Skip to content

MALUMBANO DUNIANI

Mizozo ya kijeshi duniani

  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us

Category: SWAHILI NEWS

SWAHILI NEWS

Marais wa Marekani waliopokea zawadi za kifahari

MUKSINIMay 18, 2025

Wapinzani na wafuasi wake wa Trump, wote wanaungana kupinga zawadi ya ndege ya Qatar. Lakini usichojua ni kwamba, utawala wa…

SWAHILI NEWS

Hamas kuwaachilia baadhi ya mateka katika mazungumzo mapya

MUKSINIMay 18, 2025

Duru mpya ya mazungumzo imefanyika huko Doha baada ya Israel kufanya mashambulizi ya anga yaliouwa mamia ya watu.

SWAHILI NEWS

Kwanini Simba SC imefungwa Morocco lakini haijachapwa fainali CAF?

MUKSINIMay 18, 2025

Simba wametoka Berkane wakiwa wamefungwa 2-0, lakini hawajachapwa. Walianguka bila kupasuka, inasubiriwa kuona kama wanaweza kupindua meza mchezo wa pili…

SWAHILI NEWS

Je, kula haraka haraka ni mbaya kwa afya yako?

MUKSINIMay 17, 2025

“Kula kwa uangalifu mara nyingi husababisha kula polepole zaidi … kwa kawaida hupungua, unatulia ili kufahamu kile unachokula na matokeo…

SWAHILI NEWS

Je, ushindani wa silaha wa Saudia dhidi ya Iran unaingia katika awamu mpya?

MUKSINIMay 17, 2025

Marekani na Saudi Arabia zimetia saini mkataba wa kihistoria wa ushirikiano wa kiuchumi na kijeshi wenye thamani ya mamia ya…

SWAHILI NEWS

Watu tisa wauawa katika shambulizi la ndege zisizo na rubani la Urusi nchini Ukraine

MUKSINIMay 17, 2025

Watu tisa wameuawa katika shambulizi la ndege zisizo na rubani za Urusi dhidi ya basi la abiria kaskazini-mashariki mwa Ukraine,…

SWAHILI NEWS

Tetesi za Soka Ulaya Jumamosi: Liverpool, Barca, Madrid zamgombania Wharton

MUKSINIMay 17, 2025

Liverpool wanapambana na vigogo wa Hispania kumsajili Adam Wharton, lakini wanaweza kumpoteza Harvey Elliott kwa Wolves, huku mawakala wa mshambuliaji…

SWAHILI NEWS

Watoto wa Gaza walio na utapia mlo walivyojeruhiwa katika shambulizi la Israel

MUKSINIMay 16, 2025

Israel inasema iliwalenga wapiganaji wakuu wa Hamas waliojificha miongoni mwa raia katika hospitali ya Khan Younis.

SWAHILI NEWS

‘Rafiki yangu Bob – Papa mpya’

MUKSINIMay 16, 2025

Kwa Padri Robert Karanja Ireri, itachukua muda kuzoea kumuita rafiki yake Robert Prevost kwa jina lake jipya, Papa Leo XIV.

SWAHILI NEWS

Wabunge wa Ulaya walaani kukamatwa kwa Lissu, wataka aachiliwe

MUKSINIMay 16, 2025

Wabunge wa Ulaya wameitaka Serikali ya Tanzania kumwachilia mara moja Lissu na bila masharti yoyote.

SWAHILI NEWS

Wanamichezo 10 wanaolipwa fedha nyingi zaidi duniani 2025 – Forbes

MUKSINIMay 16, 2025

Cristiano Ronaldo ameongoza orodha ya Forbes ya wanariadha wanaolipwa fedha nyingi zaidi kwa mwaka wa tatu mfululizo, huku nyota wa…

SWAHILI NEWS

Ibrahim Traore: Habari potofu zinazotumiwa kumtukuza kiongozi huyu wa kijeshi

MUKSINIMay 16, 2025

Mamia ya video zinazotolewa na AI zikimuonesha Bw TraorĂ© kama shujaa wa Afrika nzima, nyingi zikiwa na taarifa za uongo,…

SWAHILI NEWS

Simba SC kwenye dhamira ya kuvunja ngome ya Berkane Afrika

MUKSINIMay 16, 2025

Kwa mara ya kwanza kwa miaka 32 Simba inacheza fainali ya Kombe la Shirikisho la CAF, ikiwa ni fainali ya…

SWAHILI NEWS

Amani ya Ukraine iko kwa Trump na Putin yasema Marekani

MUKSINIMay 16, 2025

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani amesema hana matarajio makubwa na mazungumzo ya amani ya Ukraine-Russia.

SWAHILI NEWS

‘Niliwekewa dawa ya usingizi na kubakwa na mume wangu kwa miaka kadhaa’

MUKSINIMay 15, 2025

Gumzo la kawaida liligeuka pale mume wake alikiri kwamba amekuwa akimtilia dawa ya usingizi kwenye chai na kumbaka.

SWAHILI NEWS

Putin hatahudhuria mazungumzo ya amani ya ana kwa ana Uturuki

MUKSINIMay 15, 2025

Zelensky atakuwa katika mji mkuu wa Uturuki, Ankara, leo Alhamisi kukutana na Rais Recep Tayyip Erdogan, ambapo alisema angekutana na…

SWAHILI NEWS

Jinsi ya kutunza jokofu lako lisiwe mahali pa bakteria kuzaliana

MUKSINIMay 14, 2025

Tunategemea jokofu kutunza chakula kisiharibike, lakini ikiwa halijoto si sawa, inaweza kufanya kinyume: kuwa mazalia ya bakteria.

SWAHILI NEWS

Wahouthi wa Yemen waishangaza Marekani kwa kudungua droni zake saba

MUKSINIMay 14, 2025

Kulingana na maafisa wa ulinzi, ndege tatu zisizo na rubani zilidunguliwa wiki iliyopita, na kusema kuwa Houthis wamekuwa bora zaidi…

SWAHILI NEWS

Kasongo, Zakayo, El Chapo na Naibu Yesu – kwa nini rais wa Kenya ana majina mengi ya utani?

MUKSINIMay 14, 2025

Kabla ya kuchaguliwa kuwa rais mwaka wa 2022, Ruto alivutia majina yaliyoimarisha sifa yake kama mtu wa watu.

SWAHILI NEWS

Zelensky aahidi ‘kufanya kila kinachowezekana’ kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na Putin

MUKSINIMay 14, 2025

Urusi bado haijasema ni nani itatuma mjini Istanbul na haijatoa kauli yake ya mwisho.

SWAHILI NEWS

Mambo sita kuuwelewa msimamo wa Papa mpya

MUKSINIMay 13, 2025

Papa Leo alichaguliwa kuwa kiongozi mpya wa Kanisa Katoliki Alhamisi kufuatia kifo cha mtangulizi wake, Papa Francis, katika kongamano la…

SWAHILI NEWS

Kocha mpya Brazil: Je, Ancelotti atarudisha utukufu wa Brazil Kombe la Dunia?

MUKSINIMay 13, 2025

“Ancelotti ni chaguo la Brazil kwa sababu ya mafanikio, akishinda katika nchi tano,” anasema mchambuzi wa soka wa Amerika Kusini…

SWAHILI NEWS

Mimea 7 yenye sumu kali zaidi duniani

MUKSINIMay 13, 2025

Ingawa mimea mingi duniani ina faida kubwa kiafya na kiikolojia, kuna baadhi ambazo ni hatari sana kwa maisha ya binadamu…

SWAHILI NEWS

Urusi ilidungua ndege ya Malaysia Airlines, MH17 – shirika la UN

MUKSINIMay 13, 2025

Watu wote 298 waliokuwemo kwenye ndege ya Malaysia Airlines walikufa baada ya kushambuliwa kwa kombora lililotengenezwa na Urusi.

