Baqaei: Marekani na Magharibi zimehusika katika mauaji ya Israel ya waandishi wa habari huko Gaza

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baqaei amesema kuwa, mwenendo wa utawala wa Israel wa kuwalenga waandishi wa habari wa Kipalestina umewezeshwa na msaada usiosita wa waungaji mkono wake wa Magharibi, hususan Marekani.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *