shabaha ndani ya mipaka…

Rais Samia: Tumepoteza wenzetu 13 Kariakoo
SWAHILI NEWS

Rais Samia: Tumepoteza wenzetu 13 Kariakoo

MUKSININovember 18, 2024

Watu 13 wamethibitika kufariki dunia na wengine 84 kujeruhiwa kufuatia ajali ya kuporomoka kwa jengo katika eneo la Kariakoo mkoani…

Hamas yalaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Beit Lahiya
SWAHILI NEWS

Hamas yalaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Beit Lahiya

MUKSININovember 18, 2024

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imelaani mashambulizi makali yaliyofanywa na jeshi la utawala ghasibu wa Israel dhidi…

Waungaji mkono wa Palestina waandamana Canada na kulaani jinai za Israel
SWAHILI NEWS

Waungaji mkono wa Palestina waandamana Canada na kulaani jinai za Israel

MUKSININovember 18, 2024

Mamia ya raia nchini Canada wameandamana katika mji mkuu Ottawa na kutangaza himaya na uungaji mkono wao kwa wananchi wa…

China yaibainishia Marekani mistari yake minne myekundu ambayo haipasi kuvukwa
SWAHILI NEWS

China yaibainishia Marekani mistari yake minne myekundu ambayo haipasi kuvukwa

MUKSININovember 18, 2024

Rais Xi Jinping wa China ameweka wazi mistari myekundu minne ambayo amesema haipasi kuvukwa na Marekani ili kuwepo uhusiano wenye…

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani atoa mwito wa uchunguzi wa mauaji ya kimbari Gaza
SWAHILI NEWS

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani atoa mwito wa uchunguzi wa mauaji ya kimbari Gaza

MUKSININovember 18, 2024

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani ametoa mwito wa kufanyika uchunguzi wa jamii ya kimataifa kuhusu “mauaji ya halaiki” ya utawala…

Bin Salman aakhirisha kushiriki mkutano wa G20 kwa matatizo ya kiafya
SWAHILI NEWS

Bin Salman aakhirisha kushiriki mkutano wa G20 kwa matatizo ya kiafya

MUKSININovember 18, 2024

Shirika la Habari la Bloomberg limetangaza kuwa, Mwanamfalme wa Saudia Mohammed bin Salman ameghairi safari yake iliyokuwa imepangwa ya kushiriki…

Human Rights Watch yakiri kuhusika utawala wa Kizayuni wa Israel na jinai za kivita
SWAHILI NEWS

Human Rights Watch yakiri kuhusika utawala wa Kizayuni wa Israel na jinai za kivita

MUKSININovember 18, 2024

Katika ripoti yake ya hivi karibuni zaidi, shirika la kuteteta haki za binadamu la Human Rights Watch kwa mara nyingine…

Jumatatu, 18 Novemba, 2024
SWAHILI NEWS

Jumatatu, 18 Novemba, 2024

MUKSININovember 18, 2024

Leo ni Jumatatu tarehe 16 Jamadul-Awwal 1446 Hijria mwafaka na tarehe 18 Novemba 2024. Siku kama ya leo miaka 1165 iliyopita…

Msemaji wa Hizbullah auawa shahidi katika shambulio la kinyama la Israel
SWAHILI NEWS

Msemaji wa Hizbullah auawa shahidi katika shambulio la kinyama la Israel

MUKSININovember 17, 2024

Mohammad Afif, afisa wa habari wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon ameuawa shahidi katika shambulio la…

Maulamaa wa Kisunni Iran wawaandikia barua wenzao katika Ulimwengu wa Kiislamu kuhusu Vita vya Ghaza
SWAHILI NEWS

Maulamaa wa Kisunni Iran wawaandikia barua wenzao katika Ulimwengu wa Kiislamu kuhusu Vita vya Ghaza

MUKSININovember 17, 2024

Mamia ya Maulamaa mashuhuri wa Kisunni wa nchini Iran wametoa wito wa kuchukuliwa hatua za kivitendo na Maulamaa wa Ulimwengu…

Israel yafanya mauaji mengine ya halaiki Ghaza, yawaua shahidi Wapalestina wasiopungua 96
SWAHILI NEWS

Israel yafanya mauaji mengine ya halaiki Ghaza, yawaua shahidi Wapalestina wasiopungua 96

MUKSININovember 17, 2024

Wapalestina wasiopungua 96 wameuawa shahidi na wengine 60 wamejeruhiwa katika mashambulizi ya kinyama ya anga yaliyofanywa leo na jeshi la…

Katika muda wa siku moja, jeshi la Kizayuni lafanya mashambulio 145 nchini Lebanon
SWAHILI NEWS

