Bowen: Zelensky katika hali ngumu mpya baada ya mazungumzo ya simu ya Trump-Putin.

Lengo lililotangazwa na Zelensky ni kurejesha maeneo yaliyopotea ya Ukraine, ambayo ni takriban theluthi moja ya ardhi yote ya nchi hiyo. Pia anataka Ukraine kuwa mwanachama kamili wa NATO.