Skip to content

MALUMBANO DUNIANI

Mizozo ya kijeshi duniani

  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us

Category: RFI SWAHILI

Senegal: Ziara ya Ousmane Sonko nchini Burkina Faso yakosolewa vikali
RFI SWAHILI

Senegal: Ziara ya Ousmane Sonko nchini Burkina Faso yakosolewa vikali

MUKSINIMay 19, 2025

Kufuatia ziara ya kirafiki na kikazi ya Waziri Mkuu wa Senegal Ousmane Sonko nchini Burkina Faso siku ya Ijumaa tarehe…

Rabat: Mradi wa bomba la gesi la Afrika-Atlantic kati ya Morocco na Nigeria unaendelea
RFI SWAHILI

Rabat: Mradi wa bomba la gesi la Afrika-Atlantic kati ya Morocco na Nigeria unaendelea

MUKSINIMay 19, 2025

Kulingana na Waziri wa Mpito wa Nishati wa Morocco Leila Benali, mradi wa bomba la gesi barani Afrika na Atlantiki…

Martha Karua: Kesi inayomkabili Tundu Lissu inachochewa kisiasa
RFI SWAHILI

Martha Karua: Kesi inayomkabili Tundu Lissu inachochewa kisiasa

MUKSINIMay 19, 2025

Kiongozi wa upinzani na wakili nchini Kenya Martha Karua amekataliwa kuingia Tanzania siku ya Jumapili, Mei 18, 2025. Mwanasiasa huyo…

Zaidi ya watu 13 wameuawa katika shambulio la kujitolea mhanga
RFI SWAHILI

Zaidi ya watu 13 wameuawa katika shambulio la kujitolea mhanga

MUKSINIMay 19, 2025

Ziadi ya watu 13 wameuawa baada ya mlipuaji wa kujitolea mhanga kulenga shughuli ya kuwasajili kurutu wa jeshi nchini Somalia.…

Muungano wa nchi za Kiarabu wapinga uwepo wa serikali mbadala Sudan
RFI SWAHILI

Muungano wa nchi za Kiarabu wapinga uwepo wa serikali mbadala Sudan

MUKSINIMay 19, 2025

Muungano wa nchi za Kiarabu, umesema jaribio lolote la kuanzisha serikali mbadala nchini Sudan halikubaliki na kwamba njia pekee ni…

DRC: Jeshi linamshutumu Thomas Lubanga kwa kupanga mashambulizi mapya Ituri
RFI SWAHILI

DRC: Jeshi linamshutumu Thomas Lubanga kwa kupanga mashambulizi mapya Ituri

MUKSINIMay 19, 2025

Mapigano yamezuka asubuhi ya Jumapili, Mei 18, karibu na Nyamamba, mji wa mwambao wa Ziwa Albert, yapata kilomita sitini kutoka…

Waziri Mkuu wa Tripoli atoa wito kwa makundi yenye silaha kuungana na serikali
RFI SWAHILI

Waziri Mkuu wa Tripoli atoa wito kwa makundi yenye silaha kuungana na serikali

MUKSINIMay 18, 2025

Waziri Mkuu wa Libya anayeungwa mkono na Umoja wa Mataifa siku ya Jumamosi ametoa wito kwa makundi yenye silaha kujihusisha…

DRC: Zaidi ya wagonjwa 800 wa kipindupindu warekodiwa tangu mwanzoni mwa mwaka Kalemie
RFI SWAHILI

DRC: Zaidi ya wagonjwa 800 wa kipindupindu warekodiwa tangu mwanzoni mwa mwaka Kalemie

MUKSINIMay 18, 2025

Eneo la afya la Kalemie katika mkoa wa Tanganyika linakabiliwa na mlipuko wa kipindupindu. Tangu kuanza kwa mwaka huu, zaidi…

Poland yafanya uchaguzi wa rais, chini ya mtazamo wa Ulaya
RFI SWAHILI

Poland yafanya uchaguzi wa rais, chini ya mtazamo wa Ulaya

MUKSINIMay 18, 2025

Raia wa Poland wanapiga kura katika duru ya kwanza ya uchaguzi wa rais siku ya Jumapili, kura ambayo inaonekana kuwa…

Uchaguzi wa urais nchini Romania: Wapiga kura wapiga kura kwa uchaguzi ambao umekumbwa na utata
RFI SWAHILI

Uchaguzi wa urais nchini Romania: Wapiga kura wapiga kura kwa uchaguzi ambao umekumbwa na utata

MUKSINIMay 18, 2025

Raia wa Romania wanapiga kura kmchaguwa rais wao Jumapili hii, Mei 18. Ni lazima wachague kati ya mgombea wa siasa…

Watu wanaoshukuwa kuwa Wanyarwanda wakamatwa na kurejeshwa Rwanda
RFI SWAHILI

Watu wanaoshukuwa kuwa Wanyarwanda wakamatwa na kurejeshwa Rwanda

MUKSINIMay 18, 2025

Wapiganaji wenye silaha kutoka kundi la M23, ambalo limechukua udhibiti wa Goma, mji muhimu mashariki mwa DRC, wamewafukuza maelfu ya…

Gaza: Makumi ya watu wauawa katika mashambulizi ya Israeli
RFI SWAHILI

Gaza: Makumi ya watu wauawa katika mashambulizi ya Israeli

MUKSINIMay 18, 2025

Wakati mazungumzo huko Doha yakiwa yamekwama, ingawa yanaendelea chini ya shinikizo kutoka kwa wapatanishi, Israeli inatishia kuendeleza operesheni yake ya…

Mamlaka ya Ukraine yaripoti shambulio la ndege zisizo na rubani la Urusi
RFI SWAHILI

Mamlaka ya Ukraine yaripoti shambulio la ndege zisizo na rubani la Urusi

MUKSINIMay 18, 2025

Urusi imefanya shambulio la ndege zisizo na rubani katika mikoa kadhaa ya Ukraine, ukiwemo mji mkuu, siku ya Jumamosi usiku.…

Zaidi ya wahamiaji 270 waokolewa kwenye pwani ya Tunisia na meli ya “Ocean Viking”
RFI SWAHILI

Zaidi ya wahamiaji 270 waokolewa kwenye pwani ya Tunisia na meli ya “Ocean Viking”

MUKSINIMay 18, 2025

Zaidi ya wahamiaji 270 wameokolewa Jumamosi, Mei 17, 2025 katika Bahari ya Mediterania na meli ya Ocean Viking. Meli hiyo…

Madagascar: Mradi wa kituo cha kuzalisha umeme cha Sahofika hatimaye wazinduliwa upya
RFI SWAHILI

Madagascar: Mradi wa kituo cha kuzalisha umeme cha Sahofika hatimaye wazinduliwa upya

MUKSINIMay 18, 2025

Nchini Madagascar, hatua mpya imepigwa kuelekea ujenzi wa kituo kikubwa zaidi cha kuzalisha umeme nchini humo. Wiki hii, Serikali imetangaza…

Cameroon: Paul Biya atumia sana mitandao ya kijamii miezi mitano kabla ya uchaguzi wa Urais
RFI SWAHILI

Cameroon: Paul Biya atumia sana mitandao ya kijamii miezi mitano kabla ya uchaguzi wa Urais

MUKSINIMay 18, 2025

Kwa wiki kadhaa sasa, mkuu wa nchi wa Cameroon amekuwa akijieleza kila siku kupitia mitandao ya kijamii ya X na…

Uhamiaji yawazuia wanasheria wanaohudhuria kesi ya Tundu Lissu kuingia Tanzania
RFI SWAHILI

Uhamiaji yawazuia wanasheria wanaohudhuria kesi ya Tundu Lissu kuingia Tanzania

MUKSINIMay 18, 2025

Mwanasheria nguli kwenye ukanda wa Afrika Mashariki ambaye pia ni mwanasiasa kutoka Kenya, Martha Karua, sambamba na wanaharakati na wanasheria…

Ukraine: Shambulio la Urusi kwenye basi dogo lasababisha vifo vya watu tisa na wanne kujeruhiwa
RFI SWAHILI

Ukraine: Shambulio la Urusi kwenye basi dogo lasababisha vifo vya watu tisa na wanne kujeruhiwa

MUKSINIMay 17, 2025

Shambulio la Urusi dhidi ya basi dogo lililokuwa limebeba raia kaskazini mwa Ukraine limesababisha vifo vya watu tisa na wanne…

Mkuu wa teknolojia wa Ulaya anatoa wito kwa Marekani kwa ushirikiano zaidi
RFI SWAHILI

Mkuu wa teknolojia wa Ulaya anatoa wito kwa Marekani kwa ushirikiano zaidi

MUKSINIMay 17, 2025

Henna Virkkunen, kamishna wa sera za kidijitali wa Umoja wa Ulaya, ametoa wito siku ya Ijumaa kuwepo kwa ushirikiano wa…

Mazungumzo kati ya Ukrainena Urusi: “Mabadilishano makubwa” ya wafungwa lakini hakuna suluhu
RFI SWAHILI

Mazungumzo kati ya Ukrainena Urusi: “Mabadilishano makubwa” ya wafungwa lakini hakuna suluhu

MUKSINIMay 17, 2025

Wakikutana siku ya Ijumaa, Mei 16, huko Istanbul kwa mazungumzo yao ya kwanza ya amani tangu msimu wa 2022, wajumbe…

Kinshasa na Kigali zimepokea toleo lililounganishwa la rasimu ya makubaliano ya amani
RFI SWAHILI

Kinshasa na Kigali zimepokea toleo lililounganishwa la rasimu ya makubaliano ya amani

MUKSINIMay 17, 2025

Zaidi ya wiki tatu baada ya kusainiwa kwa tamko la kanuni huko Washington kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo…

DRC: CENCO inatoa wito wa kuanzishwa kwa Mkataba wa Kijamii wa Amani katika Makanisa ya Kongo
RFI SWAHILI

DRC: CENCO inatoa wito wa kuanzishwa kwa Mkataba wa Kijamii wa Amani katika Makanisa ya Kongo

MUKSINIMay 17, 2025

Mwanzilishi mwenza wa Mkataba wa Kijamii wa Amani na Kuishi Vizuri pamoja nchini DRC ili kumaliza mzozo unaosambaratisha Mashariki mwa…

Gabon: Rais aliyepinduliwa Ali Bongo Ondimba na familia yake wameachiliwa na wamewasili Luanda
RFI SWAHILI

Gabon: Rais aliyepinduliwa Ali Bongo Ondimba na familia yake wameachiliwa na wamewasili Luanda

MUKSINIMay 16, 2025

Rais wa zamani wa Gabon Ali Bongo Ondimba na familia yake wameachiliwa na wamewasili Luanda, ofisi ya rais wa Angola…

Nigeria: Wanajihadi wanatumia TikTok kuwasajili watu kujiunga nao
RFI SWAHILI

Nigeria: Wanajihadi wanatumia TikTok kuwasajili watu kujiunga nao

MUKSINIMay 16, 2025

Wanajihadi kaskazini mwa Nigeria wanatumia mitandao ya kijamii kuendeleza kampeni zao kuwasajili wapiganaji wapya. Imechapishwa: 16/05/2025 – 10:23 Dakika 1…

Chad: Watu 41 wafariki katika makabiliano kusini mwa nchi
RFI SWAHILI

Chad: Watu 41 wafariki katika makabiliano kusini mwa nchi

MUKSINIMay 16, 2025

Nchini Chad, dazeni kadhaa za watu wamefariki katika “makabiliano makali” katika kijiji cha Mandakao, katika jimbo la Logone Occidental, karibu…

Chad: Waziri Mkuu wa zamani Succès Masra akamatwa nyumbani kwake
RFI SWAHILI

Chad: Waziri Mkuu wa zamani Succès Masra akamatwa nyumbani kwake

MUKSINIMay 16, 2025

Nchini Chad, Waziri Mkuu wa zamani Succès Masra amekamatwa alfajiri ya Ijumaa, Mei 16, nyumbani kwake. Imechapishwa: 16/05/2025 – 08:52…

ICC: Libya inatambua mamlaka ya ICC kuchunguza uhalifu wa kivita na ukandamizaji
RFI SWAHILI

ICC: Libya inatambua mamlaka ya ICC kuchunguza uhalifu wa kivita na ukandamizaji

MUKSINIMay 16, 2025

Libya imekubali mamlaka ya Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kuchunguza madai ya uhalifu wa kivita uliofanywa nchini humo, licha…

Afrika Kusini haina mpango wa kuchukua nafasi ya ufadhili wa VVU , waziri wa afya anasema
RFI SWAHILI

Afrika Kusini haina mpango wa kuchukua nafasi ya ufadhili wa VVU , waziri wa afya anasema

MUKSINIMay 16, 2025

Waziri wa Afya wa Afrika Kusini Aaron Motsoaledi amesema siku ya Alhamisi kwamba serikali bado haijapata ufadhili mpya kwa ajili…

Ethiopia: TPLF inataja marufuku dhidi yake kuwa ’tishio kubwa’ kwa mchakato wa amani
RFI SWAHILI

Ethiopia: TPLF inataja marufuku dhidi yake kuwa ’tishio kubwa’ kwa mchakato wa amani

MUKSINIMay 16, 2025

Chama kikuu cha upinzani nchini Ethiopia, Tigray People’s Liberation Front (TPLF), siku ya Alhamisi kimeelezea maagizo kutoka kwa Tume ya…

Sudani Kusini yakanusha uvumi wa kifo cha Salva Kiir
RFI SWAHILI

Sudani Kusini yakanusha uvumi wa kifo cha Salva Kiir

MUKSINIMay 16, 2025

Wizara ya mambo ya nje ya nchi hiyo imekanusha uvumi unaoenea kwenye mitandao ya kijamii kuwa rais Salva Kiir amefariki…

Rwanda/Afrika Kusini: Vifaru weupe 70 kutoka Afrika Kusini kuhamishiwa Rwanda
RFI SWAHILI

Rwanda/Afrika Kusini: Vifaru weupe 70 kutoka Afrika Kusini kuhamishiwa Rwanda

MUKSINIMay 16, 2025

Mamlaka ya Mbuga kubwa ya kitaifa ya Rwanda imetangaza Alhamisi kuwa itapokea vifaru weupe 70 kutoka Afrika Kusini baadaye mwezi…

DRC: Tume kutoa uamuzi wake juu ya ombi la kuvuliwa kinga Joseph Kabila
RFI SWAHILI

DRC: Tume kutoa uamuzi wake juu ya ombi la kuvuliwa kinga Joseph Kabila

MUKSINIMay 16, 2025

Bunge la Seneti limeanza kuchunguza ombi la kumvua kinga ya useneta rais wa zamani Joseph Kabila siku ya Alhamisi, Mei…

DRC: Zaidi ya wanajeshi 1,300 wa Kongo wapelekwa nje ya mji wa waasi
RFI SWAHILI

DRC: Zaidi ya wanajeshi 1,300 wa Kongo wapelekwa nje ya mji wa waasi

MUKSINIMay 16, 2025

Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu (ICRC) imetangaza siku ya Alhamisi, Mei 15, kuwa imewahamisha zaidi ya wanajeshi 1,300 wa…

Marekani yaripoti kufanya mazungumzo na marais wa Rwanda na DRC
RFI SWAHILI

Marekani yaripoti kufanya mazungumzo na marais wa Rwanda na DRC

MUKSINIMay 16, 2025

Mshauri wa rais wa Marekani, Donald Trump kuhusu masuala ya Afrika, Massad Boulos, Alhamis ameripoti kufanya mazungumzo na rais wa…

