Skip to content

MALUMBANO DUNIANI

Mizozo ya kijeshi duniani

  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us

Category: MIZOZO TU

MIZOZO TU

Hamas: Nchi za Kiarabu zichukue hatua kumaliza mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza

MUKSINIMay 18, 2025

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imewataka viongozi wa nchi Kiarabu kuchukua hatua za haraka na za kiutendaji…

MIZOZO TU

Uchunguzi: Umma wa Marekani wataka mkataba wa amani na Iran

MUKSINIMay 18, 2025

Utafiti mpya uliofanywa nchini Marekani umeonyesha kuwa kuna uungwaji mkono mkubwa kutoka kwa umma wa Marekani kwa mkataba mpya wa…

MIZOZO TU

Katibu Mkuu wa UN: Maendeleo ya kidijitali yanawaacha nyuma wanawake

MUKSINIMay 18, 2025

Tarehe 17 Mei 2025, Siku ya Kimataifa ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari (TEHAMA), ulimwengu umeadhimisha miaka 160 tangu kuanzishwa…

MIZOZO TU

Ansarullah: Israel haielewi lugha nyingine isipokuwa ya makombora

MUKSINIMay 18, 2025

Kwa mara nyingine tena Harakati ya Muqawama ya Ansarullah imevurumisha kombora la balestiki kutoka Yemen na kupelekea sauti za ving’ora…

MIZOZO TU

Iran yaizamisha China kwenye mashindano ya Asia, yaingia Kombe la Dunia la Futsal kwa Wanawake 2025

MUKSINIMay 18, 2025

Timu ya taifa ya wanawake ya futsal ya Iran imemaliza katika nafasi ya tatu kwenye mashindano ya Kombe la Asia…

MIZOZO TU

Je, ulinzi wa anga wa Yemen unaweza kuwa tishio kwa ndege za F-35 za Marekani?

MUKSINIMay 18, 2025

Marekani ilianzisha mashambulizi makubwa ya anga dhidi ya Yemen Machi 15, mwaka huu, ambayo ilikuwa operesheni muhimu zaidi ya kijeshi…

MIZOZO TU

Jumapili, 18 Mei 2025

MUKSINIMay 18, 2025

Leo ni Jumapili 20 Mfunguo Pili Dhul-Qaadah 1446 Hijria ambayo inasadifiana na 18 Mei 2025 Miladia.

MIZOZO TU

Faida za makubaliano ya Iran na Umoja wa Kiuchumi wa Eurasia

MUKSINIMay 17, 2025

Ali Ahmadnia, Mkuu wa Masuala ya Habari wa Serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kuwa takriban asilimia 87…

MIZOZO TU

Kiongozi Muadhamu: Matamshi ya Trump ni fedheha kwa taifa la Marekani

MUKSINIMay 17, 2025

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amekosoa matamshi ya hivi karibuni ya Rais Donald Trump wa…

MIZOZO TU

Togo yathibitisha kesi ya kwanza ya ugonjwa wa Mpox

MUKSINIMay 17, 2025

Togo imethibitisha kesi ya kwanza ya Mpox nchini humo, Wizara ya Afya na Usafi wa Umma ya nchi hiyo imetangaza…

MIZOZO TU

Pezeshkian: Iran inafanya mazungumzo, lakini haigopi vitisho vyovyote

MUKSINIMay 17, 2025

Rais Masoud Pezeshkian amesisitiza kuwa, Iran haitasalimu amri na kuachana na haki zake licha ya vitisho, akieleza kuwa Jamhuri ya…

MIZOZO TU

Trump apanga kuwahamishia Libya Wapalestina milioni 1 wa Gaza

MUKSINIMay 17, 2025

Imefichuka kuwa, maafisa wakuu wa serikali ya Rais wa Marekani, Donald Trump wanashughulikia mpango wa kuhamisha takriban nusu ya wakazi…

MIZOZO TU

Asasi za kiraia, wapinzani wataka kuachiwa huru kinara wa upinzani Congo Brazzaville

MUKSINIMay 17, 2025

Vyama vya siasa, mashirika ya kutetea haki za binadamu na asasi za kiraia zimeedelea kushinikiza kuachiwa huru kinara wa upinzani…

MIZOZO TU

Hamas: Witkoff aliahidi kuondoa mzingiro wa Gaza mkabala wa kuachiwa Edan Alexander

MUKSINIMay 17, 2025

Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas amesema kuwa, mjumbe maalumu wa Marekani Steve Witkoff alilihakikishia…

MIZOZO TU

Araqchi: Haki ya Iran ya kurutubisha urani kwa malengo ya amani si ya kufumbiwa macho

MUKSINIMay 17, 2025

Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kwamba, hakuna sinario na kitu ambacho kitaifanya Iran…

MIZOZO TU

Hofu ya kukamatwa yamfanya Netanyahu afute safari yake ya Vatican

MUKSINIMay 17, 2025

Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel amefuta safari yake ya Vatican akihofia kutekelezwa waranti wa Mahakama ya…

MIZOZO TU

Umoja wa Mataifa: Uhaba wa chakula Gaza umefikia kiwango cha janga la njaa

MUKSINIMay 17, 2025

Ripoti ya Umoja wa Mataifa inaonyesha kuwa, uhaba mkubwa wa chakula katika Ukanda wa Gaza umefikia kiwango cha janga la…

MIZOZO TU

UNICEF: Israel imeua watoto 45 wauawa Gaza kwa muda wa siku mbili

MUKSINIMay 17, 2025

Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Kuhudumia Watoto (UNICEF) umetangaza kuwa, wanajeshi wa Israel wamewaua shahidi watoto 45 katika Ukanda…

MIZOZO TU

Zaidi ya askari 1,300 wa DRC wahamishwa kutoka Goma

MUKSINIMay 17, 2025

Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu limetangaza kuwa, limewahamisha zaidi ya wanajeshi na polisi 1,300 wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya…

MIZOZO TU

Spika wa Bunge Iran: Ni wajibu wa Kiislamu kusitisha ‘Mauaji Makubwa Zaidi ya Kimbari Katika Historia’

MUKSINIMay 17, 2025

Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, ametoa wito kwa Waislamu kuimarisha umoja na kuwa sauti ya watu wa…

MIZOZO TU

Maandamano yazuka mjini Tripoli nchini Libya, mawaziri kadhaa wajiuzulu

MUKSINIMay 17, 2025

Maandamano makubwa dhidi ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa (GNU) yalizuka jana Ijumaa mjini Tripoli huku mawaziri kadhaa wakitangaza kujiuzulu.

MIZOZO TU

Azma ya Iran na nchi tatu za Ulaya kuhusu kutumia diplomasia ya nyuklia

MUKSINIMay 17, 2025

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Kazem Gharibabadi, amesema kuwa Iran na mataifa matatu ya Ulaya ambayo Uingereza,…

MIZOZO TU

Waandamanaji Paris watoa wito wa kususia utawala katili wa Israel

MUKSINIMay 17, 2025

Maandamano ya kuunga mkono Palestina yamefanyika karibu na Wizara ya Utamaduni ya Ufaransa jijini Paris, yakitoa wito wa kususia utawala…

MIZOZO TU

Angola imempa hifadhi Rais wa zamani wa Gabon Ali Bongo aliyefukuzwa madarakani

MUKSINIMay 17, 2025

Rais wa zamani wa Gabon Ali Bongo na familia yake wameachiwa kutoka kizuizi cha nyumbani na kuhamishiwa Angola. Hayo ni…

MIZOZO TU

Kuporomoka ushawishi wa Ufaransa Afrika Kaskazini

MUKSINIMay 17, 2025

Kufuatia kuongezeka mvutano wa kidiplomasia kati ya Ufaransa na Algeria, Paris imechukua uamuzi wa kuwafukuza wanadiplomasia wa Algeria walio na…

MIZOZO TU

Jumamosi, 17 Mei, 2025

MUKSINIMay 17, 2025

Leo ni Jumamosi 19 Mfunguo Pili Dhul-Qaadah 1446 Hijria mwafaka na 17 Mei 2025 Miladia.

MIZOZO TU

Miaka 77 baada ya Siku ya Nakba; jinai zisizo na kikomo za Wazayuni na muqawama imara wa Wapalestina

MUKSINIMay 16, 2025

Ni miaka 77 imepita sasa tangu Siku ya Nakba. Jinai za Wazayuni zinazidi kushika kasi mno, na Wapalestina wanaendelea kusisitiza…

MIZOZO TU

Abu Turabi Fard: Marekani ndiyo sababu ya ukosefu wa usalama duniani, si Iran

MUKSINIMay 16, 2025

Imam wa muda wa Sala ya Ijumaa ya hapa Tehran amesema: “Katika hali ambayo Israel inafanya mauaji ya kutisha zaidi…

MIZOZO TU

Ijumaa ya umwagaji damu Ghaza, mashahidi 250 katika masaa 36

MUKSINIMay 16, 2025

Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Afya ya Ghaza ametangaza leo Ijumaa kwamba ukanda huo ndilo eneo la mauaji ya umati…

MIZOZO TU

Hamas yamjibu Trump: Ghaza si bidhaa ya kupigwa mnada

MUKSINIMay 16, 2025

Kiongozi mmoja wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amejibu matamshi ya kijuba ya rais wa Marekani, Donald…

MIZOZO TU

Sasa hata Ufaransa yalaani jinai za kutisha za Israel

MUKSINIMay 16, 2025

Jinai za Israel kwenye Ukanda wa Ghaza ni kubwa kiasi kwamba hata dola la kikoloni la Ufaransa ambalo ni moja…

MIZOZO TU

Umeme wakatika kikamilifu Khartoum kutokana na mashambulizi ya droni za RSF

MUKSINIMay 16, 2025

Shirika la Umeme la Sudan alisema kuwa, vituo viwili vya kuzalisha umeme vimeshambliwa kwa droni (ndege zisizo na rubani) za…

MIZOZO TU

Trump atoa matamshi mapya kuhusu mazungumzo na Iran

MUKSINIMay 16, 2025

Rais wa Marekani Donald Trump kwa mara nyingine tena leo Ijumaa ametoa matamshi mapya kuhusu mazungumzo ya nyuklia yasiyo ya…

MIZOZO TU

Iran: Israel iliundwa kwa damu; mauaji ya kimbari lazima yakomeshwe sasa

MUKSINIMay 16, 2025

Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa taarifa kwa mnasaba wa Siku ya Nakba na kusema kwamba, utawala wa…

MIZOZO TU

Kadhaa wauawa katika shambulio la droni kusini ya Sudan

MUKSINIMay 16, 2025

Watu kadhaa wameripotiwa kuuawa huku wengine wengine wakijeruhiwa, baada ya ndege isiyo na rubani kushambulia hospitali moja katika mji wa…

MIZOZO TU

Trump azitaka kampuni za US zitengeneze droni kama za Iran

MUKSINIMay 16, 2025

Rais wa Marekani, Donald Trump amesema ameziomba kampuni za Marekani kutengeneza ndege zisizo na rubani zinazofanana na droni za Iran,…

MIZOZO TU

Ansarullah: Iran imetekeleza wajibu wake wa Kiislamu kuiunga mkono Palestina

MUKSINIMay 16, 2025

Kiongozi wa Harakati ya Muqawama ya Ansarullah ya Yemen ameipongeza Iran kwa uungaji mkono wake usio na kikomo kwa taifa…

MIZOZO TU

NATO inayoongozwa na Marekani yakumbwa na sakata la ufisadi

MUKSINIMay 16, 2025

Imefichuka kuwa, nchi nyingi duniani zimeanzisha uchunguzi wa rushwa katika mfumo wa ununuzi wa Shirika la Kijeshi la Nchi za…

