Wizara ya Utalii, Utamaduni na Sanaa ya Benin imetangaza kwamba kitu cha nadra cha kifalme kinachoitwa “Katakli” kitarejeshwa rasmi nchini humo kutoka Finland, ikiwa ni hatua ya hivi karibuni zaidi katika juhudi zinazoendelea kufanywa na Benin kurejesha urithi wake wa kitamaduni ulioporwa na wakoloni wa Ulaya.
Related Posts
Araghchi: China na Russia ni washirika wa kimkakati wa Iran
Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mara baada ya kuwasili nchini China kwamba, madhumuni…
Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mara baada ya kuwasili nchini China kwamba, madhumuni…
Araghchi: Diplomasia ya Iran inazuiliwa na vitisho vya kivita vya Marekani
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amepuuzilia mbali mazungumzo ya moja kwa moja na Marekani na kuyataja kuwa yasiyo…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amepuuzilia mbali mazungumzo ya moja kwa moja na Marekani na kuyataja kuwa yasiyo…
“Msimamo wa ujasiri wa Papa Francis dhidi ya dhulma hautasahaulika”
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Masuala ya Kisiasa wa Iran amesema, mchango wa Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani…
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Masuala ya Kisiasa wa Iran amesema, mchango wa Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani…