Baqaei: Iran ina wasiwasi mkubwa kufuatia kuongezeka mzozo kati ya India na Pakistan

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa Tehran ina wasiwasi mkubwa kufuatia kuongezeka mivutano kati ya India na Pakistan na amezitolea wito pande mbili kujizuia kuchukua hatua.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *