Mazoezi ya pamoja ya majeshi ya majini yatakayohusisha vikosi vya wanamaji vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Russia na China yamepangwa kufanyika katika eneo la kaskazini mwa bahari ya Hindi, ambapo mataifa hayo matatu yatashiriki katika operesheni kubwa za baharini zinazojumuisha vitengo mbalimbali vya vikosi vyao vya jeshi.
Related Posts
Waziri Mkuu wa Italia achunguzwa kwa kumuachia huru mshukiwa wa ICC
Waziri Mkuu wa Italia, Giorgia Meloni amewekwa chini ya uchunguzi wa mahakama kufuatia uamuzi wa serikali yake wa kumwachilia huru…
Waziri Mkuu wa Italia, Giorgia Meloni amewekwa chini ya uchunguzi wa mahakama kufuatia uamuzi wa serikali yake wa kumwachilia huru…
UN: Watu 700 wameuawa DRC ndani ya siku tano
Umoja wa Mataifa umetoa wito wa kukomesha ghasia mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ambako mapigano kati ya…
Umoja wa Mataifa umetoa wito wa kukomesha ghasia mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ambako mapigano kati ya…
Interpol yawakamata magaidi 37 Afrika Mashariki
Polisi ya Kimataifa (Interpol) imesema washukiwa 37 wa ugaidi, wakiwemo kadhaa wanaoaminika kuwa wanachama wa ISIS, wamekamatwa katika kanda ya…
Polisi ya Kimataifa (Interpol) imesema washukiwa 37 wa ugaidi, wakiwemo kadhaa wanaoaminika kuwa wanachama wa ISIS, wamekamatwa katika kanda ya…