BBC yashinikizwa baada ya kufuta filamu kuhusu watoto wa Gaza

Watayarishi wa vipindi vya televisheni na filamu nchini Uingereza wamewataka wabunge wa Uingereza kuwahoji viongozi wa BBC kuhusu uamuzi wa shirika hilo la utangazaji la Uingereza kuondoa filamu ya kweli inayohusu maisha ya watoto Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.