Mkuu wa majeshi Uganda awatishia wapiga kura ambao hawatamchagua baba yake
RFI SWAHILI

Mkuu wa majeshi Uganda awatishia wapiga kura ambao hawatamchagua baba yake

MUKSINIMay 15, 2025

Mkuu wa majeshi ya Uganda, ambaye ni mtoto wa rais wa Uganda amesema Alhamisi kwamba raia yeyote ambaye altapiga kura…

Ufaransa: Nicolas Sarkozy ameachiliwa kwa masharti, bangili yake ya kielektroniki yaondolewa
RFI SWAHILI

Ufaransa: Nicolas Sarkozy ameachiliwa kwa masharti, bangili yake ya kielektroniki yaondolewa

MUKSINIMay 15, 2025

Akiwa amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela kufuatia kitendo chake cha kujaribu kumshawishi jaji katika kesi iliyokuwa inamkabili, Nicolas Sarkozy…

Vita vya maneno vyaibuka kati ya Ukraine na Urusi kabla ya mazungumzo Istanbul
RFI SWAHILI

Vita vya maneno vyaibuka kati ya Ukraine na Urusi kabla ya mazungumzo Istanbul

MUKSINIMay 15, 2025

Wajumbe wa Urusi na Ukraine wanatarajiwa kukutana leo Alhamisi, Mei 15, “katika sehemu ya pili ya siku” huko Istanbul ili…

Mali: Baada ya kufutwa kwa vyama, mageuzi yataendelea, ‘upinzani’ unapangwa
RFI SWAHILI

Mali: Baada ya kufutwa kwa vyama, mageuzi yataendelea, ‘upinzani’ unapangwa

MUKSINIMay 15, 2025

Nchini Mali, mamlaka ya mpito inabainisha hatua zinazofuata katika mchakato wa mageuzi. Kufuatia kufutwa kwa katiba ya vyama vya siasa…

CAR: Mwanahabari Landry Nguéma Ngokpélé afungwa, vyama vya wanahabari vyapandwa na hasira
RFI SWAHILI

CAR: Mwanahabari Landry Nguéma Ngokpélé afungwa, vyama vya wanahabari vyapandwa na hasira

MUKSINIMay 15, 2025

Mkurugenzi wa Gazeti la Quotidien de Bangui ambaye alikamakamatwa wiki iliyopita, aliwekwa chini ya ulinzi na kuhamishwa siku ya Jumatano,…

Ethiopia: TPLF, chama cha kihistoria cha Tigray, chafutiwa usajili na Tume ya Uchaguzi
RFI SWAHILI

Ethiopia: TPLF, chama cha kihistoria cha Tigray, chafutiwa usajili na Tume ya Uchaguzi

MUKSINIMay 15, 2025

Chama cha Tigray People’s Liberation Front (TPLF), ambacho kilitawala Ethiopia kwa takriban miongo mitatu, kinapoteza rasmi hadhi yake kama chama…

DRC: Mahakama yaombwa kuvunja vyama kadhaa vya siasa, kikiwemo chama cha Joseph Kabila
RFI SWAHILI

DRC: Mahakama yaombwa kuvunja vyama kadhaa vya siasa, kikiwemo chama cha Joseph Kabila

MUKSINIMay 15, 2025

Wizara ya Mambo ya Ndani ya DRC inabainisha kwamba mahakama imeombwa kufutwa kwa vyama kadhaa vya siasa, ikiwa ni pamoja…

Wajumbe wa Urusi watua Istanbul kwa mazungumzo na Ukraine (vyombo vya habari vya serikali)
RFI SWAHILI

Wajumbe wa Urusi watua Istanbul kwa mazungumzo na Ukraine (vyombo vya habari vya serikali)

MUKSINIMay 15, 2025

Ujumbe wa Urusi umewasili Istanbul kwa mazungumzo na Ukraine, shirika la habari la serikali ya Urusi Ria Novosti limeripoti. “Wajumbe…

Mali: Watu 20 hawajulikani walipo baada ya operesheni ya jeshi Diafarabé, katikati mwa nchi
RFI SWAHILI

Mali: Watu 20 hawajulikani walipo baada ya operesheni ya jeshi Diafarabé, katikati mwa nchi

MUKSINIMay 15, 2025

Takriban watu mia moja waliandamana Jsiku ya umanne tarehe 13 na Jumatano Mei 14 huko Diafarabé, katikati mwa Mali, kupinga…

Niger: Walimu waanzisha mgomo wa saa 72 ambao haujawahi kushuhudiwa dhidi ya utawala wa kijeshi
RFI SWAHILI

Niger: Walimu waanzisha mgomo wa saa 72 ambao haujawahi kushuhudiwa dhidi ya utawala wa kijeshi

MUKSINIMay 15, 2025

Nchini Niger, sekta ya elimu inadorora. Kufuatia wito wa muungano wa vyama 28 uliozinduliwa Jumatatu, Mei 12, walimu meamua kuanzisha…

Côte d’Ivoire: Tidjane Thiam achaguliwa tena kama kiongozi wa PDCI siku mbili baada ya kujiuzulu
RFI SWAHILI

Côte d’Ivoire: Tidjane Thiam achaguliwa tena kama kiongozi wa PDCI siku mbili baada ya kujiuzulu

MUKSINIMay 15, 2025

Siku mbili baada ya kujiuzulu, Tidjane Thiam amechaguliwa tena kuwa mkuu wa PDCI wakati wa kongamano lililoandaliwa siku ya Jumatano,…

Libya: Mapigano makali yazuka kati ya makundi hasimu yenye silaha katika mji mkuu Libya
RFI SWAHILI

Libya: Mapigano makali yazuka kati ya makundi hasimu yenye silaha katika mji mkuu Libya

MUKSINIMay 15, 2025

Mapigano makali kati ya makundi hasimu yenye silaha yamezuka tena katika mji mkuu wa Libya, Tripoli, na kuendelea Jumatano katika…

Rais wa Afrika Kusini na Trump kukutana wiki ijayo White House
RFI SWAHILI

Rais wa Afrika Kusini na Trump kukutana wiki ijayo White House

MUKSINIMay 15, 2025

Rais wa Marekani Donald Trump na Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa watakutana katika Ikulu ya White House wiki ijayo…

Kenya: Gachagua, aliyekuwa naibu wa rais kuzindua chama chake kipya
RFI SWAHILI

Kenya: Gachagua, aliyekuwa naibu wa rais kuzindua chama chake kipya

MUKSINIMay 15, 2025

Aliyekuwa naibu wa rais wa Kenya, Rigathi Gachagua, ambaye kwa sasa ni mkosoaji mkubwa wa aliyekuwa bosi wake rais William…

Putin hayupo kwenye orodha ya mazungumzo kuhusu Ukraine nchini Uturuki
RFI SWAHILI

Putin hayupo kwenye orodha ya mazungumzo kuhusu Ukraine nchini Uturuki

MUKSINIMay 15, 2025

Ukraine na Urusi kwa mara ya kwanza zinatarajiwa kuwa na mazungumzo ya ana kwa ana baada ya zaidi ya miaka…

DRC: Makabiliano zaidi kati ya Wazalendo na M23 yaripotiwa Kivu Kusini
RFI SWAHILI

DRC: Makabiliano zaidi kati ya Wazalendo na M23 yaripotiwa Kivu Kusini

MUKSINIMay 15, 2025

Mapigano zaidi yameripotiwa kwenye vijiji vya Tchofui, Kasheke, Kabamba na Mabingu jimboni Kivu Kusini mashariki mwa nchi ya DRC kati…

Posts navigation

Older posts
Copyright © 2025 MALUMBANO DUNIANI | Link News by Ascendoor | Powered by WordPress.
  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us