Tuna taarifa Rwanda inapanga kutuvamia: Rais wa Burundi Évariste Ndayishimiye
Rais wa Burundi Évariste Ndayishimiye ameliambia shirika la habari la Uingereza BBC kwamba amepata taarifa za kijasusi za kuaminika kwamba…
Mizozo ya kijeshi duniani
Rais wa Burundi Évariste Ndayishimiye ameliambia shirika la habari la Uingereza BBC kwamba amepata taarifa za kijasusi za kuaminika kwamba…
Rais wa zamani wa shirikisho la soka duniani FIFA, Sepp Blatter na aliyekuwa rais wa shirikisho la soka la Ulaya,…
Mkutano mwingine kati ya timu za Ukraine na Marekani kuhusu usitishwaji vita kati ya Kyiv na Moscow unaendelea mjini Riyadh,…
Ikulu ya Marekani imethibitisha Jumatatu, Machi 24, kwamba mwandishi wa habari wa Marekani alijumuishwa kimakosa katika kikundi cha mazungumzo ya…
Nchini Senegal, Shirika la Fedha la Kimataifa linadai kuwa kati ya mwaka 2019 na 2024, deni la takriban dola bilioni…
Kukamatwa na kufungwa kwa Meya wa Istanbul Ekrem Imamoğlu kumeendelea kuhamasisha umati wa watu tangu Machi 19. Wafuasi kadhaa wa…
Sudan Kusini iko ukingoni mwa vita vingine vya wenyewe kwa wenyewe, afisa wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa…
Shirika la Mpango wa Chakula Duniani limesema siku ya Jumatatu linahitaji dola milioni 19.8 kwa dharura kulisha wakimbizi 120,000 ambao…
Umoja wa Mataifa umeonya kwamba, kupunguzwa kwa kiwango cha misaada inayoingia Gaza, kutachangia idadi kubwa ya vifo miongoni mwa watoto…
Mpango wa serikali ya DRC chini ya rais wa DRC Felix Tshisekedi, kuingia kwenye mkataba na nchi ya Marekani kuhusu…
Majadiliano ya kitaifa nchini DRC yalizinduliwa Jumatatu ya wiki hii jijini Kinshasa, yakilenga kupata mwafaka kuelekea kuundwa kwa serikali ya…
Katika kile kinaonekana ni jaribio jingine la kutupilia mbali madai ya Merekani, rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, amesema tuhuma…
Waandishi wa habari kumi wa Uturuki, akiwemo mpiga picha kutoka shirika la habari la AFP, wamekamatwa siku ya Jumatatu, Machi…
Nchi ya Angola, imetangaza kujiondoa rasmi kama mpatanishi wa mzozo wa Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, kupitia kiongozi…
Umoja wa Mataifa na washirika wake wametoa wito Jumatatu, Machi 24, wa karibu dola bilioni 1 kutoa msaada muhimu kwa…
Meya wa upinzani wa Istanbul Ekrem Imamoglu, aliyesimamishwa kazi na kufungwa Jumapili, Machi 23, ameteuliwa rasmi na chama chake kuwa…
Rais wa Msumbiji Daniel Chapo amekutana na kiongozi wa upinzani Venancio Mondlane kwa mazungumzo ya kujaribu kutuliza wasiwasi kwenye taifa…
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu siku ya Jumatatu, Machi 24, amemshutumu mkuu wa Shin Bet, ambaye kutimuliwa kwake Ijumaa…
Ndege iliyokuwa imewabeba wahamiaji 199 waliofukuzwa nchini Marekani imewasili nchini Venezuela. Imechapishwa: 24/03/2025 – 09:48 Dakika 1 Matangazo ya kibiashara…
Urusi na Marekani zimeanza mazungumzo nchini Saudi Arabia siku ya Jumatatu kujadili uwezekano wa kupatikana kwa usitishwaji vita nchini Ukraine,…
Robo tatu ya wasafiri wa baharini wa Marekani wanaopitia Bahari Nyekundu sasa wanalazimika kuzunguka eneo hilo na kupitia kusini mwa…
Shambulizi la anga la Israeli limepiga Hospitali ya Nasser huko Khan Younis, kusini mwa ardhi ya Palestina, Jumapili, Machi 23,…
Wakati huu, Urusi imechagua timu ya mazungumzo yenye wasifu tofauti sana na mara ya kwanza. Ujumbe uliopita uliongozwa na Sergei…
Mahakama ya Kikatiba ya Korea Kusini siku Jumatatu, Machi 24, imetupilia mbali ombi la kutimuliwa kwa Waziri Mkuu Han Duck-soo,…
