Benin: Askari wetu waliouawa katika shambulio la karibuni ni 54

Msemaji wa serikali ya Benin, Wilfried Leandre Houngbedji amesema idadi ya wanajeshi wa nchi hiyo waliouawa katika shambulio la kigaidi lililotokea kaskazini mwa nchi mnamo Aprili 17 ni 54.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *