Hamas: Nchi za Kiarabu zichukue hatua kumaliza mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imewataka viongozi wa nchi Kiarabu kuchukua hatua za haraka na za kiutendaji…
Mizozo ya kijeshi duniani
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imewataka viongozi wa nchi Kiarabu kuchukua hatua za haraka na za kiutendaji…
Utafiti mpya uliofanywa nchini Marekani umeonyesha kuwa kuna uungwaji mkono mkubwa kutoka kwa umma wa Marekani kwa mkataba mpya wa…
Tarehe 17 Mei 2025, Siku ya Kimataifa ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari (TEHAMA), ulimwengu umeadhimisha miaka 160 tangu kuanzishwa…
Kwa mara nyingine tena Harakati ya Muqawama ya Ansarullah imevurumisha kombora la balestiki kutoka Yemen na kupelekea sauti za ving’ora…
Timu ya taifa ya wanawake ya futsal ya Iran imemaliza katika nafasi ya tatu kwenye mashindano ya Kombe la Asia…
Marekani ilianzisha mashambulizi makubwa ya anga dhidi ya Yemen Machi 15, mwaka huu, ambayo ilikuwa operesheni muhimu zaidi ya kijeshi…
Leo ni Jumapili 20 Mfunguo Pili Dhul-Qaadah 1446 Hijria ambayo inasadifiana na 18 Mei 2025 Miladia.
Ali Ahmadnia, Mkuu wa Masuala ya Habari wa Serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kuwa takriban asilimia 87…
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amekosoa matamshi ya hivi karibuni ya Rais Donald Trump wa…
Togo imethibitisha kesi ya kwanza ya Mpox nchini humo, Wizara ya Afya na Usafi wa Umma ya nchi hiyo imetangaza…
Rais Masoud Pezeshkian amesisitiza kuwa, Iran haitasalimu amri na kuachana na haki zake licha ya vitisho, akieleza kuwa Jamhuri ya…
Imefichuka kuwa, maafisa wakuu wa serikali ya Rais wa Marekani, Donald Trump wanashughulikia mpango wa kuhamisha takriban nusu ya wakazi…
Vyama vya siasa, mashirika ya kutetea haki za binadamu na asasi za kiraia zimeedelea kushinikiza kuachiwa huru kinara wa upinzani…
Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas amesema kuwa, mjumbe maalumu wa Marekani Steve Witkoff alilihakikishia…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kwamba, hakuna sinario na kitu ambacho kitaifanya Iran…
Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel amefuta safari yake ya Vatican akihofia kutekelezwa waranti wa Mahakama ya…
Ripoti ya Umoja wa Mataifa inaonyesha kuwa, uhaba mkubwa wa chakula katika Ukanda wa Gaza umefikia kiwango cha janga la…
Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Kuhudumia Watoto (UNICEF) umetangaza kuwa, wanajeshi wa Israel wamewaua shahidi watoto 45 katika Ukanda…
Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu limetangaza kuwa, limewahamisha zaidi ya wanajeshi na polisi 1,300 wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya…
Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, ametoa wito kwa Waislamu kuimarisha umoja na kuwa sauti ya watu wa…
Maandamano makubwa dhidi ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa (GNU) yalizuka jana Ijumaa mjini Tripoli huku mawaziri kadhaa wakitangaza kujiuzulu.
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Kazem Gharibabadi, amesema kuwa Iran na mataifa matatu ya Ulaya ambayo Uingereza,…
Maandamano ya kuunga mkono Palestina yamefanyika karibu na Wizara ya Utamaduni ya Ufaransa jijini Paris, yakitoa wito wa kususia utawala…
Rais wa zamani wa Gabon Ali Bongo na familia yake wameachiwa kutoka kizuizi cha nyumbani na kuhamishiwa Angola. Hayo ni…
Kufuatia kuongezeka mvutano wa kidiplomasia kati ya Ufaransa na Algeria, Paris imechukua uamuzi wa kuwafukuza wanadiplomasia wa Algeria walio na…
Leo ni Jumamosi 19 Mfunguo Pili Dhul-Qaadah 1446 Hijria mwafaka na 17 Mei 2025 Miladia.
Ni miaka 77 imepita sasa tangu Siku ya Nakba. Jinai za Wazayuni zinazidi kushika kasi mno, na Wapalestina wanaendelea kusisitiza…
Imam wa muda wa Sala ya Ijumaa ya hapa Tehran amesema: “Katika hali ambayo Israel inafanya mauaji ya kutisha zaidi…
Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Afya ya Ghaza ametangaza leo Ijumaa kwamba ukanda huo ndilo eneo la mauaji ya umati…
Kiongozi mmoja wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amejibu matamshi ya kijuba ya rais wa Marekani, Donald…
Jinai za Israel kwenye Ukanda wa Ghaza ni kubwa kiasi kwamba hata dola la kikoloni la Ufaransa ambalo ni moja…
Shirika la Umeme la Sudan alisema kuwa, vituo viwili vya kuzalisha umeme vimeshambliwa kwa droni (ndege zisizo na rubani) za…
Rais wa Marekani Donald Trump kwa mara nyingine tena leo Ijumaa ametoa matamshi mapya kuhusu mazungumzo ya nyuklia yasiyo ya…
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa taarifa kwa mnasaba wa Siku ya Nakba na kusema kwamba, utawala wa…
Watu kadhaa wameripotiwa kuuawa huku wengine wengine wakijeruhiwa, baada ya ndege isiyo na rubani kushambulia hospitali moja katika mji wa…
Rais wa Marekani, Donald Trump amesema ameziomba kampuni za Marekani kutengeneza ndege zisizo na rubani zinazofanana na droni za Iran,…
Kiongozi wa Harakati ya Muqawama ya Ansarullah ya Yemen ameipongeza Iran kwa uungaji mkono wake usio na kikomo kwa taifa…
Imefichuka kuwa, nchi nyingi duniani zimeanzisha uchunguzi wa rushwa katika mfumo wa ununuzi wa Shirika la Kijeshi la Nchi za…
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limesema kuwa, kuongezeka ghasia ndani na karibu na mji mkuu wa…
Mahakama ya rufaa ya Mauritania imemhukumu rais wa zamani wa nchi hiyo, Mohamed Ould Abdel Aziz kifungo cha miaka 15…
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetilia mkazo masharti yake makuu kuhusu makubaliano ya kudumu ya kusimamisha vita…
Gazeti moja la lugha ya Kiebrania limefichua kwamba jeshi la Israel lilitoa taarifa za uongo kuhusu kuwepo handaki la Hamas…
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imesema kuwa inaweza kuweka vikwazo vikali zaidi vya mauzo ya cobalt wakati marufuku yake ya…
Leo ni Ijumaa tarehe 18 Dhilqaada 1446 Hijria sawa na tarehe 16 Mei mwaka 2025.
Sisitizo la Israel la kuendeleza vita Gaza katika mwezi wake wa ishirini na kuendelea kuwaua kwa umati wakazi wa ukanda…
Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf amesema Iran na Algeria zinahitaji kufanya kazi ili kusaidia juhudi za kufikisha…
Iran imeelezea wasiwasi wake kuhusu mapigano makali yanayoendelea kati ya makundi yenye silaha katika mji mkuu wa Libya Tripoli, ikitaka…
Idadi ya Wapalestina waliouawa katika mashambulizi ya Israel katika Ukanda wa Gaza tangu alfajiri ya Alhamisi ya leo mepindukia 103.…
Katika hatua ya kwanza ya aina yake, wakuu wa mashirika ya ujasusi na usalama kutoka nchi za Afrika Mashariki wametembelea…
Hafla ya uzinduzi wa chama kipya cha aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua, cha Democracy for the Citizens Party…