SWAHILI NEWS

Kwanini Trump anazuru tena mataifa ya Ghuba?

MUKSINIMay 12, 2025

Rais wa Marekani alipotangaza mpango wake wa kuzuru eneo la Ghuba, aliweka wazi kwamba kipaumbele chake ni kuvutia uwekezaji kutoka…

SWAHILI NEWS

Vita vya kwanza vya ndege zisizo na rubani duniani, sura mpya katika mzozo wa India na Pakistan

MUKSINIMay 12, 2025

Alhamisi iliyopita, India iliishutumu Pakistan kwa kurusha wimbi la ndege zisizo na rubani na makombora katika kambi tatu za kijeshi…

SWAHILI NEWS

Hatimaye Marekani na China zazungumza, Kwa nini sasa?

MUKSINIMay 12, 2025

Maafisa wakuu wa biashara kutoka pande zote mbili walikutana siku ya Jumamosi katika mkutano wa kwanza wa ngazi ya juu…

SWAHILI NEWS

Hamas kumwaachilia mateka mwenye uraia wa Marekani na Israel katika juhudi za kukomesha mapigano

MUKSINIMay 12, 2025

Edan Alexander, 21, anaaminika kuwa mateka wa mwisho mwenye uraia wa Marekani huko Gaza.

SWAHILI NEWS

Ifahamu mimea mitano inayolindwa zaidi duniani

MUKSINIMay 12, 2025

Kwa mujibu wa Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO), mimea ni asilimia 80 ya chakula cha…

SWAHILI NEWS

Tetesi za soka Ulaya Jumatatu: Leroy Sane njia panda Bayern

MUKSINIMay 12, 2025

Bayern Munich hawana mpango wa kuongeza ofa yao kwa Leroy Sane, Napoli wako kimya kuhusu uhamisho wa Kevin de Bruyne…

SWAHILI NEWS

Zaidi ya watu 100 wafa kutokana na mafuriko mashariki mwa DRC, afisa asema

MUKSINIMay 11, 2025

Zaidi ya watu 100 wamekufa baada ya mafuriko katika kijiji karibu na mwambao wa Ziwa Tanganyika mashariki mwa Jamhuri ya…

SWAHILI NEWS

Akina mama wanaoomboleza walalama dhidi ya wasafirishaji haramu wa wahamiaji

MUKSINIMay 11, 2025

“Siwezi kusema napenda pesa ninazopata kwa sababu kama mama, siwezi kufurahia ninapoona maafa yanayowakumba watoto wa wanawake wengine,” msafirishaji haramu…

SWAHILI NEWS

Kwanini Papa huvaa viatu vyekundu? na maswali mengine ambayo unaona aibu kuuliza

MUKSINIMay 11, 2025

Historia ya mapapa wa mwanzo ni chanzo cha mjadala mkubwa wa kitaaluma, na haijulikani ni wangapi walikuwa, kama Mtakatifu Petro,…

SWAHILI NEWS

Je, wajua kwanini Tembo wanachukia nyuki?

MUKSINIMay 10, 2025

Wanawake huathirika kwa kiasi kikubwa zaidi na migogoro kati ya binadamu na tembo, anaeleza King. Mara nyingi wao hufanya kazi…

SWAHILI NEWS

Pakistan yaanza mashambulizi ya kulipiza kisasi dhidi ya India – Jeshi

MUKSINIMay 10, 2025

India haijatoa maoni juu ya madai ya Pakistan kwamba kambi zake za jeshi zimeshambuliwa na makombora.