MIZOZO TU

Watoto nusu milioni waingia hatarini kutoka na ghasia mjini Tripoli Libya

MUKSINIMay 16, 2025

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limesema kuwa, kuongezeka ghasia ndani na karibu na mji mkuu wa…

MIZOZO TU

Rais wa zamani wa Mauritania aongezewa kifungo, sasa ni miaka 15 jela

MUKSINIMay 16, 2025

Mahakama ya rufaa ya Mauritania imemhukumu rais wa zamani wa nchi hiyo, Mohamed Ould Abdel Aziz kifungo cha miaka 15…

MIZOZO TU

Hamas: Maisha ya mateka wa Israel si muhimu kwa Netanyahu

MUKSINIMay 16, 2025

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetilia mkazo masharti yake makuu kuhusu makubaliano ya kudumu ya kusimamisha vita…

MIZOZO TU

Ukidhabi mkubwa wa Israel kuhusu mashambulizi yake dhidi ya hospitali za Ghaza wafichuka

MUKSINIMay 16, 2025

Gazeti moja la lugha ya Kiebrania limefichua kwamba jeshi la Israel lilitoa taarifa za uongo kuhusu kuwepo handaki la Hamas…

MIZOZO TU

DRC yatishia kuweka vikwazo vikali zaidi vya mauzo ya madini adimu ya cobalt

MUKSINIMay 16, 2025

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imesema kuwa inaweza kuweka vikwazo vikali zaidi vya mauzo ya cobalt wakati marufuku yake ya…

MIZOZO TU

Ijumaa, tarehe 16 Mei, 2025

MUKSINIMay 16, 2025

Leo ni Ijumaa tarehe 18 Dhilqaada 1446 Hijria sawa na tarehe 16 Mei mwaka 2025.

MIZOZO TU

Kwa nini utawala wa Kizayuni ni utawala wa mauaji ya kizazi?

MUKSINIMay 16, 2025

Sisitizo la Israel la kuendeleza vita Gaza katika mwezi wake wa ishirini na kuendelea kuwaua kwa umati wakazi wa ukanda…

MIZOZO TU

Spika Qalibaf: Iran, Algeria zinahitaji kufanya kazi kusaidia usambazaji wa misaada Gaza

MUKSINIMay 15, 2025

Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf amesema Iran na Algeria zinahitaji kufanya kazi ili kusaidia juhudi za kufikisha…

MIZOZO TU

Iran yahimiza kukomeshwa ghasia katika mji mkuu wa Libya, Tripoli

MUKSINIMay 15, 2025

Iran imeelezea wasiwasi wake kuhusu mapigano makali yanayoendelea kati ya makundi yenye silaha katika mji mkuu wa Libya Tripoli, ikitaka…

MIZOZO TU

Israel yafanya mauaji mengine ya kutisha Gaza, yaua zaidi ya 103 leo Alkhamisi

MUKSINIMay 15, 2025

Idadi ya Wapalestina waliouawa katika mashambulizi ya Israel katika Ukanda wa Gaza tangu alfajiri ya Alhamisi ya leo mepindukia 103.…

MIZOZO TU

Wakuu wa ujasusi watembelea Bwawa la Grand Ethiopian Renaissance. Kulikoni?

MUKSINIMay 15, 2025

Katika hatua ya kwanza ya aina yake, wakuu wa mashirika ya ujasusi na usalama kutoka nchi za Afrika Mashariki wametembelea…

MIZOZO TU

Uzinduzi wa chama kipya cha Gachagua wavurugwa na walioitwa “wahuni”, Kenya

MUKSINIMay 15, 2025

Hafla ya uzinduzi wa chama kipya cha aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua, cha Democracy for the Citizens Party…

Posts navigation

Older posts
Copyright © 2025 MALUMBANO DUNIANI | Link News by Ascendoor | Powered by WordPress.
  • Privacy Policy
  • Terms And Conditions
  • Contact Us