Serikali ya Kinshasa, hivi leo inatarajiwa kuzindua rasmi mazungumzo ya kitaifa kwa lengo la kuunda Serikali ya umoja, majadiliano haya…
Waziri wa ulinzi wa Ukraine, Rustem Umerov, amesema mazungumzo ya kutafuta amani kati ya ujumbe wa Marekani na Ukraine jijini…
Mkuu wa jeshi nchini Uganda, Muhoozi Kainerugaba, amedai jeshi la Uganda, UPDF au waasi wa M23 watawasili katika mji wa…
Wakuu wa nchi toka jumuiya ya Afrika Mashariki na ile ya maendeleo ya kusini mwa Afrika, SADC, watakutana hivi leo…
Nchini Israeli, mvutano kati ya serikali na mahakama unaendelea. Kufuatia kufutwa kazi kwa mkuu wa idara ya upelelezi ya ndani,…
Mazungumzo kati ya Ukraine na Marekani kuhusu uwezekano wa kusitisha vita na Urusi yatafanyika leo Jumapili jioni, Machi 23, mjini…
Nchini Uturuki, jaji ameamuru siku ya Jumapili Machi 23, 2025 kufungwa kwa Ekrem Imamoğlu, mpinzani mkuu wa Rais Recep Tayyip…
Nchini Cameroon, mjadala bado unaendelea kuhusu swali la iwapo Maurice Kamto atakuwa mgombea au la katika uchaguzi ujao wa urais.…
Usambazaji wa jumbe za unyanyapaa, udhalilishaji na vitisho, katikati ya hali ya migawanyiko ya kisiasa na kikabila kupitia vyombo vya…
Kufuatia kutekwa tena kwa ikulu ya rais mjini Khartoum, jeshi limeendelea kusonga mbele katika mji mkuu siku ya Jumamosi, Machi…
Wapiganaji wawili kutoka Movement for the Salvation of Azawad (MSA, wanaounga mkono utawala wa kijeshi) wameuawa siku ya Jumamosi, Machi…
Nchini Sudani Kusini, je, mzozo ulioanza katikati ya mwezi wa Februari huko Upper Nile, eneo la kaskazini-mashariki mwa nchi hiyo,…
Katika kisiwa cha Ufaransa cha Réunion, ugojwa wa chikungunya umesababisha vifo vya kwanza: watu wawili wenye umri wa miaka 86…
Wapiganaji wa vuguvugu la AFC/M23 wametangaza leo Jumamosi, Machi 22, kwamba watajiondoa kutoka Walikale-Centre, katika mkoa wa Kivu Kaskazini, nchini…
Israel imesema wanajeshi wake, wametekeleza mashambulizi ya angaa Kusini mwa Lebanon, baada ya wapiganaji wa Hezbollah kuwashambulia kwa makombora. Imechapishwa:…
Nchini Ethiopia, jeshi limesema limewauwa waasi zaidi ya 300 kutoka kundi linalojiita FANO, washirika wa zamani wa wapiganaji kwenye jimbo…
Wakuu wa nchi kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki na SADC watakutana tena wiki ijayo, kujadili hali inavyoendelea Mashariki mwa Jamhuri…
Papa Francis atatoa salamu na baraka kwa sala ya kila wiki ya Malaika wa Bwana kutoka kwenye dirisha la Hospitali…
Mawaziri wa mambo ya nje wa Japani, Korea Kusini na China wamekubaliana siku ya Jumamosi, Machi 22, kuimarisha ushirikiano wao,…
Baada ya kuzuru Kinshasa, Mbunge wa Marekani Dk. Ronny Jackson ameendelea na ziara yake siku za hivi karibuni katika mji…
Umoja wa Mataifa umesema vurugu zilizoibuka mashariki mwa Kongo zimewalazimu katika kipindi cha mwezi mmoja, watu 100,000 kutoroka makazi yao…
James Boasberg ni jaji wa shirikisho ambaye alizuia utawala wa Trump kuwafukuza wahamiaji kwenda El Salvador. James Boasberg, ambaye amesema…
Raia 44 waliuawa siku ya Ijumaa, Machi 21, katika shambulio jipya la wanajihadi kusini magharibi mwa Niger, Wizara ya Mambo…
Gwiji wa uzito wa juu kutoka Marekani George Foreman amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 76, familia yake imetangaza…
Takriban miaka miwili baada ya kutekwa kwake na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF), ikulu ya rais mjini Khartoum imerejea…
Wakaazi wa Walikale-centre wameanza kurejea hatua kwa hatua katika mji huo, ambao uko chini ya udhibiti wa waasi wa M23…