SWAHILI NEWS

Changamoto 5 zinazomsubiri Papa mpya

MUKSINIMay 10, 2025

Kuchaguliwa kwa Papa Leo XIV kumeibua shangwe na nderemo miongoni mwa waumini wa Kikatoliki. Lakini ni changamoto gani zinazomkodolea macho…

SWAHILI NEWS

Dira Ya Dunia

MUKSINIMay 9, 2025

Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

SWAHILI NEWS

Papa Leo XIV aongoza misa ya kwanza kama Papa akisema: “Kanisa linaweza kusaidia dunia”

MUKSINIMay 9, 2025

Papa Leo XIV ameongoza misa katika Kanisa la Sistine, ikiwa ni mara ya kwanza kufanya hivyo kama kiongozi Mkuu wa…

SWAHILI NEWS

Fahamu mambo matano ya kipekee kuhusu Papa mpya, Leo XIV

MUKSINIMay 9, 2025

Papa wa kwanza kutoka Marekani, mwenye uzoefu wa kimataifa na moyo wa umisionari

SWAHILI NEWS

Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa: Napoli inataka kumsajili De Bruyne

MUKSINIMay 9, 2025

Napoli mbioni kumsaka Kevin de Bruyne, klabu ya Italia inamnyatia Jack Grealish na Marcus Rashford ana hamu ya kuhamia Barcelona.

SWAHILI NEWS

Robert Prevost ni nani? Mfahamu kwa undani Papa mpya Leo XIV

MUKSINIMay 9, 2025

Robert Prevost, mwenye umri wa miaka 69, atakuwa kiongozi wa 267 wa Kanisa Katoliki duniani

SWAHILI NEWS

Papa Leo XIV afungua ukurasa mpya wa Kanisa Katoliki

MUKSINIMay 9, 2025

Umati wa watu wenye furaha walikusanyika katika uwanja wa Mtakatifu Petro kushuhudia uchaguzi wa kihistoria wa Papa wa kwanza wa…

SWAHILI NEWS

Amka Na BBC

MUKSINIMay 9, 2025

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

SWAHILI NEWS

Madaktari wanaotambua miili kutoka makaburi ya halaiki Syria

MUKSINIMay 9, 2025

Kupanga mifupa ni hatua ya mwanzo katika mchakato mrefu wa kutafuta haki dhidi ya uhalifu wa kivita uliofanyika nchini Syria.

SWAHILI NEWS

Leo XIV kutoka Marekani ndiye Papa mpya

MUKSINIMay 8, 2025

Robert Kardinali Prevost ana umri wa miaka 69 na kuchaguliwa kwake kunafuatia kifo cha Papa Francis, aliyefariki akiwa na umri…

SWAHILI NEWS

Bunge la Tanzania lapinga vikali maazimio ya bunge la Ulaya

MUKSINIMay 8, 2025

Bunge la Ulaya limetoa maazimio 6 kwa ajili ya Serikali ya Tanzania, ikiwemo kuachiwa huru kwa Kiongozi wa upinzani nchini…

SWAHILI NEWS

India inasema imeshambulia mfumo wa ulinzi wa anga wa Pakistan

MUKSINIMay 8, 2025

Pakistan imesema ilishambulia droni 25 za India wakati mvutano unaendelea kuongezeka baada ya shambulizi la Jumatano.

SWAHILI NEWS

Gregory X: Mfahamu Papa huyu ambaye uchaguzi wake ulichukua miaka mitatu

MUKSINIMay 8, 2025

Kongamano litakalomchagua mrithi wa Papa Francis lilianzisha sheria zake za msingi karne nyingi zilizopita.

SWAHILI NEWS

Je, nta ya sikio unaweza kufichua maradhi uliyonayo?

MUKSINIMay 8, 2025

Nta ni mchanganyiko wa nywele, ngozi iliyokufa na uchafu mwingine. Mara baada ya kuundwa kwenye mfereji wa sikio, husafirishwa kutoka…

SWAHILI NEWS

India-Pakistan: Fahamu nguvu za kijeshi za ya mataifa haya yaliyo na mzozo

MUKSINIMay 8, 2025

Mvutano huu ni sehemu ya mvutano wa muda mrefu ambao umegharimu maisha ya maelfu ya watu. Mizizi wa mvutano huu…

Posts navigation

Older posts
Copyright © 2025 MALUMBANO DUNIANI | Link News by Ascendoor | Powered by WordPress.
  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us