Katika muda wa siku moja, jeshi la Kizayuni lafanya mashambulio 145 nchini Lebanon

MUKSININovember 17, 2024

Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limefanya mashambulizi 145 nchini Lebanon katika muda wa saa 24 zilizopita huku likishaidisha…

Kuongezeka kwa maandamano barani Ulaya dhidi ya jinai za Wazayuni
SWAHILI NEWS

Kuongezeka kwa maandamano barani Ulaya dhidi ya jinai za Wazayuni

MUKSININovember 17, 2024

Kuendelea kwa jinai za Wazayuni katika Ukanda wa Gaza na Lebanon kumepelekea kupanuka uungaji mkono kwa Palestina na chuki dhidi…

Mamilioni ya Wasenegal wameelekea vituo vya kupigia kura kuchagua Bunge jipya
SWAHILI NEWS

Mamilioni ya Wasenegal wameelekea vituo vya kupigia kura kuchagua Bunge jipya

MUKSININovember 17, 2024

Wasenegal leo wamepiga kura katika uchaguzi wa Bunge ambao utaamua kama rais mpya wa nchi hiyo Bassirou Diomaye Faye ataweza…

Mabinti wa Malcolm X waishtaki Polisi, FBI na CIA kwa kumuua baba yao ‘kwa kukusudia’
SWAHILI NEWS

Mabinti wa Malcolm X waishtaki Polisi, FBI na CIA kwa kumuua baba yao ‘kwa kukusudia’

MUKSININovember 17, 2024

Mabinti wa Malcolm X wamechukua hatua za kisheria za kulishtaki jeshi la Polisi la Marekani, Polisi ya Upelelezi (FBI) na…

Jenerali wa Nigeria: Magaidi, waasi barani Afrika wanatumia silaha za Israel
SWAHILI NEWS

Jenerali wa Nigeria: Magaidi, waasi barani Afrika wanatumia silaha za Israel

MUKSININovember 17, 2024

Jenerali mstaafu wa jeshi la Nigeria ambaye alikwenda katika nchi kadhaa za Afrika zikiwemo Mali na Liberia kwa ajili ya…

Euro-Med Human Rights Monitor: Israel inanyonga raia wa kaskazini mwa Gaza
SWAHILI NEWS

Euro-Med Human Rights Monitor: Israel inanyonga raia wa kaskazini mwa Gaza

MUKSININovember 17, 2024

Shirika la kutetea haki za binadamu la Euro-Med limesema kwamba limesajili makumi ya kesi za mauaji ya kukusudia na vitendo…

Makazi ya Netanyahu yarushiwa moto, inadhaniwa ni hujuma ya wapinzani wake wa ndani
SWAHILI NEWS

Makazi ya Netanyahu yarushiwa moto, inadhaniwa ni hujuma ya wapinzani wake wa ndani

MUKSININovember 17, 2024

Mapema usiku wa kuamkia leo, moto umerushwa katika makazi ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, huko Caesarea, tukio lililoelezwa…

Waandishi habari Sudan wanatangatanga, vita vimewalazimisha wengine kuacha kazi
SWAHILI NEWS

Waandishi habari Sudan wanatangatanga, vita vimewalazimisha wengine kuacha kazi

MUKSININovember 17, 2024

Baada ya vita vya zaidi ya miezi 18 nchini Sudan kati ya jeshi la taifa na Vikosi vya Msaada wa…

Araghchi: Wamagharibi wameonyesha nia ya kuanza tena mazungumzo ya nyuklia
SWAHILI NEWS

Araghchi: Wamagharibi wameonyesha nia ya kuanza tena mazungumzo ya nyuklia

MUKSININovember 17, 2024

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araqchi, amesema kuwa hivi sasa nchi za Ulaya zinaonyesha nia ya…

Waziri wa Ulinzi wa Iran akutana na mwenzake wa Syria
SWAHILI NEWS

Waziri wa Ulinzi wa Iran akutana na mwenzake wa Syria

MUKSININovember 17, 2024

Waziri wa Ulinzi wa Iran, Brigedia Jenerali Azizi Nasirzadeh, ambaye yuko ziarani nchini Syria, amekutana na na kufanya mazungumzo na…

Bunge la Yemen: Mashambulizi ya Israel dhidi ya Damascus ni jinai
SWAHILI NEWS

Bunge la Yemen: Mashambulizi ya Israel dhidi ya Damascus ni jinai

MUKSININovember 17, 2024

Bunge la Yemen limelaani mashambulizi ya utawala wa Kizayuni katika mji mkuu wa Syria, Damascus na kuitaja hujuma hiyo ya…

Sababu za kusalia imara Muqawama-2
SWAHILI NEWS

Sababu za kusalia imara Muqawama-2

MUKSININovember 17, 2024

Hamjambo na karibuni kuwa nasi katika sehemu nyingine ya kipindi chetu cha leo ambacho kinaendelea kuzungumzia sababu za kuendelea kusimama…

Baghaei: Mwakilishi wa Iran katika Umoja wa Mataifa hajakutana na Elon Musk
SWAHILI NEWS

Baghaei: Mwakilishi wa Iran katika Umoja wa Mataifa hajakutana na Elon Musk

MUKSININovember 17, 2024

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Ismail Baghaei amekanusha habari za kufanyika mkutano kati ya mwakilishi wa…

Ripota wa Umoja wa Mataifa aishutumu Uingereza kwa kukana mauaji ya kimbari huko Gaza
SWAHILI NEWS

Ripota wa Umoja wa Mataifa aishutumu Uingereza kwa kukana mauaji ya kimbari huko Gaza

MUKSININovember 17, 2024

Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya haki za binadamu katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu amekosoa…

Mwanahistoria wa Israel: Sasa ni wakati wa vikwazo vya kimataifa dhidi ya Tel Aviv
SWAHILI NEWS

Mwanahistoria wa Israel: Sasa ni wakati wa vikwazo vya kimataifa dhidi ya Tel Aviv

MUKSININovember 17, 2024

Katika mahojiano na gazeti la El Pais la Uhispania, mwanahistoria wa Israel, Ilan PappĂ© amesema kuwa “mauaji ya kimbari ya…

Hizbullah yashambulia maeneo ya kistratijia ya utawala wa Kizayuni wa Israel
SWAHILI NEWS

Hizbullah yashambulia maeneo ya kistratijia ya utawala wa Kizayuni wa Israel

MUKSININovember 17, 2024

Kituo cha Taarifa za Vita cha Hizbullah ya Lebanon kimetangaza kuwa wapiganaji wa harakati hiyo wamefanya mashambulizi ya makombora katika…

‘Nelson Mandela Mwarabu’ aachiwa huru baada ya kufungwa jela miaka 40 nchini Ufaransa
SWAHILI NEWS

‘Nelson Mandela Mwarabu’ aachiwa huru baada ya kufungwa jela miaka 40 nchini Ufaransa

MUKSININovember 17, 2024

Mahakama ya Ufaransa imeamuru kuachiliwa kwa mwanamapambano wa Lebanon, Georges Ibrahim Abdallah, ambaye alikamatwa miaka 40 iliyopita kutokana na mauaji…

Indhari ya Iran kuhusu mchezo wa kisiasa wa Troika ya Ulaya
SWAHILI NEWS

Indhari ya Iran kuhusu mchezo wa kisiasa wa Troika ya Ulaya

MUKSININovember 17, 2024

Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika mazungumzo na Rafael Grossi Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa…

Jumapili, 17 Novemba, 2024
SWAHILI NEWS

Jumapili, 17 Novemba, 2024

MUKSININovember 17, 2024

Leo ni Jumapili 15 Mfunguo Nane Jamad al-Awwal 1446 Hijria mwafaka na 17 Novemba 2024 Miladia. Siku kama ya leo…

Wapalestina wengine 18 wauawa shahidi Gaza
SWAHILI NEWS

Wapalestina wengine 18 wauawa shahidi Gaza

MUKSININovember 16, 2024

Wapalestina wengine 18 wameuawa shahidi katika jinai mpya iliyotekelezwa na jeshi la utawala haramu wa Israel katika Ukanda wa Gaza.…

Wananchi wa Gabon washiriki kura ya maoni ya marekebisho ya katiba
SWAHILI NEWS

Wananchi wa Gabon washiriki kura ya maoni ya marekebisho ya katiba

MUKSININovember 16, 2024

Raia wa Gabon wamepiga kura ya maoni ya kuidhinisha katiba mpya katika hatua ambayo inaonekana kuwa muhimu kwa ajili ya…

Qatar yaonya kuhusu kupigwa marufuku UNRWA
SWAHILI NEWS

Qatar yaonya kuhusu kupigwa marufuku UNRWA

MUKSININovember 16, 2024

Serikali ya Qatar imeonya kuhusiana na hatua ya kupigwa marukufu shughuli za Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi…

Iran yalitaka Baraza la Usalama kuchukua hatua za kukomesha jinai za Israel
SWAHILI NEWS

Iran yalitaka Baraza la Usalama kuchukua hatua za kukomesha jinai za Israel

MUKSININovember 16, 2024

Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ametoa mwito wa kuchukuliwa hatua…

Posts navigation

Older posts
Newer posts
Copyright © 2025 MALUMBANO DUNIANI | Link News by Ascendoor | Powered by WordPress.
  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us